DOWANS: Slaa ulituongopea!

Wewe mtoa mada, pia soma hapa, tumeambiwa Porteck ni ya Singapore, sawa, Waziri kasema hivyo wal si mm..... halafu some hii post hapa chini Rostam alisema nini (kwenye RED) Eti kuwasghhawishi waje kuwekeza kwenye Usafiri wa anga, Kalangabahoo!!!!!!¬!

Tanzania Daima(January 6,2011)

Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.

“Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke. “Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga,” alisema Rostam.


Alipotakiwa kueleza iwapo yeye ni mmoja wa watu wanaotarajia kufaidika na malipo ya shilingi bilioni 185 ambazo TANESCO inatakiwa kuilipa fidia Dowans, mfanyabiashara huyo alikana kuimiliki kampuni hiyo.
Mbali ya kukanusha hilo, Rostam aliyabeza madai ya baadhi ya wanasiasa wanaohusisha fedha hizo na yeye akisema katika mkusanyiko wa biashara zake anazofanya ndani na nje ya nchi kiasi hicho cha fedha wanazotarajiwa kulipwa Dowans ni sawa na mapato yake ya miezi minne tu.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
Oooh my God, najitahidi sana nisikudharau lakini nashindwa.
 
nyantella
user-offline.png
Join DateFri Dec 2010Posts59Thanks0Thanked 9 Times in 6 Posts Rep Power21

 
Raymond Kaminyoge
........Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Alisema Sh.185 bilioni zilizokuwa zikitajwa kwenye vyombo vya habari ndizo ambazo kampuni ya Dowans iliiomba ICC ilipwe fidia kwa Tanesco kwa kukatiza mkataba walioingia wa kufua umeme, lakini mahakama iliafiki ilipe dola 65 milioni za Marekani.

Wait a minuta and give me a break! Ni dola elf 65 au dola milion 65???
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

Hivi unaweza kuamini kila tamko linalotoka serikali hii ya Kikwete. Kwanini usifuatilie matukio ya nyuma; kuhusu, Richmond, kuhusu Kiwira, kuhusu Rada etc. kuna wakati ukweli ulitolewa kirahisi?? "amka wewe" Hapa JF naona sio mahali pako umetumwa lakini utakutana na Great Thinkers ambao hawadanganyiki kirahisi.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

List of owners iliyotajwa imetengenezwa - huenda wengine ni vivuli tu. Kwani watendaji wakuu wa Brela ni wateule wa nani?
Wee subiri tu. Watabanwa hao waliotajwa kama wamiliki kama hujaona wameufiata na kuingia mitini.

Unapaswa pia kukumbuka kuwa katika majina ya waliotajwa yumo yule jamaa wa Uarabuni (Oman sijui?) ambaye amenukuliwa mara kadhaa kukanusha umiliki. So, wee subiri.

Goes without saying kuwa JK is behind all these listed thugs.
 
Majambo umenena, hivi kweli jamani hata viongozi wanadanganya na kueneza unsubstantiated rumours.!! this is really bad!!
na mi sioni ajabu kwani sio huyu aliyedai kuna kontena la karatasi za kura limeingizwa nchini ambapo baadae ikathibitika ni porojo, uongo, uzabizabina na ukenge wa hali ya juu.

Hivi unajua zile karatasi za kura ziliishia wapi eventually? Ungekuwa unajua usingesema haya!
Hivi ile kesi ya yule jamaa aliyeibua kashfa ya karatasi za kura unajua imeishia wapi? Same argument!

Advantage aliyo nayo JK ni kule kushika kisu kwenye mpini...basi!
 
Ama kweli ccm wana sera, wametishwa nyau na Dr Slaa kidogo, wanapayuka ovyo. eti wamiliki wa dowans, hata watoto wa chekechea hawawezi kuwadanganya.
 
GUY PICARD
Software developer-Taleo Canada
Not much about him in ukijaribu ku Google, wengine wanaweza kuendelea kutafuta taarifa zake tusaidiane kuuweka ukweli wazi.
Mr. Gopalakrishnan Balachandran
G Balachandran Is a company located in India Maharashtra Dombivli East. If you have any needs, please contact Mr. gopalakrishnan balachandran, MobilePhone: , Phone: 91-251-2437401, Fax: 91. In addition, you can try to contact G Balachandran by the fixed contact, Address: Flat No. 201, RAM Chintamani, G B Patharli ZipCode: 421201.
Kwa haraka huyu anaonyesha anajihusisha na kilimo, taarifa zake (but very sketchy) zimetundikwa hapa, www.agriculturesource.com
Stanley Munai, ni muhasibu kwa taaluma, anatajwa kama mkurugenzi wa fedha wa Dowans, alifanya kazi pia Delloite and Touche kama manager

Andrew Jame Tice taarifa zake kwa kina ziko hapa http://ae.linkedin.com/in/andrewjamestice lakini is mentioned kuhusu Dowans Holdings S.A

Jamani tusaidiane kutafuta taarifa za kina za watu hawa, ukweli utajulikana tu..
 
jamani mbona na sisi tunashindwa kuelewa hii habari, hakuna majina ya wamiliki yaliyotajwa na Ngereja
hebu tuisome hii habari
" Aidha Ngeleja aliwataja wamiliki wa Dowans Tanzania Ltd, na hisa wanazomiliki katika mabano kuwa ni Dowans Holding S.A ya Costa Rica (81) na Portek Systems and Equipment (PTE) LTd (54)."

hapo juu kawataja wamiliki tu bila kuwataja majina na hapa chini

Aidha Waziri Ngeleja huku akirejea barua ya Wakala wa Usajili wa Kampuni (Brella), aliwataja wakurugenzi na nchi wanazotoka kuwa ni Andrew James Tice (Canada) na Gopalakrishnan Balachandaran (India).

Wakurugenzi wengine kwa mujibu wa Waziri Ngeleja ni Hon Sung Woo (Singapore), Guy Picard (Canada), Sulaiman Al Adawi (Oman) na Stanley Munai (Kenya).


hao walitajwa majina ni wakurugenzi tu na wanaweza kuwa sio wenye hizo campuni
swali linabaki palepale nani ni wamiliki wa Dowans?


 
RAFIKI YANGU, HUJUI KUWA ccm NI CHAMA KILICHO JAA WATU WASHENZI?
NDIO MAANA HUJASIKIA LOWASA WALA ROSTAMA WAKITAJWA.
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
 
hapo mimi huwa ndio najiulizaga hawa jamaa wa UWT, wapo kwa maslahi ya nani, nadhani hii issue ni sensitive kwa usalama wa taifa, fedha za wanachi haziwezi kutoka hivihivi kwa mambo ya kizushi na ya kutengeneza
sidhani kuwa hawa jamaa wana kazi moja tu ya kumlinda JK na kufatitilia wapinzani nina uhakika kuwa hata hili pili lipo kwao kwa kiasi fulani na wangelishughulikia hili jambo kwa maslahi ya taifa
 
Gopalakrishnan Balachandaran (India) Muuza Korosho kutoka TZ
Andrew James Tice

TitleFamily Office AdvisorDemographic info United Arab Emirates | Financial Services Past: Director, Fiduciary Services Division at Deutsche Bank, Director at Gulf Capital Group, Managing Director at RBC Royal Bank, Senior Manager, Inte... Education: York University - Glendon College, Canadian Securities Institute Summary: Award winning senior global banking executive with 25 years’ proven success in international markets. I provide personalized financial services t...Hon Sung Woo (Singapore) found no where in the internate

Guy Picard (Canada). Maches several names of the same!

Sulaiman Al Adawi (Oman)
Company Info Company Name: Services and Trade Company LLC Industry: Construction Address: PO Box 823, PC 112, Ruwi, Sultanate of Oman City: Muscat Tel: +968 24811455 Fax: +968 24816915 URL: STC-Oman Company Brief: The Services & Trade Group of Companies (STC) was established in Muscat, Sultanate of Oman in 1977. STC was founded by Mr. P.N.C Menon and Brigadier General Suleiman Mohd. Yahya Al Adawi, two visionaries whose sense of perfection and quality standards has steered the group to its present stature.

STC is involved in Interior Decoration, Construction, Real Estate Development, Furniture Manufacture and Trading and has successfully executed several renowned and impressive turnkey projects in the Middle East, Europe and the USA.

The Group's turnover is in excess of USD 80 million, and employs about 3500 people including committed professionals and skilled craftsmen, who expertly manage the company's wide range of activities and provide the best quality and value of world class products to the clients. Products & Services: Services & Trade Group of Companies (STC) is the leader in complete turnkey Interior Design, Construction and Furnishing in Sultanate of Oman.

STC has an impressive list of completed projects such as imposing palaces, fabulous villas, impressive hotels, well-appointed restaurants, prestigious commercial establishments and specialist shops. STC also specializes in Civil Works, Steel Structures, Building Materials, Software Development and other Project based Services in Sultanate of Oman.

STC has a well-experienced and highly competent team of professionals specializing in Design, Contracting and Marketing who pride in working with customers to help realize their dreams into realities with the utmost effectiveness and efficiency. Achievements none Contact Person Name: Mr. Waqas Bin Suliman Al Adawi Designation: Admin Email: samira@stcgroups.com Tel: +968 24811455

Stanley Munai


Independent Accounting Professional
Tanzania (Fomer Manager at Deoitte)
 
sidhani kama ana akili timamu huyo........kweli kazi ipo...i think ulikuwa unashika mkia darasani kuanzia vidudu na ubongo wako mgando...stupid.
 
Mimi niliisha sema Kama Slaa angekua na jina la JK kama mmiliki wa Dowans muda woote angeimba hilo soote tunajua hana siri! na hawezi kuficha siri hasa kama ina mhusu JK. aache uongo ame tuchosha na tabia yake ya udalali wa kuuza magazeti!!
alianza na uongo wa ushindi wa 64% sasa wimbo huo umechuja, akabadili strategy kuelekea katiba, huko nako kachemka. sasa kaanza vurugu. ni hatari chama kinacho pendwa na wananchi wengi hivyo kuwa na viongozi wenye umaskini wa busara na hekima kiasi hiki!! inatia uchungu maana wananchi walikiamini kama mkombozi badala yake viongozi wanapekeka wananchi kwenye firing squad!

Hivi Slaa anakumbuka kwamba aliwaahidi wananchi kwamba hataenda ikulu kwa kukanyaga maiti, mbili hizo tayari anasubiri zifike ngapi? 3, 4, 5,....au 1000? tuambie tafadhali.

Sasa Rostam mbona anatajwa kwenye utetezi wa Tanesco ICC?
 
Tutumie vichwa vyetu tulivyopewa na mwenyezi mungu kupambanua mambo madogomadogo kabla hatujaanza kurukia mambo makubwamakubwa. Haingii akilini mawaziri wanatueleza kuwa wamiliki wa Dowans Tanzania LTD hakuna hata mtanzania mmoja wakati sheria ya usajiri wa makampuni ya BRELA inasema ili kampuni iweze kusajiriwa hapa nchini ni lazima mmojawapo wa shareholders awe mtanzanie na amiliki si chini ya asilimia 35 ya share, mimi si mwanasheria lakini naamini ni wakati sasa wa wanasheria hapa nchini kuonyesha profesionalism ya taaluma yenu katika hili nla Dowans. Mtu anaposema serikali haiusiki kwa hili nadhani hayuko sahii maana ni dhairi kabisa kuwa taarifa ya Ngerenja ni ya kupika na ninaamini wapo watu wenye taarifa sahii kuhusu dowans na muda si mrefu zitapatikana kwa kila mtu. Tuache ushabiki wa kijinga, watanzania wanateseka. Miaka mitano ije kuisha hata nyie mnaoshabikia mambo ya kijinga kuwa Dr. Slaa anadanganya hata kama wewe unafaidika na hiyo Dowans lakini ndugu zako na jamaa zako kiboko ya CCM itakuwa imetutia adabu! Subirini na nauli za daladala zipande kwa asilimia mia, hata wenye magari itafikia wakati itabidi tuyapaki! Tushabikie vitu vya kujenga taifa si vitu vya kubomoa taifa kwa dhuluma kama hizi za Dowans!
 
Jamani hii kauli ya Ngeleja kwenye RED ina ukweli wowote!? kama si kweli basi kuna kila sababu ya kutilia mashaka uamusi wa serikali!!

Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja amewataja wamiliki wa Dowans baada ya kupata taarifa kutoka Brela kwa barua yenye kumb. namba MITM/RC/58550/22 ya Januari 5, mwaka huu ambao ni Dowans Holdings S.A, yenye hisa 81 ya Costa Rica na Portek System and Equipment PTE Limited hisa 54 ya Singapore.

Alisema wakurugenzi wa Dowans wa hapa nchini ni Andrew James Tice (Canadian), Gopalakrishnan Balachandran (Indian), Hon Sung Woo (Singapore), Guy Arthur Picard (Canadian), Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi (Oman) na Stanley Munai (Kenyan).
Wakati Ngeleja akitaja majina hayo, wiki moja iliyopita Tanzania Daima ilikwisha kuwataja wanaomiliki kampuni hiyo.

Alisema hakuna sheria inayowataka wawekezaji wakitaka kuanzisha kampuni nchini ni lazima awepo mbia wa ndani, wanaweza kuanzisha wenyewe ikiwa wamefuata taratibu na sheria za nchi.

Alisisitiza kuwa hakuna uhusiano wowote kati ya ulipwaji fidia wa sh bilioni 94 kwa Dowans na TANESCO kupandisha bei za umeme kama ilivyoamriwa na Ewura.


"Ni upotoshaji mkubwa kuhusisha mambo mawili tofauti... migogoro ya Richmond na Dowans ilipelekwa ICC mwaka 2008, sasa kwanini watu wanaunganisha haya? Labda hii inatokana na watu kupenda kuchakachua maneno," alisema.


Alisema kuwa kuna bidhaa mbalimbali zimekuwa zikiongezeka bei lakini wanashangazwa na hatua ya Ewura kupandisha gharama hiyo kwa asilimia 18.5 na kusababisha baadhi ya makundi kutaka kuandamana wakati ongezeko la bei ya umeme ni suala la kiuchumi na kibiashara kwa shirika hilo.

 
Kama rais amesingiziwa jambo kwanini mtu aliyesingizia asipelekwe mahakamani?
Dr. alishawahi kusema kuwa JK ni fisadi, lakini hakupelekwa mahakamani.
Pia akasema JK ni mmiliki wa Dowans lakini hajapelekwa mahakani.
Kama kweli JK sio mmiliki wa Doweans basi ampeleke Slaa mahakamani huko ndio ukweli utajulikana lakini akikanusha tuu kwa kuwataja majina ya wengine kabisa bila kuchukua hatua za kisheria hiyo inadhihilisha kuwa JK ni mmiliki.
 
Na kwa taarifa yake huyu wa kuja ni kwamba hata hawa waliotajwa ni mpango uliosukwa fasta ili kumsafisha JK...KWANI SIKU ZOTE WALIKUWA WAPI KUWATAJA?...HUONI KWAMBA KITENDO CHA SLAA KUSEMA VILE KIMEHARAKISHA SERIKALI KUWATAJA HAO WATU.?..JAPOKUWA wa hakika ni changa la macho!

Na hao sio wamiliki ni bodi ya wakurugenzi
 
Back
Top Bottom