Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Dah......hela ishakatika tayari......njaa bana haina adabu....leo hii ndio anaijuwa rushwa?
Huyu si ndio alikuwa mgombea urais ambaye hata mama yake mzazi hakumpa kura yake. Sasa hata mama mzazi hakuungi mkono katika siasa zako kuna kitu hapo zaidi ya kutapatapa na kuganga njaa. Nadhani anamkumbusha kikwete kwamba bado hajampa kamgao kake kwa kumuunga mkono 2010.