Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,930
Last edited:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mdada ungemshauri namna ya kuvaa
Ndio maana sipendi winter...yaani wewe mshamba kweli.....wenzako huku mabuti sasa hivi ndo katalogi....totoz kapendeza na nimjuavyo mwanakijiji lazima aliomba namba
Ndio maana sipendi winter...
ahahahahahaaaaaa.....nimekupata kamanda! you are sick!
Haina ngwasu, Kamandaahahahahahaaaaaa.....nimekupata kamanda! you are sick!
....it took you a while.. lol,
....mambo ya kibs ni kuona perspiration iko enhanced by wearing less clutter
Oh snap!! ya'll sick basi nilikuwa nafanya utafiti:
Hilo toyota ni gari zuri sana kuliendesha, at least ukiliangalia kutoka nje.
Ukiliangalia hilo hasa kwa nyuma inatosha kutumika kwenye uwanja wa magari yaendayo kasi (racing track)
Hata magari madogomadogo yalikuwepo pia. Na milango yake inafunguka kwa urahisi kabisa.
hili walisema bei ngapi?Oh snap!! ya'll sick basi nilikuwa nafanya utafiti:
Hilo toyota ni gari zuri sana kuliendesha, at least ukiliangalia kutoka nje.
hili walisema bei ngapi?
kama mkpo hata kesho nakwenda kukopa lakini sina colateral.......nikiwa nalo mjini hapa mbona woote wangu..credit crunch hii mzee, chukua endesha tu kwa mkopo, zero finance yakhe, lipa 2017 wakati obama anatoka black house na credit turmoil imesha isha !!!
Hili juesi acha hilo njano sijui.....nyuma halijakaa vizuri......ilibidi nyuma libinuke kidogo