Mbona mapema sana? Me najua chrismass, mwaka mya na pasaka ndio huwa mwaendaga kuhesabiwa, imekaaje hii? Ama kuna nini don mangi?
Yap yap mke mwenza......mimi penda wewe vile unaakili ya kuzaliwa!
Mtanikuta madukani nawasubiri!
Andaa itinerary ya mgeni kabisaa! Tukimaliza shopping ni kula na kunywa kama hakuna kiama! Muambie shem Fang akuachie helicopter leo ili tusisumbuliwe na vi-hiace tafadhali.
nnazi2mbulia pale malindi. . .mje kwa foleni kama nmb.
arushaone wengine hatupendagi msongamano,
na mimi muda wowote nakuja huko anza kuweka hela za matumizi,
katavi tumeshakosana kisa ni kutofautiana kwenye itikadi.
nenda kaseme hivyo kule kwenye ule uzi kama kweli
Hapo hapo. . .ndo niko hapa sa hv nangojea wadau wa jf niwape ofa. . .ukija tu unatakiwa unipe headline ya post ndo kiingilio.