anasema pia huwezi kumwajibisha mtu bila kumpa nafasi ya kujitetea
anasema pia huwezi kumwajibisha mtu bila kumpa nafasi ya kujitetea
Mwalimu mzuri kwa kugawa Marks nzuri na kuchekacheka na vibinti ila kufundisha sio mzuri sana, labda kwa kuwa alikuwa Primary school teacher huko kwao MutukulaNi mwl mzuri sana ila practically vitu anavofundisha haelewi kabsa
anasema pia huwezi kumwajibisha mtu bila kumpa nafasi ya kujitetea
Amesahau kwamba kila mwaka kamati za bunge zimekua zikizungumzia mabo hayohayo miaka zaidi ya mitatu... nakumbuka mwaka 2009 walijadili kwa kina tu matatizo hayahaya
Anataka utetezi gani tena???
hivi wanafunzi wake wanagain nini kwa mtu kama huyu??
Mimi nashindwa kujua kwanini huwa mnampa hata sikio. Uprofesa wake sijui ni wa aina gani. Sijui mlo wake wa siku unatokana na kubwabwaja. Ni masiku si haba nikimuona kwenye TV au redio ya aina yoyote huifunga na nyingine zimenusurika kuvunjililiwa mbali. Mwenyezi mungu tuepushe na watu kama Bana.