sasa hivi kuna makundi ma 3 ndani ya jumuiya yetu huku UK na kadri inavyofanywa siri ndivyo wengine wanazidi kuwa na hasira na uongozi
wenyewe wanajijua na watakuja humu kutukana na kukana lakini kamati zishaundwa
na si CCM tuu bali hata kwenye jumuia ya Tanzania Association nako mambo si mazuri
Tunapiga vita ufisadi Nyumbani kwa ku export ufisadi nje ya nchi
sasa sababu ya kufungua matawi ya chama nje mmeona....watu wanatuma maombi ya pesa Tanzania kumbe wao wanataka kuzila