DPP na Rufaa Butu...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini,Mheshimiwa Eliezer Feleshi,amewasilisha Kusudio la kukata Rufaa dhidi ya Hukumu iliyomweka huru Prof. Costa V. Mahalu na Bi.Grace Martin. Hii inamaana kuwa Jamhuri itakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo iliyosomwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi,Ilvin Mgeta pale Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.

Kama Jamhuri,ikiwa na muda wa kutosha wa kuthibitisha shtaka pale Kisutu,ilishindwa kufanya hivyo,itaweza kuthibitisha Mahakama Kuu? DPP haoni kuwa kama hana ushahidi wa kutosheleza,Rufaa hii itagharimu fedha za walipakodi wa kitanzania bure? Kimsingi,naiona Rufaa ya DPP kama ni butu.Hatahivyo,Mahakama Kuu itatupa jibu kamili siku itakapofika...
 
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini,Mheshimiwa Eliezer Feleshi,amewasilisha Kusudio la kukata Rufaa dhidi ya Hukumu iliyomweka huru Prof. Costa V. Mahalu na Bi.Grace Martin. Hii inamaana kuwa Jamhuri itakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo iliyosomwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi,Ilvin Mgeta pale Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.

Kama Jamhuri,ikiwa na muda wa kutosha wa kuthibitisha shtaka pale Kisutu,ilishindwa kufanya hivyo,itaweza kuthibitisha Mahakama Kuu? DPP haoni kuwa kama hana ushahidi wa kutosheleza,Rufaa hii itagharimu fedha za walipakodi wa kitanzania bure? Kimsingi,naiona Rufaa ya DPP kama ni butu.Hatahivyo,Mahakama Kuu itatupa jibu kamili siku itakapofika...

Vute Nikute, I beg to differ! If that was to be the case, there would be no need of appeals. mara nyingi hizi hukumu za magistrates huwa ni za utata sana. Jaribu kuzisoma kama una idea ya sheria utaona kuwa wana mapungufu mengi sana. Mimi hukumu ninayo iamini sana ni ile ya Court of appeal! Kuna watu watatu waliobobea deliberating on technical issues, likely hood ya kutoa correct answer ni kubwa mno.
 
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini,Mheshimiwa Eliezer Feleshi,amewasilisha Kusudio la kukata Rufaa dhidi ya Hukumu iliyomweka huru Prof. Costa V. Mahalu na Bi.Grace Martin. Hii inamaana kuwa Jamhuri itakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo iliyosomwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi,Ilvin Mgeta pale Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.

Kama Jamhuri,ikiwa na muda wa kutosha wa kuthibitisha shtaka pale Kisutu,ilishindwa kufanya hivyo,itaweza kuthibitisha Mahakama Kuu? DPP haoni kuwa kama hana ushahidi wa kutosheleza,Rufaa hii itagharimu fedha za walipakodi wa kitanzania bure? Kimsingi,naiona Rufaa ya DPP kama ni butu.Hatahivyo,Mahakama Kuu itatupa jibu kamili siku itakapofika...

Mara nyingi kwa kesi kama hii ya Mahalu,serikali inaposhindwa hujidai kuwa ina appeal ruling husika lakini ukweli wa mambo ni kwamba hawafanyi hivyo na kama wakifanya hivyo inakuwa to save their face!!Ninaamini hivyo kwasababu nina mfano hai wa kesi ya aliyekuwa waziri wa miundombinu enzi za Mwinyi Nalaila Kiula; yeye alishinda kesi ya ufisadi dhidi yake na serikali ilitangaza kukata rufaa lakini toka hapo sijasikia lolote kuhusu ile kesi mpaka hivi leo na hivi sasa nasikia Kiula amempokea bwana na amekuwa mchungaji. BWANA ASIFIWE! Mahalu has no reason to worry about the appeal after all most of the people bound to hear his appeal are either his former classmates or his former students!!!!
 
Hivi ile RUFAA ya kesi ya akina ZOMBE imefikia wapi?

Maana ruling ya mahakama ilisema ni KWELI wale wafanya biashara wa Mahenge na dereva taxi waliuwawa. Lakini wauaji sio AKINA ZOMBE. Hivyo mahakama ikaomba iletewe WAUAJI halisi.

Serikali ikasema ingekata rufaa, je rufaa hiyo imefikia wapi?
 
sorry, but I do not trust the DPP. If now DPP is serious let him take to court the EPA, radar and Richmond guys
 
Kesi hii haina tija kwa taifa. Ni kupoteza rasilimali za fedha na muda.
Kwanza inaonekana ipo kisiasa zaidi!
Wamewashindwa mafisadi papa na nyangumi wanadili na dagaa!
Hivi kesi ya akina Mramba imeishia wapi vile!
 
Kesi hii haina tija kwa taifa. Ni kupoteza rasilimali za fedha na muda.
Kwanza inaonekana ipo kisiasa zaidi!
Wamewashindwa mafisadi papa na nyangumi wanadili na dagaa!
Hivi kesi ya akina Mramba imeishia wapi vile!

Kesi ya Mramba na Yona pamoja na zile za EPA za wakina JOHNSON brothers na wahindi wengine zinangoja uchaguzi wa 2015 ili mahakama iamuliwe na serikali kuzifuta!!! Talk about independence of the judiciary!!
 
Mara nyingi kwa kesi kama hii ya Mahalu,serikali inaposhindwa hujidai kuwa ina appeal ruling husika lakini ukweli wa mambo ni kwamba hawafanyi hivyo na kama wakifanya hivyo inakuwa to save their face!!Ninaamini hivyo kwasababu nina mfano hai wa kesi ya aliyekuwa waziri wa miundombinu enzi za Mwinyi Nalaila Kiula; yeye alishinda kesi ya ufisadi dhidi yake na serikali ilitangaza kukata rufaa lakini toka hapo sijasikia lolote kuhusu ile kesi mpaka hivi leo na hivi sasa nasikia Kiula amempokea bwana na amekuwa mchungaji. BWANA ASIFIWE! Mahalu has no reason to worry about the appeal after all most of the people bound to hear his appeal are either his former classmates or his former students!!!!

Mkuu asante sana kwa kuwaambia. Na wajue Mahalu hatakaa afungwe millele. Ninajua kesi ya Mahalu ni ya kulipiza kisasa maana mhusika wa kesi kwa visasi ndiyo mahali pake. Wakubali wameshindwa ili yaishe. Kwa hakika kwa kuwa appeal kazi yake ni kupitia vielelezo na mwenendo wa kesi na kama ushahidi haukuwakamata unategemea panel of appeal waweke vipya? DPP are not competent!!! Wale competent wako Law Firms wanawagalagaza tu. Hebu wakuu siku moja jaribu kuhudhuria kesi wakati wa kusikilizwa na ushahidi uone jinsi cross examination ya watu wa DPP ilivyo dhaifu. Wanagalagazwa hadi unawaonea huruma.
 
Back
Top Bottom