Kamanda nilijua tu kwenye viatu hauchomoki......Kamanda TF, pamoja sana kwenye viatu.
Scarf na Jacket Mmmh, japo fashionable, iko offline kidogo lol
Kamanda Scarf na Jacket ulitaka rangi gani?Kamanda TF, pamoja sana kwenye viatu.
Scarf na Jacket Mmmh, japo fashionable, iko offline kidogo lol
Kamanda Scarf na Jacket ulitaka rangi gani?
:lol::lol::lol:............:eyebrows:Muone...anapenda sifa kama nini.
Koti mbona kama la Mapadri?
Vipi, you want me to design for you?Uar advertising uar bness eeeh!
Hizi sio sampuli zake huyu..Duduwasha hilo koti lina wavaaji wake Mkuu....
Huyu Jamaa mwenyewe kapost mmoja wao.
Ili uelewee ngoja atoke kwenye maombi aje hapa
atupe sampuli ya mtu ambae kavaa ili uone...