Dowans imejivua gamba, TANESCO wanatufanya sie watoto

MTENDAHAKI

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,013
1,443
Baada tu ya TANESCO kuanza mgao wao wa siku 9,ghafla kampuni ya kimarekani ikaibua na kununua mitambo ya Dowans.Huu ni mchezo wa kuigiza ambao hauhitaji elimu yoyote kuushtukia,TANESCO kama vile hawajui kuwa hii SYMBIONS ni DOWANS ileile wanajifanya kuchangamkia kuingia nayo mkataba!!Ifikie wakati serikali na TANESCO wajue kuwa watanzania ni kweli tuna shida ya umeme ILA SIO HUU WA DOWANS WALA PACHA WAKE SYMBION.Kwani hiyo mitambo ya Dowans ni lazima ifanye kazi Tanzania???Kwanini hao Dowans watoto wasiende kuuza umeme wao Msumbiji,Kongo na kwingineko ambako mitambo hiyo haijachafuka????kwanini iwe Tanzania.Hatuhitaji kupotezewa muda wa kulumbana katika hili,"Nyoka akivua gamba sumu yake huongezeka ukali maradufu"!!!Hawa symbion ni Dowans walelwale waliojivua gamba!!!Hatuutaki umeme wao,bora mtuache na giza kuliko kutuhadaa kwa mbinu nyepesi za mgao wa siku tisa halafu mnaichukua Dowans kiujanja ujanja!
 
Baada tu ya TANESCO kuanza mgao wao wa siku 9,ghafla kampuni ya kimarekani ikaibua na kununua mitambo ya Dowans.Huu ni mchezo wa kuigiza ambao hauhitaji elimu yoyote kuushtukia,TANESCO kama vile hawajui kuwa hii SYMBIONS ni DOWANS ileile wanajifanya kuchangamkia kuingia nayo mkataba!!Ifikie wakati serikali na TANESCO wajue kuwa watanzania ni kweli tuna shida ya umeme ILA SIO HUU WA DOWANS WALA PACHA WAKE SYMBION.Kwani hiyo mitambo ya Dowans ni lazima ifanye kazi Tanzania???Kwanini hao Dowans watoto wasiende kuuza umeme wao Msumbiji,Kongo na kwingineko ambako mitambo hiyo haijachafuka????kwanini iwe Tanzania.Hatuhitaji kupotezewa muda wa kulumbana katika hili,"Nyoka akivua gamba sumu yake huongezeka ukali maradufu"!!!Hawa symbion ni Dowans walelwale waliojivua gamba!!!Hatuutaki umeme wao,bora mtuache na giza kuliko kutuhadaa kwa mbinu nyepesi za mgao wa siku tisa halafu mnaichukua Dowans kiujanja ujanja!

Hivi unaongea kwa kuwawakilisha kina nani. Wengine tunauhitaji sana umeme uwe wa Dowans au wa shetani. Mradi ni umeme na tuwe nao, mradi tu hawajavunja sheria za nchi.

Hizi choko choko za watu kama wewe ndio zinadhoofisha maendeleo ya hii nchi. Roho mbaya na husda ndio zinawasumbuwa watu kama wewe, nnauhakika uko katika okoo ambao una wachawi wengi kama wewe si mmoja wapo.

Kama wewe, walianzisha chokochoko, matokeo? mgao tukawa nao, na fedha juu tukamriwa tuwalipe Dowans na zitalipwa tukitaka tusitake, una nini wewe?
 
Ninataarifa zako,nasubiri kuzithibitisha tu!!mgao wa siku 9 ambao leo zimebaki tatu hauwezi kutununulisha dowans
 
Hivi unaongea kwa kuwawakilisha kina nani. Wengine tunauhitaji sana umeme uwe wa Dowans au wa shetani. Mradi ni umeme na tuwe nao, mradi tu hawajavunja sheria za nchi.

Hizi choko choko za watu kama wewe ndio zinadhoofisha maendeleo ya hii nchi. Roho mbaya na husda ndio zinawasumbuwa watu kama wewe, nnauhakika uko katika okoo ambao una wachawi wengi kama wewe si mmoja wapo.

Kama wewe, walianzisha chokochoko, matokeo? mgao tukawa nao, na fedha juu tukamriwa tuwalipe Dowans na zitalipwa tukitaka tusitake, una nini wewe?
Hapo kwenye RED ni yule mfuga majini wa pale magomenii mwembechai ndio anatoka ukoo wa wachawi.
 
Hivi unaongea kwa kuwawakilisha kina nani. Wengine tunauhitaji sana umeme uwe wa Dowans au wa shetani. Mradi ni umeme na tuwe nao, mradi tu hawajavunja sheria za nchi.

Hizi choko choko za watu kama wewe ndio zinadhoofisha maendeleo ya hii nchi. Roho mbaya na husda ndio zinawasumbuwa watu kama wewe, nnauhakika uko katika okoo ambao una wachawi wengi kama wewe si mmoja wapo.

Kama wewe, walianzisha chokochoko, matokeo? mgao tukawa nao, na fedha juu tukamriwa tuwalipe Dowans na zitalipwa tukitaka tusitake, una nini wewe?

Ha ha haaaaa, hivi wadau hilo tatizo la umeme ni kubwa kiasi hiki!!!
 
Hakuna jipya hapa ni umburukenge wa JK ambaye sasa ametuma vimburu wake kuja kutetea ujinga, utawaona tu kwa majina yao lakini amesahau miongo kadhaa aliposema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulla. Imekula kwake.
 
Hakuna jipya hapa ni umburukenge wa JK ambaye sasa ametuma vimburu wake kuja kutetea ujinga, utawaona tu kwa majina yao lakini amesahau miongo kadhaa aliposema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulla. Imekula kwake.

Nyie si tunawajuwa, Kikwete anawakera kwa Dini yake tu, hakuna kingine.

Imekula kwake? unanchekesha! Kikwete ndio Rais, Makamu wake ni Dr. Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar ni Dr. Mohamed Shein na makamu zake ni Seif Double.

Mawaziri Muhimu ni Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mustafa Mkulo, Jumanne Abdallah Maghembe, Hawa Abdul Rahman Ghasia (FFU), Omar Nundu, Haji Hussein Mpanda, Shukuru Jumanne Kawambwa. Upo hapo ulipo??
 
Hivi unaongea kwa kuwawakilisha kina nani. Wengine tunauhitaji sana umeme uwe wa Dowans au wa shetani. Mradi ni umeme na tuwe nao, mradi tu hawajavunja sheria za nchi.

Hizi choko choko za watu kama wewe ndio zinadhoofisha maendeleo ya hii nchi. Roho mbaya na husda ndio zinawasumbuwa watu kama wewe, nnauhakika uko katika okoo ambao una wachawi wengi kama wewe si mmoja wapo.

Kama wewe, walianzisha chokochoko, matokeo? mgao tukawa nao, na fedha juu tukamriwa tuwalipe Dowans na zitalipwa tukitaka tusitake, una nini wewe?

We need power yes whether from solar,wind, symbion, but just so the current litigation doesn't touch the arrangement

I see so much hatred in ur post though...why ? U may explain constructively as I take it to understand gas is cheaper than HFO so the symbion deal if clean is best for now...

No need to vent out @ muanzisha thread just let him know ur stand
 
Nyie si tunawajuwa, Kikwete anawakera kwa Dini yake tu, hakuna kingine.

Imekula kwake? unanchekesha! Kikwete ndio Rais, Makamu wake ni Dr. Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar ni Dr. Mohamed Shein na makamu zake ni Seif Double.

Mawaziri Muhimu ni Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mustafa Mkulo, Jumanne Abdallah Maghembe, Hawa Abdul Rahman Ghasia (FFU), Omar Nundu, Haji Hussein Mpanda, Shukuru Jumanne Kawambwa. Upo hapo ulipo??

Huko ni kuwadhalilisha waislamu, kwahiyo hali ngumu hii ya maisha inasababishwa na waislamu? pole bado unaishi dunia ya kale, kuna Gaidi lingine la kiislamu limeshauwawa huko Afghanstan tunasubili kuconfirm tu hizi habari ili tufunguwe shampeni na kugonga cheers!
 
Nyie si tunawajuwa, Kikwete anawakera kwa Dini yake tu, hakuna kingine.

Imekula kwake? unanchekesha! Kikwete ndio Rais, Makamu wake ni Dr. Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar ni Dr. Mohamed Shein na makamu zake ni Seif Double.

Mawaziri Muhimu ni Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mustafa Mkulo, Jumanne Abdallah Maghembe, Hawa Abdul Rahman Ghasia (FFU), Omar Nundu, Haji Hussein Mpanda, Shukuru Jumanne Kawambwa. Upo hapo ulipo??
Uislamu siyo jina,ni kusali sala tano,kufunga ramadhani,kuhiji mecca(kama una uwezo),kutoa zaka na zaidi ya yote kushuhudia.Je,una uhakika kuwa hao uliowataja ni waislam?...au majina tu.

Girl,you are so hateful!!....can you get your religion out of our civil rights?
 
Uislamu siyo jina,ni kusali sala tano,kufunga ramadhani,kuhiji mecca(kama una uwezo),kutoa zaka na zaidi ya yote kushuhudia.Je,una uhakika kuwa hao uliowataja ni waislam?...au majina tu.

Girl,you are so hateful!!....can you get your religion out of our civil rights?

Its not my problem.
 
Nyie wadanganyika mna matatizo sana..na kwa hili hatutaendelea kamwe!! Kila point ya maendeleo ikitokea ..tunaanza mambo ya udini..Hata Roma na Saudia hawana ushabiki wa kinafiki kama wa kwetu wa Tanzania..inaelekea akili zetu zimedumaa sana.. Wenzetu wakiongezewa bei ya mkate na mafuta wanaandamana.. Sisi tunalala kwenye giza..viwanda havifanyi kazi..ufanisi unapungua..gharama ya maisha dar ni sawa na Tokyo au New York..lakini kwa unafiki wetu tuna ongelea juu ya udini...eti ndio unaleta umasikini wetu wa kufikiri..Halafu mtu anayeshabikia wala hajui msikiti wala kanisa lilipo..Tuamke jamani!!!
 
Hivi unaongea kwa kuwawakilisha kina nani. Wengine tunauhitaji sana umeme uwe wa Dowans au wa shetani. Mradi ni umeme na tuwe nao, mradi tu hawajavunja sheria za nchi.

Hizi choko choko za watu kama wewe ndio zinadhoofisha maendeleo ya hii nchi. Roho mbaya na husda ndio zinawasumbuwa watu kama wewe, nnauhakika uko katika okoo ambao una wachawi wengi kama wewe si mmoja wapo.

Kama wewe, walianzisha chokochoko, matokeo? mgao tukawa nao, na fedha juu tukamriwa tuwalipe Dowans na zitalipwa tukitaka tusitake, una nini wewe?

Sasa kama umeme ni umeme hata wa shetani iweje uwe na tatizo na ukoo wenye wachawi wengi ? Naona unajichanganya na huna hoja

Kesho ukiwa na ndugu anaombwa rushwa ili apewe ARV utasema ni sawa atoe tu ili asife hana haja ya kulalamika just bcs anahitaji dawa ya kuongeza urefu wa maisha .Yaani uuze utu wako ajiliya tatizo ambalo unaweza kupata suluisho sehemu nyingine.


Nyie si tunawajuwa, Kikwete anawakera kwa Dini yake tu, hakuna kingine.

Imekula kwake? unanchekesha! Kikwete ndio Rais, Makamu wake ni Dr. Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar ni Dr. Mohamed Shein na makamu zake ni Seif Double.

Mawaziri Muhimu ni Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mustafa Mkulo, Jumanne Abdallah Maghembe, Hawa Abdul Rahman Ghasia (FFU), Omar Nundu, Haji Hussein Mpanda, Shukuru Jumanne Kawambwa. Upo hapo ulipo??

So looow. Kama kuna hata 50% ya waislam wana mtazamo kama wako ni msiba kwa taifa na mabaya zaidi kwa waislam wenyewe

kumbe mnashinwa kupaza sauti kukemea maovu mfano kutaka serikali irudishe nyumba ilizouza sababu aliyepo ikulu ni JK.
-Je akiingia rais wa imani tofauti mtaunga mkono hiy hoja ?
-Je mkigundua hizi nyumba waliouziwa wengi ni imani tofauti ndo mtaunga mkono??!!!!!!

Paga na pangua hoja la sivyo unapigana vita bila kujua adui yako na mwisho wa vita unajikuta umbe adui yako alikuwa ni wewe mwenyewe.

 
Huku kwetu hakuna mgao - ni full umeme 24/7 - na tumeunganishwa kwenye "grid" ya taifa!
 
Mtendahaki, tell me exactly what is wrong with DOWANS generating power for starving Tanzania. Yuo dont want power generated by DWNs but IPTL?!, do you know howmuch taxpayers money is spend on purchasing power generated by IPTL which would be served by buying power generated by DWNs?, would advise you not to support movements you do not know their purpose.
Baada tu ya TANESCO kuanza mgao wao wa siku 9,ghafla kampuni ya kimarekani ikaibua na kununua mitambo ya Dowans.Huu ni mchezo wa kuigiza ambao hauhitaji elimu yoyote kuushtukia,TANESCO kama vile hawajui kuwa hii SYMBIONS ni DOWANS ileile wanajifanya kuchangamkia kuingia nayo mkataba!!Ifikie wakati serikali na TANESCO wajue kuwa watanzania ni kweli tuna shida ya umeme ILA SIO HUU WA DOWANS WALA PACHA WAKE SYMBION.Kwani hiyo mitambo ya Dowans ni lazima ifanye kazi Tanzania???Kwanini hao Dowans watoto wasiende kuuza umeme wao Msumbiji,Kongo na kwingineko ambako mitambo hiyo haijachafuka????kwanini iwe Tanzania.Hatuhitaji kupotezewa muda wa kulumbana katika hili,"Nyoka akivua gamba sumu yake huongezeka ukali maradufu"!!!Hawa symbion ni Dowans walelwale waliojivua gamba!!!Hatuutaki umeme wao,bora mtuache na giza kuliko kutuhadaa kwa mbinu nyepesi za mgao wa siku tisa halafu mnaichukua Dowans kiujanja ujanja!
 
Back
Top Bottom