WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu.
Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.