Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hii mitambo iwashwe au isiwashwe? Na kwa nini?
Aliyezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
Aliyezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
mh! shauri lao. wabadilishe sheria, wanunue, wawashe kivyao.
swali ni je utaanzaje kununua mali yako?
Utata mtupu.. afu ikiwashwa deni linaongezeka au tunaanza kuwalipa bili mpya
duh!!mkuu majimshindo kumbe sisi tunaopiga makelele kuwa mitambo isiwashe tumekalia mti huku tunaukata sio?..so bora mitambo iwashwe kama vipi na kwa nini watu wengine hawataki iwashwe kama all in all tunawalipa kutokana na mkataba? Na ile gesi ya kuendeshea ile mitambo ni ya nani?
Mtoa mada umesahau kitu. Napenda kukuuliza, unataka mitambo iwashwe kwani tumeshalipa? Kati ya wafuatao niambie nani alikuwa na ujasiri wa kukutana na muwekezaji? a) Ngereja b)Mr.President c)Mnyika d)JMakamba d)waziri kivuri nishat na madini wa chadema e)mkuu wa mkoa ambapo mitambo ipo f) wanaharakati wote waliokuwa wanaongea saaaana kuhusu dowans.
ukimaliza hapo uniambie kati ya Mr.Dowanz na wale watanzania waliohusika kwenye mikataba nani sisi watanzania tunapaswa kufa nae? Mie naona Mr.Dowanz kama muwekezaji hana makosa kwani hana uzalendo na sisi lakini je hawa watanzania ambao tumeona walihusika na hawakuweka uzalendo mbele tuwafanyeje?
Mwisho naomba unijulisheje wakati wabunge under Sitta wanaishawishi serikali kuvunja mkataba ni kweli walikuwa hawajui madhara ya kuvunja mkataba kwa muwekezaji wa kimataifa?
Mtoa mada umesahau kitu. Napenda kukuuliza, unataka mitambo iwashwe kwani tumeshalipa? Kati ya wafuatao niambie nani alikuwa na ujasiri wa kukutana na muwekezaji? a) Ngereja b)Mr.President c)Mnyika d)JMakamba d)waziri kivuri nishat na madini wa chadema e)mkuu wa mkoa ambapo mitambo ipo f) wanaharakati wote waliokuwa wanaongea saaaana kuhusu dowans.
ukimaliza hapo uniambie kati ya Mr.Dowanz na wale watanzania waliohusika kwenye mikataba nani sisi watanzania tunapaswa kufa nae? Mie naona Mr.Dowanz kama muwekezaji hana makosa kwani hana uzalendo na sisi lakini je hawa watanzania ambao tumeona walihusika na hawakuweka uzalendo mbele tuwafanyeje?
Mwisho naomba unijulisheje wakati wabunge under Sitta wanaishawishi serikali kuvunja mkataba ni kweli walikuwa hawajui madhara ya kuvunja mkataba kwa muwekezaji wa kimataifa?