Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Jambo moja linanifanya niamini hakuna mpango wowote wanaoweza kufanya CCM na usalama wa taifa wakafanikiwa. Jambo hilo ni kuwa; CCM, na usalama wa taifa kwa sasa vinaongozwa na VILAZA walipewa hizo nafasi kwa dili na kujuana. Hatutegemei wapange mkakati weney akili...