Dowans: Another Richmond in making?

Dr. Iddriss Rashid katoa Press Release LEO ambayo inaonesha kuwa mkataba huo hautokuwepo kufikia August mosi mwaka huu. Najua hii ni habari njema kwa walio wengi na mbaya kwa wachache.

Taarifa zaidi tutafahamishana hapa.

Kwa wanaoangalia TBC wanaweza kuona hii habari muda si mrefu
 
Dr. Iddriss Rashid katoa Press Release LEO ambayo inaonesha kuwa mkataba huo hautokuwepo kufikia August mosi mwaka huu. Najua hii ni habari njema kwa walio wengi na mbaya kwa wachache.

Taarifa zaidi tutafahamishana hapa.

Kwa wanaoangalia TBC wanaweza kuona hii habari muda si mrefu
ipo sasa TBC1 na wanaongea na simu na idriss Rashid kwa kweli mungu ashukuruwe kwa wingi wa rehema zake.hatimaye tumeshinda watz.kuhusu suala la malipo kasema ni hatua ya pili.
 
mapambano haya ni mazito...! sasa kwenye kurudisha fedha. Ngoja tuanze kuhesabu hela yetu waliyochukua.
 
na waziri Ngeleja kadhibitisha ulikuwa ni mkataba batili na wanatakiwa waondoe mitambo yao ifikapo agust mosi.Hongera kamati ya Mwakyembe
 
Dr. Rashid anasema mkataba unasimamishwa na anasisitiza kuwa umesimamishwa na malipo ya Milioni 152 ambayo walikuwa wanalipwa kila siku itakuwa kwenye hatua ya pili. Hatua ya kwanza ambayo na serikali imeridhia ilikuwa ni kuusimamisha mkataba huo haraka baada ya kushauriwa vema na wanasheria.

Malipo ya Capacity Charge wanalipa Hazina kwa niaba ya serikali. TANESCO inalipia gesi kila mwezi kulingana na gesi inayotumiwa.

Anasema hawataweza kuwadai matumizi ya gesi kwakuwa ilikuwa inatumiwa lakini suala la Capacity Charge ambayo ilikuwa ikilipwa kila siku ndilo wanaliangalia kwa undani.

Waziri William Ngereja pia amethibitisha jambo hili na anasema wamegundua kweli mkataba mzima ulikuwa si halali (ni batili).

Zaidi tutaendelea kupata toka vyanzo vya habari
 
na waziri Ngekeja kadhibistishaulikuwa ni mkataba batili na wanatakiwa waondoe mitambo yao ifikapo agust mosi.Honera kamati ya Mwakyembe

Najua tuu tutaanza kuambiwa wamesharudisha kiasi kadhaaa bila ushahidi wowote, Wajinga ndio waliwao.
 
mimi sikubali!je malipo ambayo walikwisha lipa inakuwaje?na wamegundua mkataba si halali walioingia mkataba batili watachukuliwa hatua gani?kusitisha tu haitoshi lazima tuambiwe kama zile pesa zetu zilizolipwa si kihalali zitarudishwa!
 
Haya mambo yanashangaza sana... tuliandika miezi mingi iliyopita.. kanuni za mikataba ziko wazi, anayeweza kuingia mkataba lazima awe na "uwezo" wa kuingia mkataba. Kama Richmond haikuwa kampuni wakati inaingia mkataba, sasa mikataba yote iliyoingia inatenguka. Sasa mtu atakayeenda kuchukua mkataba ulioingiwa na Richmond wakati Richmond siyo kampuni, mkataba wake is bogus.

Hili halihitaji ushauri toka Ulaya kuweza kuliona.
 
Hivi jamani huyu Ngeleja si alikuwa wizara hii hii (wakati wa kusaini mkataba)!! sasa nini tena leo anasema "wamegundua" mkataba ulikuwa "fake", jamani huyu Ngeleja si ni yule mtaalamu wa masuala ya sheria!? Jamani hii imekaaje!

Mi binafsi sikubaliani na maelezo mepesi namna hii, ninachotaka bunge litengue kile kipengele cha sheria kisha mjadala ya Richmond urudiwe tena kujadiliwa!! Mpaka mchawi apatikane!!
 
JF mudumu daima... yaani ninyi ni LAW Firm kubwa kuliko zote Bongo... mlijua mkataba ni mbovu tangu mwanzo....
 
Hivi jamani huyu Ngeleja si alikuwa wizara hii hii (wakati wa kusaini mkataba)!! sasa nini tena leo anasema "wamegundua" mkataba ulikuwa "fake", jamani huyu Ngeleja si ni yule mtaalamu wa masuala ya sheria!? Jamani hii imekaaje!

Mi binafsi sikubaliani na maelezo mepesi namna hii, ninachotaka bunge litengue kile kipengele cha sheria kisha mjadala ya Richmond urudiwe tena kujadiliwa!! Mpaka mchawi apatikane!!

Think BIG,

Inaonyesha unaamini Bunge sana!!! Heri yako!!!
 
na waziri Ngekeja kadhibistishaulikuwa ni mkataba batili na wanatakiwa waondoe mitambo yao ifikapo agust mosi.Honera kamati ya Mwakyembe

Je watarudisha pesa zetu kwa vile hawakuzalisha umeme wowote wakati tulipouhitaji?
 
...yaani 152m per day kwa siku zote zile(almost a year) leo ndio wanakuja kukurupuka eti mkataba ni batili na mnawasifu,tumeliwa tuu hapo maana hata kisheria mkataba ndio unaisha hiyo Agost kwa hiyo wasitupige changa la macho eti wanavunja mkataba ...ni umekwisha!
 
Kuhusu suala la pesa yetu,kwa mujibu wa Idriss Rashid kaema hilola kisitisha mkataba ni la kwanza.tusubiri kitakachofuata jamani warudishe hiyo hela ni nyingi sana kila siku 152m si mchezo ati
 
Hawa wanataka watu kama MUGABE tu!!!! waTZ kazi hiyo hatuwezi!!!!! Wataendelea kulipwa mpaka mkataba ukiisha, tutaambiwa eti serikali imesitisha mkataba. Washakula mwaka mzima sasa, kwani huo mkataba ulikuwa wa muda gani????

Angekuwa Comrade, tayari Dowans wangekuwa OUT!!!!!
 
Back
Top Bottom