DOUBLE STANDARDS ZA CHADEMA, Lwakatare angekuwa kiongozi wa CCM wangeandamana kushinikiza ajiuzuru

Wewe unachokumbuka ni Mrema kufukuzwa Uwaziri lakini hukumbuki kuwa Mrema alijiuzuru pale mauaji ya vikongwe yalipotokea.
Katika wapinzani ambao naweza kuwapa kura zangu ni Mh Lyatonga Mrema mzee wa siku saba
Chadema bado sana
Kwa akili yako na Mrema mnajenga combination nzuri sana, huyo ndio anafaa kuwa kiongozi wako. ndege wafananao huruka pamoja.

Hakuna unalolijuwa jinsi Usalama wa Taifa unavyofanya kazi zake licha ya kuwa umeshapoteza muelekeo. Usalama wa Taifa si Usalama wa raia hili ulielewe very clear kama kuna uwajibikaji moja kwa moja anahusika RPC, OCD na Waziri husika. usikalilishwe kitu ukawa unaimba kama kasuku tu.
 
Ndugu Zanguni

Nimesoma barua ile iliyowekwa hapa ikidaiwa kuwa imeandikwa na Mh Zitto na pia nimesoma maelezo yake hapa leo na kushangazwa sana na hizi double standards za CHADEMA , chama ambacho ndio kikubwa cha upinzani nchini na ambacho tunategemea ndio kiwe cha kwanza kutuonyesha mfano kuwa wakipewa dola watafanya nini pale viongozi wao wakiharibu au kukumbwa na kashfa yoyote inayohitaji uchunguzi wa polisi.

Wote tunajua kuwa ikitokea kashfa sehemu fulani ndani ya serikali CHADEMA huwa ni wa kwanza kushinikiza mhusika ajiuzuru au asimamishwe kupisha uchunguzi jambo ambalo na mimi nakubaliana nalo kwani huwezi kumchunguza mtuhumiwa wakati bado ni kiongozi. Ili uchunguzi uwe wa huru na haki inabidi muhusika asimamishwe kupisha uchunguzi huo ili asiwe na nafasi yoyote ya kuweza kuharibu ushahidi au kuwanyima nafasi wapelelezi kufanya uchunguzi wa kina kwa kumuonea aibu au huruma. Uchunguzi/upelelezi ukiisha basi hatima yake ndio itajulikana.

Sasa leo chadema wanashindwa kumsimamisha kwa muda Kiongozi wao na wanapinga kwa nguvu zote kuwa ameonewa, Hivi ikija kuonekana kuwa huyo kiongozi ana hatia tutawaelewaje? Kesho mtawezaje kuwanyooshea kidole CCM pale watakapoonekana wana kashfa?

Sidhani kama CHADEMA wanaweza kuchukua maamuzi mazito kama aliyochukua Mh Lowassa pale alipojiuzuru uwaziri mkuu.
Mkuu Lwakatare ni kiongozi wa chama.Hakuna hata siku moja eti chadema wataandamana ama kumshinikiza mwenyekiti ama katibu wa ccm ajiuzulu,hilo halipo,and this goes both ways,unless ni issue ama kiongozi wa serikali,ndipo shinikizo linaweza kutoka from either party na likawa justifiable.

Na pia wanachama wa ccm hawawezi kuandamana eti ili kiongozi wa chadema ajiuzulu,that is none of their business.Hivyo hiyo double standard unayoiona wewe wala haiexist!

Fikiri zaidi na utafakari kabla ya kubandika...
 
Kwa akili yako na Mrema mnajenga combination nzuri sana, huyo ndio anafaa kuwa kiongozi wako. ndege wafananao huruka pamoja.

Hakuna unalolijuwa jinsi Usalama wa Taifa unavyofanya kazi zake licha ya kuwa umeshapoteza muelekeo. Usalama wa Taifa si Usalama wa raia hili ulielewe very clear kama kuna uwajibikaji moja kwa moja anahusika RPC, OCD na Waziri husika. usikalilishwe kitu ukawa unaimba kama kasuku tu.
Naomba kwanza ufanye uchunguzi nafasi aliyokuwa nayo Mrema wakati wa amauaji ya shinyanga halafu ndio uje ujibu
 
Naomba kwanza ufanye uchunguzi nafasi aliyokuwa nayo Mrema wakati wa amauaji ya shinyanga halafu ndio uje ujibu
Yani taarifa ulete wewe halafu uchunguzi nifanye mimi!! unashangaza sana, ni wajibu wako wewe kusema Mrema alikuwa na nafasi gani?
 
Yani taarifa ulete wewe halafu uchunguzi nifanye mimi!! unashangaza sana, ni wajibu wako wewe kusema Mrema alikuwa na nafasi gani?
Chief Deputy for National Security in Shinyanga Region 1985-1987
 
Lukosi,hawawezi kumtosa kwa sababu atamwaga yote,bila shaka wamesha wekeana makubaliano na ndio sababu ya cdm kuwahisha kina Lissu wawe watetezi wake. Wanajitia umwamba lakini mambo yakiwa magumu lazima wamtose
 
Lukosi,hawawezi kumtosa kwa sababu atamwaga yote,bila shaka wamesha wekeana makubaliano na ndio sababu ya cdm kuwahisha kina Lissu wawe watetezi wake. Wanajitia umwamba lakini mambo yakiwa magumu lazima wamtose
Ninachokiona hapa ni kwamba wanaogopa wakimtosa jamaa atamwaga ugali na mboga zote.
Haya ndio mambo ya ukitikichika nchale!
 
You need to practice what you preach Bro.
Chadema have failed to do that.

mkuu haya majibu hapo juu naona umekocopy na kupaste sehemu tofauti ulikuwa unataka kusemaje mtani?coz nilichokieleza kwenye majibu yangu yalikuwa yanajieleza.hivi nini kinaanza kupreach au kupractise?
 
huyu Lukosi inawezekana ana uwezo mdogo wa kufikiri kutokana na hoja zake au amechagua kufikiri vibaya kwa muda.

ingawa athari yake anaweza kuzoea na kuathirika moja kwa moja.

pole sana natamani hali hiyo isiendelee kwa muda mrefu kwa utakimbiwa na mambo mengi sana
 
mkuu haya majibu hapo juu naona umekocopy na kupaste sehemu tofauti ulikuwa unataka kusemaje mtani?coz nilichokieleza kwenye majibu yangu yalikuwa yanajieleza.hivi nini kinaanza kupreach au kupractise?
Mkuu usijifanye huelewi maana.
Huwezi kuwa unawahubiria watu kuhusu uwajibikaji halafu wewe mwenyewe hufanyi hivyo
 
Lowassa alijiuzulu kupisha uchunguzi??? Acha uongo wa kurukia mambo,mwenyewe alishawaeleza wanaCCM kwa nini alijiuzulu...
Uchunguzi ulifanywa lini na wapi ukabaini nini.....baada ya Lowassa kuwa kajiuzulu?
Mwinyi alipisha uchunguzi gani....wewe unazungumzia kupisha uchunguzi au kujiuzulu?
Haya naona umeyarukia tu hata huyajui...no research no rigtht to speak your nonsense.....fanya kuwauliza ndio uje uongee!
Mrema wakati anatikisa..alikuwa akishtakiwa kila mara,leo hana makali ndio kawa mwanasiasa wa kuigwa...!
Haya mambo ya kufananisha vitu vyenye tofauti...
Huyo Lowassa,Mwinyi na Mrema walikuwa mahakama gani wakati wanajiuzulu kupisha uchunguzi???
"Usione ukadhani" by Diwani ya Mloka...
 
Ndugu Zanguni

Nimesoma barua ile iliyowekwa hapa ikidaiwa kuwa imeandikwa na Mh Zitto na pia nimesoma maelezo yake hapa leo na kushangazwa sana na hizi double standards za CHADEMA , chama ambacho ndio kikubwa cha upinzani nchini na ambacho tunategemea ndio kiwe cha kwanza kutuonyesha mfano kuwa wakipewa dola watafanya nini pale viongozi wao wakiharibu au kukumbwa na kashfa yoyote inayohitaji uchunguzi wa polisi.

Wote tunajua kuwa ikitokea kashfa sehemu fulani ndani ya serikali CHADEMA huwa ni wa kwanza kushinikiza mhusika ajiuzuru au asimamishwe kupisha uchunguzi jambo ambalo na mimi nakubaliana nalo kwani huwezi kumchunguza mtuhumiwa wakati bado ni kiongozi. Ili uchunguzi uwe wa huru na haki inabidi muhusika asimamishwe kupisha uchunguzi huo ili asiwe na nafasi yoyote ya kuweza kuharibu ushahidi au kuwanyima nafasi wapelelezi kufanya uchunguzi wa kina kwa kumuonea aibu au huruma. Uchunguzi/upelelezi ukiisha basi hatima yake ndio itajulikana.

Sasa leo chadema wanashindwa kumsimamisha kwa muda Kiongozi wao na wanapinga kwa nguvu zote kuwa ameonewa, Hivi ikija kuonekana kuwa huyo kiongozi ana hatia tutawaelewaje? Kesho mtawezaje kuwanyooshea kidole CCM pale watakapoonekana wana kashfa?

Sidhani kama CHADEMA wanaweza kuchukua maamuzi mazito kama aliyochukua Mh Lowassa pale alipojiuzuru uwaziri mkuu.

Mbona huwataji wengine...wenye kasfa
Kashfa za Mwenyekiti Kikwete;
1.kutumia TISS kutesa na kuteka(Ref Ulimboka & Kibanda)
2.Kuwanyang'anya watoto yatima nyuma mikocheni, URSINO(hatujasahau hii waliitoa mwanahalisi)
3. Kuhusika na ufisadi wa Deep GREEN finances..Ridhwani alishiriki kwa mgongo wa baba yake..
4.Kumteua Mulugo kuwa naibu waziri ilhali anauweza wa kutambua kuwa ni kihiyo
5.Kuangukaanguka ovyo mbele za watu..
N.k...
 
Mkuu Lwakatare ni kiongozi wa chama.Hakuna hata siku moja eti chadema wataandamana ama kumshinikiza mwenyekiti ama katibu wa ccm ajiuzulu,hilo halipo,and this goes both ways,unless ni issue ama kiongozi wa serikali,ndipo shinikizo linaweza kutoka from either party na likawa justifiable.

Na pia wanachama wa ccm hawawezi kuandamana eti ili kiongozi wa chadema ajiuzulu,that is none of their business.Hivyo hiyo double standard unayoiona wewe wala haiexist!

Fikiri zaidi na utafakari kabla ya kubandika...

Akili ya Chris Lukosi ni ndogo sana... Hana uwezo wa kuelewa hayo uliyomwabia. hana uwezo kabisa
 
Last edited by a moderator:
Daa ...inaonyesha uliipenda sana chadema ..umeumizwaaa saana kufukuzwa ...kila kukicha CHadema chadema ...wote watu wazima tuna akili za kuchangua right or wrong ..Get over it !!!
 
Ndugu Zanguni

Nimesoma barua ile iliyowekwa hapa ikidaiwa kuwa imeandikwa na Mh Zitto na pia nimesoma maelezo yake hapa leo na kushangazwa sana na hizi double standards za CHADEMA , chama ambacho ndio kikubwa cha upinzani nchini na ambacho tunategemea ndio kiwe cha kwanza kutuonyesha mfano kuwa wakipewa dola watafanya nini pale viongozi wao wakiharibu au kukumbwa na kashfa yoyote inayohitaji uchunguzi wa polisi.

Wote tunajua kuwa ikitokea kashfa sehemu fulani ndani ya serikali CHADEMA huwa ni wa kwanza kushinikiza mhusika ajiuzuru au asimamishwe kupisha uchunguzi jambo ambalo na mimi nakubaliana nalo kwani huwezi kumchunguza mtuhumiwa wakati bado ni kiongozi. Ili uchunguzi uwe wa huru na haki inabidi muhusika asimamishwe kupisha uchunguzi huo ili asiwe na nafasi yoyote ya kuweza kuharibu ushahidi au kuwanyima nafasi wapelelezi kufanya uchunguzi wa kina kwa kumuonea aibu au huruma. Uchunguzi/upelelezi ukiisha basi hatima yake ndio itajulikana.

Sasa leo chadema wanashindwa kumsimamisha kwa muda Kiongozi wao na wanapinga kwa nguvu zote kuwa ameonewa, Hivi ikija kuonekana kuwa huyo kiongozi ana hatia tutawaelewaje? Kesho mtawezaje kuwanyooshea kidole CCM pale watakapoonekana wana kashfa?

Sidhani kama CHADEMA wanaweza kuchukua maamuzi mazito kama aliyochukua Mh Lowassa pale alipojiuzuru uwaziri mkuu.

Ah wewe nae sasa unatuboa. Huna la kufanya zaidi ya kuendeleza hasira zako kwa Chadema? Najua wewe ni mjasiriamali na sitaki kuamini kuwa kila post unayobandika hapa dhidi ya Chadema unalipwa na CCM.

Let it go, mkuu!
 
Chris mkosi - jamani mhurumieni!!! The guy has lost so many battles simply because he is a deranged opportunist who thought he could fool others as he fools himself time and again that he is important. He came on the public scene on the back of chadema, fell short in every sense of the concept. Was promised a non-existence contract in return to denouncing cdm, sadly, he was given nothing for his project. He was kicked out of chadema, and left falsely smiling at what would have been and more disappointing for him, ekerege was reinstated to his position at tbs. Such is the frustration of the walking corpse that he would say anything or do anything to continue being relevant. But for those who know this hopeless nut, he is an arrogant pumpkin who is obsessed with fame.

Chris mkosi is a character in a story of an an ex-policeman, who found himself in the uk, and thought this was a sufficient qualification for him to be an mp. Sadly he remains the same ex- policeman from a discredited force. Chris mkosi is a line in the closing chapter of some mental cases still at large in tanzania.

Warning !!!!!

Keep your vigilance guys, mkosi could be a rabies infested man still at large!
 
Correction: wangeandamana kudai
sheria ichukuwe mkondo wake. And that's exactly what's happening - kesi
iko mahakmani.

Na wewe ukiwa kama ex-cop you should know better, "everyone is innocent
until proven otherwise". So, put that in pipe and smoke it!

Hiyo presumption of innocence ndio mnaijua leo? Nyie acheni unafiki, mara ngapi mmeandamana kudai mara waziri fulani ajiuzuru mara kiongozi fulani! Huwa mnafanyia wapi uchunguzi wenu kwa kupitia mahakama gani mpaka mnaandamana? Nyie hamfai hata kupewa kijiji!
 
Back
Top Bottom