Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Wadau,nasikiliza redio hapa, taarifa ya saa 12 jioni hii, kwamba Dovutwa- mwenyekiti wa UDPD ameitisha press confernce na kutetea hatua ya Ridhiwani kutaka kuwapeleka court Dr Slaa na Mch Mtikila.....kaongea mengi, ila zaidi kawashangaa kushusha tuhuma za uwongo kwa Ridhiwani wakati wao ni zaidi ya wanasiasa, yaani ni watu wa dini,,,eti wasiongee kama 'watu wa mitaani'...
Kwa wasiomjua DOVUTWA, ni huyu anayeongea na rais Kikwete pichani (chini)
Kwa wasiomjua DOVUTWA, ni huyu anayeongea na rais Kikwete pichani (chini)