Kama ndo mpango wa kuingilia kazi za watu namna hii......
Sichezi tena na wewe, una mikono michafu!!
Enenda zako kwa amani, usitende tena dhambi ewe mwanamke msamaria.Si bora mikono michafu, wewe una nanilii chafu hehehe!
Hamna banaa, nsamehe basi. Siingilii, nmekoma
We msichana, nani kakuruhusu uvamie profeshen yangu?
Be warned!!
Hela nashika mwenyewe. Sadaka ni kwa mpesa na bank transfers. Asprin wewe huvuti bhange, fungua kanisa la walevi wastaafu utapata kichele arifu
kwani akiokoka na kwenda kusali kwenye makanisa ya wenzake atapungukiwa nini?
Mine is an ordinary mind, can't figure out!, another door to business.....!!!????,Nigeria????, all the best