mbona unajiabisha kwa post zako za kijinga?? ina mana Dr. bana ni mbunge?? acha kuleta post za aibu hapa kama huna cha kupost kaa kimya au nenda yutube uangalie movie za kinigeria!!
mbona unajiabisha kwa post zako za kijinga?? ina mana Dr. bana ni mbunge?? acha kuleta post za aibu hapa kama huna cha kupost kaa kimya au nenda yutube uangalie movie za kinigeria!!
Rais bado ana nafasi zake kati ya 10 za wabunge wa kuteuliwa naye. Hakuzitumia zote, bado ziko kibaao.
Nitalia mpaka 2015 akipewa uwaziri huyo kilaza
Unga sasa kg 1 ni 1200/= jamani 2tafika kweli? Hakika jk ni boom!
mbona unajiabisha kwa post zako za kijinga?? ina mana Dr. bana ni mbunge?? acha kuleta post za aibu hapa kama huna cha kupost kaa kimya au nenda yutube uangalie movie za kinigeria!!
Rais bado ana nafasi zake kati ya 10 za wabunge wa kuteuliwa naye. Hakuzitumia zote, bado ziko kibaao.