CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Nimekuwa nikiathirika sana na hili suala. una baadhi ya sehemu wanakataa kabisa kupokea Dola za Kimarekani ambazo ni za mwaka 1999 kurudi nyuma, mfano Exim Bank pale Mliman City wakati sijawahi kusikia Serikali ya USA ikisema chochote kuhusu hizo noti. Je wanavyofanya ni sahihi???