Mrema hakujiuzulu bali alifukuzwa Uwaziri na Mwinyi ndio akaamuwa kuhama CCM, Lowasa alifukuzwa na Bunge, kajipange upya naona dose ya Dr Pauline bado haijakusaidia, wewe unahitaji mtu kama Dr Murray akupe over dose ukajifie Uyole kabisa.Mh Lowassa, Mzee Mwinyi, Mh Mrema...
Matola zamani nilikuwa nakuona kama Great thinker lakini kwa sasa nazani umezeeka sana kiasi kwamba unakosa memory.Mrema hakujiuzulu bali alifukuzwa Uwaziri na Mwinyi ndio akaamuwa kuhama CCM, Lowasa alifukuzwa na Bunge, kajipange upya naona dose ya Dr Pauline bado haijakusaidia, wewe unahitaji mtu kama Dr Murray akupe over dose ukajifie Uyole kabisa.
Ndugu Zanguni
Nimesoma barua ile iliyowekwa hapa ikidaiwa kuwa imeandikwa na Mh Zitto na pia nimesoma maelezo yake hapa leo na kushangazwa sana na hizi double standards za CHADEMA , chama ambacho ndio kikubwa cha upinzani nchini na ambacho tunategemea ndio kiwe cha kwanza kutuonyesha mfano kuwa wakipewa dola watafanya nini pale viongozi wao wakiharibu au kukumbwa na kashfa yoyote inayohitaji uchunguzi wa polisi.
Wote tunajua kuwa ikitokea kashfa sehemu fulani ndani ya serikali CHADEMA huwa ni wa kwanza kushinikiza mhusika ajiuzuru au asimamishwe kupisha uchunguzi jambo ambalo na mimi nakubaliana nalo kwani huwezi kumchunguza mtuhumiwa wakati bado ni kiongozi. Ili uchunguzi uwe wa huru na haki inabidi muhusika asimamishwe kupisha uchunguzi huo ili asiwe na nafasi yoyote ya kuweza kuharibu ushahidi au kuwanyima nafasi wapelelezi kufanya uchunguzi wa kina kwa kumuonea aibu au huruma. Uchunguzi/upelelezi ukiisha basi hatima yake ndio itajulikana.
Sasa leo chadema wanashindwa kumsimamisha kwa muda Kiongozi wao na wanapinga kwa nguvu zote kuwa ameonewa, Hivi ikija kuonekana kuwa huyo kiongozi ana hatia tutawaelewaje? Kesho mtawezaje kuwanyooshea kidole CCM pale watakapoonekana wana kashfa?
Sidhani kama CHADEMA wanaweza kuchukua maamuzi mazito kama aliyochukua Mh Lowassa pale alipojiuzuru uwaziri mkuu.
Dr. Slaa ameruhusu barua ya Zitto uvuje kwa makusudi.
Kama kuna mtu anayetakiwa kuwajibika kwa kujiuzuru ni Dr. Slaa kwa kushindwa kutunza siri za ofisi yake.
Acha kumbwelambwela...hoja za Fesibuku unazileta huku. Na kwa nini tusiseme kwamba ni Zitto ndiyo alishindwa kutunza siri? Kwa waliohusika na hiyo barua ni wangapi? Sender (Zitto) na Receiver (Katibu Mkuu). Acheni longolongo..mmeshikwa kila mahali; hamuwezi kupumua
Matola zamani nilikuwa nakuona kama Great thinker lakini kwa sasa nazani umezeeka sana kiasi kwamba unakosa memory.
Mrema na Mzee Mwinyi walijiuzuru baada ya kashfa ya mauaji ya vikongwe kule shinyanga miaka ya themanini, wakati huo Mrema alikuwa usalama wa taifa na Mzee Mwinyi alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Pia Mheshimiwa Llowassa alijiuzuru baada ya nafasi yake na tena alijiuzuru nafasi kubwa ambayo ukiacha Mwl Nyerere kustaafu kwa hiari Urais ni Lowassa pekee ambaye ameweza kuachia wadhifa mkubwa kabisa serikalini kwa hiari.
Hivi kwa staili hii ya Chadema si tutakuja tawaliwa na ma dictators ambao ukiwanyooshea kidole watakuua??
Slaa ndio anayetunza makaburasha. Siri za chama zikivuja anapaswa kuwajibika...
Hata kama utakuwa gaidi kama upo Chadema wewe ni shujaa.
Mlishindwa; Mmeshindwa; Mtaendelea Kushindwa. CHADEMA Iko Mioyoni Mwetu Mpaka Ukamilifu wa Dahari
Mimi nadhani kama kweli mna wataalam wenu na nyinyi mngefanya uchunguzi kuliko kumtetea wakati nyie wenyewe hamjui ukweli ukoje
Well said Bro.Hata kama utakuwa gaidi kama upo Chadema wewe ni shujaa.
Acha kumbwelambwela...hoja za Fesibuku unazileta huku. Na kwa nini tusiseme kwamba ni Zitto ndiyo alishindwa kutunza siri? Kwa waliohusika na hiyo barua ni wangapi? Sender (Zitto) na Receiver (Katibu Mkuu). Acheni longolongo..mmeshikwa kila mahali; hamuwezi kupumua
Wewe ni mlaghaika...
Wewe fani yako ni kuropoka tu na kuimba taarabu hakuna unalolijuwa Nyerere alishaachia Uwaziri mkuu Akachukuwa nafasi Kawawa najuwa kwa umri wako na akili zako huweza kulifahamu hili.Matola zamani nilikuwa nakuona kama Great thinker lakini kwa sasa nazani umezeeka sana kiasi kwamba unakosa memory.
Mrema na Mzee Mwinyi walijiuzuru baada ya kashfa ya mauaji ya vikongwe kule shinyanga miaka ya themanini, wakati huo Mrema alikuwa usalama wa taifa na Mzee Mwinyi alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Pia Mheshimiwa Llowassa alijiuzuru baada ya nafasi yake na tena alijiuzuru nafasi kubwa ambayo ukiacha Mwl Nyerere kustaafu kwa hiari Urais ni Lowassa pekee ambaye ameweza kuachia wadhifa mkubwa kabisa serikalini kwa hiari.
Hivi kwa staili hii ya Chadema si tutakuja tawaliwa na ma dictators ambao ukiwanyooshea kidole watakuua??
Wewe unachokumbuka ni Mrema kufukuzwa Uwaziri lakini hukumbuki kuwa Mrema alijiuzuru pale mauaji ya vikongwe yalipotokea.Wewe fani yako ni kuropoka tu na kuimba taarabu hakuna unalolijuwa Nyerere alishaachia Uwaziri mkuu Akachukuwa nafasi Kawawa najuwa kwa umri wako na akili zako huweza kulifahamu hili.
Pili Lowasa ni Waziri Mkuu aliyeondolewa na Bunge, kama akili zako umezifungia kabatini hiyo ni hiyari yako. na Mrema alifukuzwa kazi ya Uwaziri na Mwinyi Period.
Habari ya Usalama wa Taifa haina uhusiano wowote na politics status. acha kutuchanganyia habari hapa.