Mwigizaji na mfanyabiasha na aliyewahi kuwa mwanamuziki Dotnata Poshi, amesema kwa sasa ameaokoka kabisa na kuamua kufungua kanisa kubwa lengo likiwa kuwashawishi wasanii wenzake kuachana na maasi na hatmaye kumrudia mungu. Dotnata ambaye alianza kwa kufafanua jina lake alisema watu wengi.Soma zaidi Kweli huu ni wakati wa mwissho.