Tajiri wa kiatabu ambaye ni brigadia mstaafu wa jeshi la omani bw suleiman mohammed yahya al andwi alisema alishawishiwa kuja tz na rostam azizi. Tajiri huyu alikuwa na hisa vodacom akiwa na idrisa rashid kama mkurugenzi na willium ngeleja kama wakili
source :dira ya mtanzania leo
source :dira ya mtanzania leo