Wakuu naomba kuuliza ivi kubandika bei ya bidhaa au services in us dollars but you pay in Tanzanian shiilings na pia kubandika bei ya bidhaa au services in Tanzanian shilling na you pay in Tanzanian shilling vina athari au uzuri gani katika uchumi?
Wakuu naomba kuuliza ivi kubandika bei ya bidhaa au services in us dollars but you pay in Tanzanian shiilings na pia kubandika bei ya bidhaa au services in Tanzanian shilling na you pay in Tanzanian shilling vina athari au uzuri gani katika uchumi?
...to peg the price in dollars kwa sheria za Tanzania ni illegal na hairuhusiwi,people just dont care ndio maana watu wanajifanyia mambo bila kufuata sheria,kama una muda/resources unaweza kuwapelekesha under illegal price fixing...na hata ukipata srvices na ukakataa kulipa in $$$ hakuna kitu watakufanya under the law na unaweza kuwashtaki na wakaishia kukulipa wewe!