Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Yaani jamaa wamekua waongo waongo sana, halafu eti waafrika tunaonewa, mara tulikua na maendeleo ila hawataki kusema ukweli. Kwa simulizi hizo kama hiyo hapo unaona kabisa kuwa wenzao walikua more advanced kuliko wao. Jiulize hao wasaliti wali communicate kwa lugha ipi na hao wareni na kwa nia ipi wakati hata simu hazikuwepo? walijua wareno watarudi lini? Nani aliwaambia kuwa wapo njiani? Wamelalamika sana eti historia imefichwa, wanapewa nafasi ya kuifichua hiyo historia iliyofichwa wanaanza kutuletea 'Paukwa Pakawa'.Qwi Qwi Qwi...... yani jamaa kajifunga vibaya mnoo. Meli zimekua majabali na wasaliti wamekua vichuguu na bado wakapigwa!? Hii ni kudhalilisha Bara la Africa.
Ila kitendo cha waafrika na waarabu kushambuliwa, kupigwa na kushindwa vita dhidi ya miamba na vichuguu, hii ni kiboko.