Donald Trump for President

pepsin

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
3,465
6,109
Make America Great Again-Trump:On whose expense?
Uchaguzi wa rais wa Marekani umekaribia
Uchaguzi huu ni sasa lna uchaguzi wa rais wa dunia,hili lipo wazi,tukatae au tukubali.
Wagombea wa Republican wanaopewa nafasi ni bwana Tedy Cruz,governor wa Texas na bilionea Donald Trump.
Democratic party wengi wamejitoa ila nafasi ga kuteuliwa ipo kwa mama Clinton.
Kwa Africa na Dunia inaweza kumtaka Ted Cruz,a conservative ila Donald Trump.
Akishika madaraka Trump, CCM ya bongo itaenda na maji mapema maana jamaa harembi na tayari ana pingu za Mseveni na Robert Mugabe mkononi! Huyu ni reformist, hata historic conservation.
(Make America great again!) ndio kauli mbiu yake.
Swali ni America itakuwa tishio tena kivipi kama sio kwa kutuchapa na kutupora?
 
Hahahaha kweli mkuu hao jamaa wa republican ni hatar hanaga utani....tutakomaje
 
Trump bado ananiitaj hotuba Tatu nzito ili wamerica wasio walatini na majewis wa mwamin mfno negros, red Indian, NK
 
Yule jamaa mie namkubali. Awe tu Rais ili wanasiasa uchwara wa Afrika wachanganye na za kwao
 
Trump akipewa nchi Waafrika wa jamii ya mtalii JMK watapunguza safari za marekani kwani ameahidi kujenga ukuta wa kutenganisha nchi yake nb dunia nyingine!
 
Kwa Republican field ni ngumu sana kutabiri nani atakuwa flag bearer wao wakati wa uchaguzi ujao,wagombea wote watatu bado wana nafasi Kubwa.Trump atashinda ktk majimbo makubwa ya New York, New Jersey, Massachusetts, labda na Chicago na Illinois. Rubio atashinda ktk majimbo ya California, Florida, Nevada nk.Wakati Cruz anatarajiwa kulibeba jimbo Texas na majimbo mengine ya kusini.So everyone of these three candidates has his strongholds.
Kwa upande wa Democrats,japo watu wengi wanampa nafasi kubwa Hillary Clinton na sijui kwanini wanafikiria hivyo,in reality Berny Sanders anaimarika kisiasa siku hadi siku, ni tishio kubwa kwa Hillary hasa.Mbaya zaidi ni lile kundi muhimu la wapiga kura ambalo kila mtu alitegemea lingeegemea kwa Bi. Hillary limehamia kwa Sanders,hili ni kundi la wanawake. Asilimia kubwa ya wanawake hasa vijana maarufu kama millenials wanamuunga mkono Sanders. Juzi juzi hapa backer maarufu wa Hillary Clinton ambaye ni former Secretary of States under Bill Clinton administration Miss Albright aliwabwatukia wanawake kwa kushindwa kumuunga mkono mwanamke mwenzao.Hali hii imeanza kuitisha camp ya Hillary. Sanders anaungwa mkono na vijana wengi sana wake kwa wanaume,kundi hili hili ambalo lilizima ndoto za Hillary mwaka 2008 na kumpeleka Barack Obama ikulu ndilo linalomuunga mkono Sanders leo.Think about it.
 
Trump hawezi kuwa rais Marekani.Ted Cruz ambaye ni mhadhifina na mpinga ushoga ndie atakuwa rais wa Marekani. Halafu umri wake wa miaka 45 ni potential sana. Mimi binafsi I bet for Cruz, maana naipenda sana misimamo yake.
 
Ingawa sio mshabiki wa siasa za Trump lakini namuombea kila la kheri aweze kushinda uraisi..ili viongozii wa nchi za kiafrika wawe na mawazo ya kujitegemea kwa kuwa naamini jamaa ni muumini wa falsafa ya kula kwa jasho....

Huu ni wakati wa nchi za afrika kuwaza kujitegemea na sio wategemezi.....kama tuna rasilimali nyingi jwanini tusijitegemeee....??
 
Trump hawezi kuwa rais Marekani.Ted Cruz ambaye ni mhadhifina na mpinga ushoga ndie atakuwa rais wa Marekani. Halafu umri wake wa miaka 45 ni potential sana. Mimi binafsi I bet for Cruz, maana naipenda sana misimamo yake.
trump hawezi kuwa rais eti kisa tu wewe unaipenda misimamo ya ted cruz! duh hii ni hatari sana na ingekuwa umeongea hivi kwenye mdahalo wa kimataifa tayari ushaabisha nchi
 
trump hawezi kuwa rais eti kisa tu wewe unaipenda misimamo ya ted cruz! duh hii ni hatari sana na ingekuwa umeongea hivi kwenye mdahalo wa kimataifa tayari ushaabisha nchi

Usiwe mgumu kuelewe Mkuu, nimekuambia MIMI BINAFSI.
 
Trump hawezi kuwa rais Marekani.Ted Cruz ambaye ni mhadhifina na mpinga ushoga ndie atakuwa rais wa Marekani. Halafu umri wake wa miaka 45 ni potential sana. Mimi binafsi I bet for Cruz, maana naipenda sana misimamo yake.
Ted Cruz ni janga jingine baya kabisa. Kama utakumbuka ni mtu ambaye aliisimamisha serikali baada ya kuzuia kupitishwa kwa mambo ktk congress. Mwelekeo wake ni wa Tea Party wale ambao hawataki muafaka. My way or the highway. Hilo ni jambo hatari sana katika demokrasia. Ni dalili za ufashisti.
 
Back
Top Bottom