Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Ila kuweza kusaidia wengine kuelewa hoja ya DPP kama ilivyotolewa na kina Msemakweli. Wabunge wana kazi ya kuifanyia marekebisho sheria na vile vile wanatakiwa waanza kumbana Feleshi kama hawezi kazi aachie. Jamani.. kuwa na discretion haina maana kuacha uovu utawale.