Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
- Thread starter
- #21
Hilo linawezekana,Tunashukuru kwa positive criticism, japo hakuna msamaha when damage has caused already.Halafu ndugu Yahya kuna wakati mnaonekana kabisa mnafanya kazi ambayo radio uhuru wanatakiwa waifanye,kuna siku mlikuwa mnafanya spining live live....hasa ile siku CHADEMA walipokataa kuhudhuria sherehe za kumwapisha waziri mkuu.Mlipoteza credibility ya kuwa professional Journalists.Thanks kwa kutuhabarisha though!
Nimependezwa na ushiriki wa wanaJF kwa leo na tutaendelea kupokea na kufanyia kazi mawazo yenu.