wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts
Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti
Unasema JK own DOWANS lete ushahidi
This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu
Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti
Unasema JK own DOWANS lete ushahidi
This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu
Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!