Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Wabongo bwana, yaani tumeshindwa kuvipa nguvu vyama vilivyopo tunang'ang'ania kuanzisha vipya? Demokrasia hailetwi na wingi wa vyama vya siasa bali uimara wa vichache vilivyopo. Utitiri kama huu nauona kama evidence ya UBINAFSI!
Kwa maoni yako, nini ni tofauti ya msingi iliyopo baina ya vyama vyote vikubwa vya upinzani vilivyopo Tanzania (nje ya chama kipya cha CCK)?