Dola kuishughulikia CHADEMA

Jambo moja linanifanya niamini hakuna mpango wowote wanaoweza kufanya CCM na usalama wa taifa wakafanikiwa. Jambo hilo ni kuwa; CCM, na usalama wa taifa kwa sasa vinaongozwa na VILAZA walipewa hizo nafasi kwa dili na kujuana. Hatutegemei wapange mkakati weney akili...
 
DAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa Idara ya intelejensia walikutana na timu ya Kampeni ya CCM kwa ajili ya kutoa mlisho nyuma, na kupanga mikakati ya kuikabili CHADEMA, na yafuatayo yalijiri:-

a)Idara ililazimika kutolea ufafanuzi sababu zilizopelekea shauri wake wa kutaka matangazo ya TBC ya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za CHADEMA kurejeshwa mara moja baada ya kukatizwa. Walieleza kuwa ilitokana na maelfu ya wananchi waliohudhuruia mkutano huo kuwa wa kwanza kugundua kukatishwa kwa matangazo hayo na kuamua wenyewe, bila ya kushawishiwa na kiongozi yeyote kuchukua hatua kali sana dhidi ya TBC. Viongozi wa CHADEMA walistukia tuu mkutano ukitaka kuvurugika kwa wananchi kudai vikali kurejeshwa kwa matangazo hayo. Ilielezwa kuwa kuvurugika kwa mkutano ikwa sababu ya kukatishwa kwa matangazo ya chombo cha umaa kama TBC iimeelezwa kuwa ingekuwa ni aibu kubwa kwa Serikali na TBC.

b)Idara ilitoa taarifa kuwa licha ya umati wa watu waliohudhuria kutofikia ule wa mkutano wa uzinduzi wa CCM, lakini kwa kuwa umati huo kila mtu alijinyanyua kutoka atokako na kuja Jangwani kwa ajili ya CHADEMA tofauti na maandalizi makubwa ya usafiri, fedha, burudani za kila aina, viburudisho n.k yaliyofanywa na CCM kuwafikisha watu kwa maelfu Jangwani. Hizo ni dalili mabaya na ni tishio kubwa kwa CCM. Na ikaamuliwa kuwa iandaliwe mikakati ya kuwakatisha tamma wananchi wenye mapenzi na CHADEMA.

Mkakati
:- Ilamuliwa kuwa upandikizwe mgogoro baina ya viongozi wa CHADEMA na mgombea wake Dr W. Slaa; na kuwachonganisha na wapiga debe wao akina Marando, Shibuda, Mpendazoe n.k kwa nia ya kuwakatisha tamaa wenye mapenzi na CHADEMA na wote wanaotarajia kuwapigia kura wagombea wa CHADEMA.

Iliamualiwa kwa kuwa wananchi wanampenda sana Dr W Slaa, zisambazwe habari kuwa aelewani na Mwenyekiti wake Ndg Freeman Mbowe kwa sababu Dr Slaa sio kutoka kabila la wachagga. I


likubaliwa kuwa taarifa hizo zianze kusambazwa wiki inayoanzia Jumatatu ya tarehe 30 Agosti 2010. Na tathmini ifanyike kujua mafanikio yake wakati zinatungwa mbinu mpya.

Iliamuliwa kuwa magazeti ya New Habari Corporation ikiwemo Mtanzania, Rai n.k yaanze kutumika kwa kazi hiyo wakati waandishi zaidi wa kufanya kzai hiyo wakitafutwa.



Ili wananchi wenye mapenzi mema na CHADEMA waweze kusadiki taarifa zitakazosambazwa ilikubaliwa kuwa magazeti yatakayotumika yaanze kwanza kwa kipindi kifupi kuandika habari njema kuhusu CHADEMA na wagombea wake; na baada ya mashabiki wake kuyaamini magazeti na vyombo hivyo vya habari ndipo kazi ya kuisamabaratisha CHADEMA ianze rasmi.

Ili kutekeleza mipango hiyo waandishi wa gazeti la Mtanzania walipatiwa maelekezo ya kurekebisha kichwa cha habari na maudhui ya habari za uzinduzi wa CHADEMA zilizochapishwa tarehe 29/8/2010, kwa lengo hilo.

Vyombo vya habari vya Serikali ya ikiwemo magazeti ya Daily News na Habari Leo na TBC na redio za TBC vilielekezwa kuanza mara moja kazi ya kuipamba CHADEMA kama chama na watu wa fujo mbele ya jamii makakati amabo unadaiwa kufanikiwa sana kuisambaratisha CUF mwaka 2005, wakati Mkuu wa chombo kimoja cha dola alipodai siku moja kabla ya upigaji kura wamekamata shehena ya majambia yenye rangi za bendera za CUF

c)Pingamzi la CHADEMA dhidi ya Jakaya Kikwete mkutano ulikubaliana kuwa kuaniza sasa idara ihakikishe kuwa inamgeuzia kibao Dr Slaa na kusambaza habari kwa wafanyakazi na umma kuwa DR Slaa anapinga wafanyakazi kuongezwa mishahara ndio maana CHADEMA inamuwekea pingamizi mgombe wa CCM Jakaya Kikwete kwa kitendo cha kuwaongezea mishahara watumishi wa umma katika kipindi hiki cha kampeni.

Dawati litaendelea kuwahabarisha!!!!!!!
[/QUOTE

Hao mashushu watamdanganya nani? Kila mfanyakazi alisikia mwenyewe kwa masikio yake mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete akitamka kuwa "Serikaliyake haina uwezo wa kuongeza mishahara ya watumishi wa Serikali hata punje hata wakigoma kwa miaka minane"

Wafanyakazi pia wanatambua kuwa ni kwa kutoteteleka kwa TUCTA chini ya Mgaya, na kauli za mgombea Urais wa CHADEMA kutamka wazi wazi katika mikutano yake ya kutafuta wadhamin, kuwa "nazihitaji kura za wafanyakazi alizokataa mgombea wa CCM", na akachapisha fulana za kuwahamasisha wafanyakazi kutoa kura zao kwake ndio vilivyoitia adabu CCM na mgombea wao Mhe Jakaya Kikwete, kiasi cha kufikia hatua ya kuwapigia magoti wafanyakazi aliowabwatukia Mei 2010. Wafanyakazi wanatambua ni kutokana na kufikishwa hatua hiyo ndio maana mgombea Uraisa wa CCM Dk Jakaya Kikwete akakubali kutoa nyongeza ya mshahara ya kima cha chini kutoka Shs 104,000/= hadi Shs 235,000/= kwa mwezi katika mwezi Julai 2009.

Wafanyakazi wanatambua kabisa kama Mgaya na Dr Slaa wangekuwa waoga kwa vitisho alivyokuwa akitoa vya mgombea wa CCM Mhe Jakaya Kikwete, nyongeza hiyo isingepatikana asilani.

Kwa kuwa Serikali ya Jakaya Kikwete ilitoa nyongeza za mishahara na marupurupu kwa viongozi waandamizi wa Serikali wakiwemo wabunge, mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi, majaji, wakuu wa vyombo vya dola na pia kulipa malimbikizo ya mishahara kulingana na ongezeko hilo kutokea tarehe maombi yao yailpowasilishwa Serikalini hadi tarehe ya kuanza kulipwa.

Wafanyakazi wanatambua kuwa bado wanaidai Serikali ya Jakaya Kikwete malimbikizo ya nyongeza ya mshahara kama ilivyofanyika kwa viongozi waaanamizi wa Serikali waliotajwa hapo juu. Hivyo basi kwa kuwa madai ya nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma yaliwasilishwa Serikalini na TUCTA kutokea mwaka 2006, mwaka mmoja baada ya wafanyakzi kumchagua Mhe Jakaya Kikwete kwa kishindo kushika wadhifa wa Urais mwaka 2005.

Wafanyakzi wanatambua kwa kuwa sasa imedhihirika wazi kuwa nyongeza hiyo ilikuwa ni haki yao. Ni wazi kuwa wanaidai Serikali waliyoichagua kwa kishindo mwaka 2005 ya Mhe Jakaya Kikwete malimbikizo ya mishahara kama yaliyotolewa kwa viongozi waandamizi wa Serikali. Malimbikizo hayao ni kama ifuatavyo, kima cha zamani Shs 104,000/=. Kima kipya kilichofikiwa baada ya TUCTA na CHADEMA kushikamana katika madai hayo katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 201o, Shs 235,000/=. Hivyo basi ongezeko hiklo ni Shs 235,000 -104,000= Shs 131,000/= kwa mwezi; zidisha kwa miezi 48 kutokea Juni 2006 TUCTA ilipowasilisha madai Serikalini hadi hadi Julai 2010, hatimaye Serikali ilipokuja kukubali kutoa nyongeza hiyo. Shs 131,000/= X miezi 48= Shs 6,288,000/=.

Kama wafanyakzi wa Tanzania wangekuwa wanatendewa haki namna hii na viongozi wanaowachagua kwa kishindo hivi kweli pangekuwa na mfanyakzi anayeshnda kununua kiwanja cha kujenga nyumba bora; kumlipi mtoto wake ada ya sekondari, kujijengea nyumba bora; kununua bati n.k.

Ni kutokana na viongozi tunaowachagua kwa kishindo kujikumbuka wenyewe ndio maana ni wao tu ndio wana magari mazuri, watoto wao wanasoma shule nzuri na hata nje ya nchi, wanajenga nyumba kama mahekaru n.k.

Wakati umefika wa kuamka na kuacha kudanganyika, acha kusikiliza blah blah wafanyakzi kahuna anytukumbka kwa kuwa wabunge tunaopeleka Dodoma waote wanatola kambi moja, tupeleke kutoka kambi ingine ili wakosoane badala ya kwenda kulindana ndio watakukumbuka kutupa haki zetu

Hivyo wafanyakazi wa kima cha chini walistahili kulipwa malimbikizo ya mishahara waliyostahili ya Shs 6,419,000/=. Hii ni haki yao na si ombi kwa kuwa katika kipindi kutokea kuwasilishwa kwa maombi ya nyongeza ya mshahara na TUCTA yaano mwaka 2006, Serikali hii hii iliyokaa kimya ilitoa nyongeza za mishahara kwa viongozi waandamizi wa Serikali.
 
Ni vyema wabongo tukae mkao wa kuchuja vizuri mambo. Sie wengine twajua kura zetu tutampa nani, nyie endeleeni tu kujichanganya tunawaona sana, watanzania hawa sio wale wa enzi hizo. Haya jamani!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Habari za kutia moyo-japo kidogo-ni kwamba ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa kuna watu wasioridhishwa na mwendendo wa taasisi hiyo,na hawa ndio waliokuwa amana kubwa kwa Dkt Slaa katika upatikanaji wa nyaraka mbalimbali.Wanaoandaa mkakati huu wanapaswa kutilia maana who they are dealing with this time around.Ni mtu makini,mwenye support katika circles mbalimbali (kama ilivyokuwa kwa JK 2005 except for integrity ya supporters hao) na he surely knows the thuggery of Third World Intelligence services.
 
nguvu ya umma
sauti ya umma
peoples POWER
Watanzania wa jana si wa leo... mabadiliko ni lazima piga ua galagaza....Chadema mbele kwa mbele nchi hii ni yetu wote...
 
Nahitaji muda ili niyaamini hayo manake we ni kama mzoefu wa hapa ila kwa hii...Hatudanganyiki
Junior Member

Join Date
Sun Aug 2010
Posts
1
Thanks : 0
Thanked 16 Times in 1 Post
Rep Power
0

Nipe muda!
 
dah ni noma coz hiyo inshu ya mwisho part c/ nimesikia leo kwa TBC habari yule mzee makamba anasema kwamba eti slaa kaweka pingamizi kwa kuwa hataki wafanyakazi waongezewe mishahara..what a damn iz thiz????eti ooh dr slaa anaona wivu kwa wafanyakzi kuongezewa mishahara ???wakati kasahau kuwa dr slaa atapandisha huo mshara kuvuta kipimo chao ccm i mean 315000...sasa cccm inafikia kikomo chake..anyway nasubiri pingzamizi lifike mahakamani tusikie majibu yao..
 
Lakini kuna mambo yanapita bila kujadiliwa kwa undani.

Je mheshimiwa Mabere Mrando amefuata nini CHADEMA na ni kwanini anazungukazunguka ndani ya wigo wa siasa za vyama vingi ambao yeye alishiriki kuuanzisha akiwa NCCR Mageuzi?

Mtu wa pili ni huyu mheshimiwa Arcado Ntagazwa nae vipi leo akiwa mwanasiasa mkongwe anafuata nini CHADEMA?

Hawa wanasiasa wawili ni watu wazito sana na je CHADEMA ilitakafuri kwa kina kabla ya kuwakaribisha?
 
watanzania kwa fix,mko mbali!you can fool some people for some time but you can't fool all the people all the time!

pengo sometimes fools does'nt realize that are fools and u might be one of them, but you have an opportunity to evaluate urself, kwa sababu hata enzi za utumwa kulikuwa na domestic slaves ambao walikuwa hawataki kujikomboa kwa sababu walilizika na makombo waliyokuwa wanakula kwa slave master na kulala ndani ya nyumba ya slave master hivyo utamwambia nini ili akuelewe mtumwa wa aina hiyo ambaye hataki kusikia habari za ukombozi kabisa,

lakini watumwa wanaofanya kazi za shuruba waliona nia ya kujikomboa na kuwa huru hivyo wewe huna tofauti na domestic slave, hiyo ni history lakini no matter how hard and long it takes one day we gonna write a new chapter in this country na watu kama nyinyi mtakuwa hamna nafasi katika tanzania mpya kwasababu fisadi ni fisadi tu huwezi kumbadilisha na serikali ya chadema itakuwa nightmare kwa watu kama nyinyi ndo maana unaona bora taifa lako liangamie lakini ubinafsi wako uendelee kushamiri, hiyo ni laana kubwa kwa generation yako na mungu atakuonyesha maajabu
 
Asante kwa kutuhabarisha. Hata mi nilistukia gazeti la Mtanzania jinsi ilivyoandika habari za ufunguzi wa kikao Chadema. Tuwa macho na tuwaelimishe jamii juu ya hili, hasa wale wasiotambua haraka njama hizo.
 
Hizi mbinu chafu za CCM na Viongozi wake Wakuu zinaonyesha PANIC. CHADEMA tusitishike. A dying horse kicks hard without knowing where his killer is!

Sisi CHADEMA tuwageuzie kibao zaidi: Tuendeleze ile hoja aliyotoa Mhe. Slaa pale Jangwani Jumamosi iliyopita kwamba CCM imeingiza Helikopta mbili kutoka nje baada ya tarehe ambayo Sheria ya Matumizi ya Fedha za Uchaguzi imekataza. Tendwa na Lewis Makame wafahamishwe kwamba wanatakiwa kuchukua hatua.

Endapo tarehe ya kuingiza hizo helikopta ilikuwa ni wakati marufuku, basi JK na CCM hawawezi kushiriki ktk hizi kampeni.

This may appear 'far-fetched', but we must keep them distracted from their unholy manouvres.
 
Duh! Hii taarifa kama ni kweli, si mchezo ati.

Nahisi mwezi wa kumi kunaweza kutokea vurugu kubwa nchini. God forbid!
 
Lakini kuna mambo yanapita bila kujadiliwa kwa undani.

Je mheshimiwa Mabere Mrando amefuata nini CHADEMA na ni kwanini anazungukazunguka ndani ya wigo wa siasa za vyama vingi ambao yeye alishiriki kuuanzisha akiwa NCCR Mageuzi?

Mtu wa pili ni huyu mheshimiwa Arcado Ntagazwa nae vipi leo akiwa mwanasiasa mkongwe anafuata nini CHADEMA?

Hawa wanasiasa wawili ni watu wazito sana na je CHADEMA ilitakafuri kwa kina kabla ya kuwakaribisha?

Hawana muda huo kwakua si watu makini. Wanaangalia tu watapata wapi weekness za kuzifanya mada kwenye siasa. Very bad.
 
Lakini kuna mambo yanapita bila kujadiliwa kwa undani.

Je mheshimiwa Mabere Mrando amefuata nini CHADEMA na ni kwanini anazungukazunguka ndani ya wigo wa siasa za vyama vingi ambao yeye alishiriki kuuanzisha akiwa NCCR Mageuzi?

Mtu wa pili ni huyu mheshimiwa Arcado Ntagazwa nae vipi leo akiwa mwanasiasa mkongwe anafuata nini CHADEMA?


KANA KWAMBA HAITOSHI ...MARANDO HUYU HUYU NDIYE..... ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA EPA....! SEE THE OTHER SIDE OF CHADEMA NOW...! THEY FOOL THE FOOLS...!
 
RICHARD NAOMBA UTAMBUE KUWA VYAMA VYA SIASA SIO KAMPUNI BINAFSI. KWA KUWA VINAPOKEA FEDHA ZA KODI ZA WANANCHHI VINAPASWA KUENDESHWA KATIKA NAMNA YA KUTOKUWA NA RESTRICTIONS ZISIZO ZA MSINGI. CHADEMA HAS PASSED THE TEST OF TIME THAT'S WHY EVERYBODY RESPECTS IT.

NILWAHI KUSEMA HAPA KUNA TOFAUTI KATI YA KAZI YA CHAMA NA KAZI YA SIASA. NI KUTOKANA NA KUPENDEZWA NA KAZI YA CHAMA YA WAASISI NA VIONGOZI WA CHADEMA NDIO MAANA WANACHAMA WA VYAMA MABALI MBALI, WASIO NA VYAMA TUNAUNGA MKONO CHADEMA 2010 KWA NIA YA KULETA MABADILIKO TANZANIAWITHOUT INTERFEERING KATIKA KAZI YAO YA CHAMA. SISI NA AKINA MARANDO TUNAFANYA KAZI YA SIASA KATIKA JUKWA IMARA LA CHADEMA.

KAMA NI FOOTBALL MARANDO NDIO ALIKUWA NYOTA JUMAMOSI NDIO MAANA WAMEJITOKEZA KUMJIBU KWA KUWA ALITOA CREDIBLE INFORMATION AMBAZO CCM WAMETUMIA ADMINISTRATIVE PROCEDURES KUZIZUIA ZISITOKE. THE BEST PART OF IT HATA SUNDAY NEWS IMEMSIFIA dR SLAA KUWA ALIKUWA SOBER, WITHOUT UNSOBER PEOPLE WATANZANIA WASINGEKUMBUSHWA KUWA TATIZO LETU KUBWA NI UFISADI KUTOKANA NA ADMIN PROCEDURESD WALIZOWEKA.

HIYO LUGHA ZA KIBAGUZI, NI VYEMA ZIKAKOMA MARA MOJA. HATA WANA JFI SIO WOTE WANACHAMA WA CHADEMA, ILA MWAKA HUU SUPPORT YETU IKO CHADEMA,

SASA IKIWA WACHACHE WATAANZA DHAMBI YA KUWABAGUA WENGINE NDIO MAANA VYAMA VYA UPINZANI VINASHINDWA KUUNGANA.

KUTOKANA NA VISION YAKE CHADEMA NI FORUM AMBAYO 2015 ITALETA MUUNGANO IMARA WA OPPOSITION,

NAOMBA UMUOMBE RADHI MARANDO NA WENGINE NA UACHE KAULI ZA KIBAGUZI.
 
Lakini kuna mambo yanapita bila kujadiliwa kwa undani.

Je mheshimiwa Mabere Mrando amefuata nini CHADEMA na ni kwanini anazungukazunguka ndani ya wigo wa siasa za vyama vingi ambao yeye alishiriki kuuanzisha akiwa NCCR Mageuzi?

Mtu wa pili ni huyu mheshimiwa Arcado Ntagazwa nae vipi leo akiwa mwanasiasa mkongwe anafuata nini CHADEMA?


KANA KWAMBA HAITOSHI ...MARANDO HUYU HUYU NDIYE..... ANAYEWATETEA WATUHUMIWA WA EPA....! SEE THE OTHER SIDE OF CHADEMA NOW...! THEY FOOL THE FOOLS...!

Wazee mana analyse mambo
 
MAHESABU hivi unafahamu Internatuional Bill of Rights amabyo huunda Katiba za nchi mabali mbali ikiwemo Tanzania. Kupata utetezi wa kisheria ni moja ya Haki za Msingi za Binadamu yeyote.

Hata wauwaji upatiwa msaada wa kisheria na Tanganyika Law Society (TLS) bure. Hivyo hakuna dhambi Marando as a registered lawyer kuwatetea watuhumiwa wa EPA kama ambavyo hupangiwa na TLS kusafiri kwa gharama zake kwenda mikoani kuwateta watuhumiwa wa mauaji am,bao hawana uwezo wa kupata utetezi wa kisheria.

Ni lazima katika dunia hii tuwe flixible na liberal na sio kuwa hardcores tu.

Bila ya kuwatetea watuhumiwa hao Marando angepata wapi nafasi ya kutoa aliyoyaona katika kesi hizo? As a lawyer of his credibility it is the first time mababa wa CCM donors, wametake note juu ya ulaghai wa kesi zilizoko mahakamani kuwa ni danganya toto. Je hiyo sio kazi ya kujenga maslahi ya taifa?

Hamuoni kama ameongeza value katika mission yetu?.

Hebu tujiulize kama Mhe Samwel Sitta, Spika wa Bunge angekuwa mbaguzi kama baadhi yetu tulivyo, na asingemteua Dr Slaa Mbunge kutoka opposition kuwa Mwenyekiti wa Kudumu ya Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa, uzoefu na exposure alivyo navyo leo mgombea wetu angevipata wapi?

Kujenga Taifa siokulilia msalahi ya kikundi kidogo, la sivyo mission itakuwa kuwatoa CCM na kuchukua nafasi yao katika "status quo"

Ni lazima kama libretors tutazame mambo katika perspective ya kitaifa, tuvumiliane na kuachana na fikra kongwe za KiCCM za kubaguana.

Kwa sayansi iliyopo hivi sasa duniani hakuna uendeshaji vyama kwa siri kama zamani.
 
Back
Top Bottom