Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
Sisi wakazi wa Arusha tumeona pa kukimbilia ni JF kwa kuwa si PCCB wala Ofisi ya DPP inaweza kutusikiliza kirahisi . Kwa kuwa tuna amini JF ni mrwisho wa maelezo leo tunaweka swali hili kwa DPP Feleshi .
Baada ya Serikali kusema Polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa Serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha .Wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba Kombe ni hatari na anatishia Mahakama ya Arusha .Kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu . Ndugu Feleshi naamini wewe ndiye Muhusika funguka masikio nan mulika Arusha Kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya Arusha . Ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana .Ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa .Kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu .
Baada ya Serikali kusema Polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa Serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha .Wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba Kombe ni hatari na anatishia Mahakama ya Arusha .Kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu . Ndugu Feleshi naamini wewe ndiye Muhusika funguka masikio nan mulika Arusha Kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya Arusha . Ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana .Ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa .Kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu .