Haya maneno mwambieni kwanza MS mimi naiga kwake tu ndugu yangu, nimeona hakuna mtu anayemwambia. Nilijaribu kumwambia aachane na udini nikaambiwa na members akiwemo Pasco eti ni uhuru wake kutoa maoni, je huo uhuru mbona uko kwa MS tu au mimi mgeni humu JF haunihusu.Quinine,
Naomba dini isiwe kigezo cha kumchagua mtu. Tumchague mtu kwa sababu ameshaonyesha uwezo wa kuisogeza mbele na kupambana na ufisadi/udhalimu katika Tanzania yetu.
Haya maneno mwambieni kwanza MS mimi naiga kwake tu ndugu yangu, nimeona hakuna mtu anayemwambia. Nilijaribu kumwambia aachane na udini nikaambiwa na members akiwemo Pasco eti ni uhuru wake kutoa maoni, je huo uhuru mbona uko kwa MS tu au mimi mgeni humu JF haunihusu.
Nimejitolea kusulubiwa na Mods kama Mandela kwa ajili ya wale wanaoogopa kujibishana na MS kuwa wataonekana na wao ni kama yeye acha mimi nionekane na akili kama zake.
VangiMods, tafadhari fungeni hii mijadala yenye sura za kidini. Naamini JF haiko bound na dini, kabila, wala rangi. Tukianza kuongelea mambo ya dini baadaye tutaongelea makabila na mikoa tunayotokea. Na huo utakuwa ndo mwanzo wa kuanza kuana kwa misingi ya kikabila au dini zetu.
Message sentPumbafu we ndo umeharibu kuliko huyo ndugu ya MS
Pumbafu we ndo umeharibu kuliko huyo ndugu ya MS
Daaaa?? Mkuki kwa nguruwe......teh tehehhhh
Naamini Quinine + Malaria Sugu = Afya tele, no malaria at all.. so maisha yatasonga, I like the combination well balanced!
Mimi huwa situkani ila nagawa vidonge bure wanafikiri tanzania kuna dini moja tu, rais makamu wote dini moja bara na visiwani why?Pumbafu we ndo umeharibu kuliko huyo ndugu ya MS
umeipenda combination hipi sasa, hiyo ya maraisi au hii ya
MALARIA SUGU+TUMAINI (la kupona)+QUININE= afya