DPP Feleshi unajua tabia za Wakili Kombe kule Arusha

Nakandamiza Kibara

Senior Member
Jul 17, 2007
143
10
Sisi wakazi wa Arusha tumeona pa kukimbilia ni JF kwa kuwa si PCCB wala Ofisi ya DPP inaweza kutusikiliza kirahisi . Kwa kuwa tuna amini JF ni mrwisho wa maelezo leo tunaweka swali hili kwa DPP Feleshi .

Baada ya Serikali kusema Polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa Serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha .Wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba Kombe ni hatari na anatishia Mahakama ya Arusha .Kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu . Ndugu Feleshi naamini wewe ndiye Muhusika funguka masikio nan mulika Arusha Kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya Arusha . Ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana .Ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa .Kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu .
 
Pole sana NK, hiyo ni keesi ya nyani unampelekea ngedere, ni mwendo wa kila mbuzi kwa usawa wa kamba yake, kama Hosea ndio bosi wa kuzuia rushwa huku ni mvutaji mzuri tuu, unategemea nini. Unadhani unamwambia kitu kipya Feleshi, mbona hakuna asichokijua!. Ukiondoa majaji, mahakimu ni mwendo wa usawa wa kamba zao na hakuna asiyejua.

Japo pia naunga mkono, kupiga kelele, jamaa atapunguza kidogo speed.
 
Sisi wakazi wa Arusha tumeona pa kukimbilia ni JF kwa kuwa si PCCB wala Ofisi ya DPP inaweza kutusikiliza kirahisi . Kwa kuwa tuna amini JF ni mrwisho wa maelezo leo tunaweka swali hili kwa DPP Feleshi .

Baada ya Serikali kusema Polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa Serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha .Wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba Kombe ni hatari na anatishia Mahakama ya Arusha .Kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu . Ndugu Feleshi naamini wewe ndiye Muhusika funguka masikio nan mulika Arusha Kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya Arusha . Ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana .Ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa .Kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu .

Ndugu yangu,

Je sheria inasemaje kuhusu dhamana inayotakiwa kwa mtu aliyefanya kosa kama la huyo ndugu/rafiki/jirani/.... yako?

Cha maana ni kujua sheria inasemaje kuhusu hilo kosa. Kama wanaenda kinyume na hiyo sheria ndio uwasilishe malalamiko yako kwa judge, na wahusika wengine wa juu.

Sidhani kama hawa ma-judge na mawakili wanatakiwa kuamka asubuhi na kusema leo kila kesi dhamana yake itakuwa kiasi fulani tofauti na sheria.

Kama hivyo ndivyo alivyofanya, una haki ya kumpeleka ngazi za juu.
 
Ndugu yangu,

Je sheria inasemaje kuhusu dhamana inayotakiwa kwa mtu aliyefanya kosa kama la huyo ndugu/rafiki/jirani/.... yako?

Cha maana ni kujua sheria inasemaje kuhusu hilo kosa. Kama wanaenda kinyume na hiyo sheria ndio uwasilishe malalamiko yako kwa judge, na wahusika wengine wa juu.

Sidhani kama hawa ma-judge na mawakili wanatakiwa kuamka asubuhi na kusema leo kila kesi dhamana yake itakuwa kiasi fulani tofauti na sheria.

Kama hivyo ndivyo alivyofanya, una haki ya kumpeleka ngazi za juu.


Tatu umekurupuka nadhani .
Mleta mada kasema ndugu wa mtuhumiwa pamoja na kukidhi masharti ya dhamani yet wamelipa laki kadhaa na hizo zime enda kwa Kombe pesa hizi kachukua kaweka mfukoni mwake .
 
Ila pccb wachunguze maana ukute kuna ukweli maana nchi na serikali imeharibika kabisa kwa rushwa...hasa arusha mwz jamani watu ni miungu watu haki za watu zinapotea bure....pccb wachunguze kama kuna ukweli waingilie kati....bado nina aimani na pccb hasa wilayani na mikoani ila sio makao makuu......
 
eh
duh
Feleshi chukua hatua kwa kuchunguza na maamuzi mazito
 
Nakandamiza Kibara naona umepotea njia! Unapodai kuwa vyombo km PCCB vimeshindwa kwa hiyo umeleta malalamiko yako JF ili DPP Felesh apewe ujumbe! Kwani DPP anashughulikia nidhamu za mawakili au upelelezi? Na kama una ushahidi wa rushwa kwa nini upoteze muda wa kuwasiliana na DPP huku ukijua hahusiki na masuala ya kupeleleza rushwa au makosa ya jinai? Hata kama ukiwasiliana naye atalipeleka suala hilo PCCB kwanza kisha wakishalichunguza ndio watampelekea yeye ili afikishe kesi mahakamani! Kumbuka DPP si mpelelezi, yeye anapokea majalada yaliyopelelezwa tayari! Kwa hiyo kama hujui uliza badala ya kutema upupu wa kuwapotosha watu makusudi! Otherwise ukikaa na ushahidi wako au kuuanika hapa JF utakuwa hujasaidia kitu na utaonekana kuwa wewe ni sehemu ya tatizo la rushwa!
 
Nakandamiza Kibara naona umepotea njia! Unapodai kuwa vyombo km PCCB vimeshindwa kwa hiyo umeleta malalamiko yako JF ili DPP Felesh apewe ujumbe! Kwani DPP anashughulikia nidhamu za mawakili au upelelezi? Na kama una ushahidi wa rushwa kwa nini upoteze muda wa kuwasiliana na DPP huku ukijua hahusiki na masuala ya kupeleleza rushwa au makosa ya jinai? Hata kama ukiwasiliana naye atalipeleka suala hilo PCCB kwanza kisha wakishalichunguza ndio watampelekea yeye ili afikishe kesi mahakamani! Kumbuka DPP si mpelelezi, yeye anapokea majalada yaliyopelelezwa tayari! Kwa hiyo kama hujui uliza badala ya kutema upupu wa kuwapotosha watu makusudi! Otherwise ukikaa na ushahidi wako au kuuanika hapa JF utakuwa hujasaidia kitu na utaonekana kuwa wewe ni sehemu ya tatizo la rushwa!


Mzee umeshusha maneno ya bure . Hawa jamaa wako chini ya Feleshi nma ni sahihi Feleshi kupewa taarifa na hata kuchunguza pia anaweza kabla ya hao PCCB
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom