DOWANS yaandaliwa kununuliwa na Manispaa ya San Antonio, Texas-US

JK/CCM are in denial that Change is coming to Tanzania:peace:
 
Nilidhani nimefikia kikomo cha kukasirika kumbe, nina ability ya kukasirika to infinity....:angry: These people think they are dealing na mazuzu

Aren't we???? as a matter of fact... I think we are!!! Hivi tunawaogopa nini hawa maaluni!!!
 
Tatizo sio wanaoiba, tatizo ni la wanaoibiwa. We, wananchi are too emotional most of the time. We think emotionally, we plan emotionally, we act and talk emotionally. Hawa wezi walishatujua. Sasa wanatuangalia tu!! Tunachohitaji sio kelele na malalamiko tena,tunatakiwa tuonyeshe chuki na matendo ya chuki kwa hao tunaofikiri wanaiba na wanaoshirikiana nao na hata watoto wao. This should be our principle in life.

Tuingie mtaani,tuchome nyumba zilizojengwa kwa hela za wizi, tuwapige mawe wao wake zao na watoto wao. Wataogopa - watakimbia-watatuheshimu. Leo wanaiba hela za dowans,kesho benki,makampuni hewa nk. Tunasubiri waone haya, hawana haya hawa!

Kama kupinga kisheria huwezi, hata kumpiga mwizi jiwe huwezi??? Acheni utani bwana.
 
Nitampigia simu Anderson Cooper/ AC 360 kufuatilia hiyo manispaa ya San Antonio then aitoe kwenye CNN prime time:twitch:
 
Value ya DOWANS ni the power generation equipment. There is nothing else to buy as they have no contract. Sasa, I thought hii mitambo "ilishauzwa" to IPC last year (Dowans generators sold for Sh101bn) So how is it that the same equipment is being sold twice?!

Also, The EastAfrican ya this week makes for interesting reading.
 
Just checked out CPS Energy. For company that has made its first foray into Africa, there is no reference to this deal on their rather extensive website. Curious......
 
jamani eenh mitambo ipo kwenye ardhi yetu kwa nini tusiandame km egypt au tunisia tukaitie moto yabaki majivu tu. huu ujinga kabisa umeme wenyewe hatukuuona na sasa taifa linadaiwa na serikali dhalimu ya jk inataka kulipa fasta fasta, na sie tukachome moto ule uchafu hautusaidiii.
 
jamani eenh mitambo ipo kwenye ardhi yetu kwa nini tusiandame km egypt au tunisia tukaitie moto yabaki majivu tu. huu ujinga kabisa umeme wenyewe hatukuuona na sasa taifa linadaiwa na serikali dhalimu ya jk inataka kulipa fasta fasta, na sie tukachome moto ule uchafu hautusaidiii.

voda fasta
 
Back
Top Bottom