Doing Business in Mozambique

vipi opportunities za biashara ya usafirishaji kwa kutumia semi trailor zinapatikana au ndio zimeshikwa na makampuni kutoka south africa?
 
wale jamaa washamba hawajui lugha nyingine zaidi ya kireno wao wanaamini kireno ndio lugha kubwa duniani,ila kama ukijua kimakua au kimakonde kwa mikoa ya nampula,niassa na cabo delgado unaweza ishi vizuri tu,kuhusu usalama upo ila kama ukiwa mtulivu hasa kwa mademu wa watu otherwise utaishiwa kukatwa mapanga

Basi kumbe language ni barrier tosha kun
 
Basi kumbe language ni barrier tosha kun

Mkuu Sabayi kuna mdau mmoja aliyeko huko alisema wanatumia wenyeji wanaofahamu kiswahili pia. Mie bado niko optimistic kwamba lugha ni tatizo lakini si kubwa kiasi cha kusitisha mipango mizuri. Nikiwaangalia wachina napata shule nzuri tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sabayi kuna mdau mmoja aliyeko huko alisema wanatumia wenyeji wanaofahamu kiswahili pia. Mie bado niko optimistic kwamba lugha ni tatizo lakini si kubwa kiasi cha kusitisha mipango mizuri. Nikiwaangalia wachina napata shule nzuri tu.

Nakubaliana na wewe mkuu Wachina wanakuja bongo hawajui kiswahili wa kidhungu na wanapiga kazi tu kama kawaida inabidi tusiwe waoga kweli ili mradi chapaa ipo then inabidi kwenda tu mengine mbele kwa mbele
 
DAH ATLEAST WEWE UMEONGEA UKWELI,NIMEFANYA KAZI VODACOM MOZAMBIQUE MWAKA WOTE WA 2012 NIMEZUNGUKA KILA WILAYA NA MKOA WA MSUMBIJI KUFANYA INSTALLATION KTK MINARA YA VODACOM JAMAA WAPO NYUMA SANA KIMAENDELEO WANAPENDA NGONO NA POMBE ALAFU WAMELALA SANA KAZI HAWATAKI KUFANYA,SO UKIENDA MBONGO KAMA UPO SERIOUS SEHEM ZA KUWEKEZA NI KTK SECTA ZA USAFIRI,CHAKULA NA GUEST HOUSE HIVYO VITU WAPO NYUMA KUPITA MAELEZO WANAISHI KWA KULA SCONZI (PAU) SO UKIWAPELEKEA UNGA,VITUNGUU VYA BONGO,MIHOGO,NYANYA AU MCHELE USHAWIN,UPANDE WA GESTI NIKWAMBA JAMAA WANAPENDA SANA NGONO SO SHORTTIME KWAO NDIO DILI NA INALIPA JUST IMAGINE KA GEST BUBU KANATOZA 250 hadi 500 karibia elfu 25 ya bongo kule wamelaa wewe wapelekee hata madela watanunua wale washamba rais wao chisano alisema mwenyewe kuwa rai wake pengine hadi 2020 ndio wataanza kuamka mreno alisha waaribu akili wale WANADHANI UKIJUA KIRENO NDIO UMEJUA LUGHA ZOOTE DUNIANI KUWA MAKINI NA ASKARI WA KULE WAO WANAAMINI MGENI=DINHERO (PESA),MWINTU OBRIGADO AMIGO
.

we mutu utakujajue bila kutusalimu. Mie nataka u super dealer wa mpesa si ndo mlikuwa mnasimika?
 
Biashara bado inalipa na naona watu walifuatilia sana hii thread kwa sabab ndan ya muda mfupi nimeona maelfu ya watu wameingia mozambique. Ila Kinachonisikitisha ni kuona idadi ya mateja toka Tz ndo imeongezeka sana, kuliko hata wachumaji wenyewe, fursa bado zipo kaka usisubiri kuambiwa funga safari njoo ujionee mwenyewe, kama waja caboDelgado wilaya ya montepuez yaweza kuwa juu kibiashara sana tofauti na Pemba, ila gest bado sana hazijajengwa tatizo kila anayekuja huku Habuni anishia kucopy na kupaste, ndo maana utawakuta asilimia tisin ya watanganyika wako kwenye nguo na wapemba wako kwenye electronics. nawapa challenge wa malori, leta semi trailer lako weka kisomo pemben hata kama Una master shikilia usukan mwenyewe, nawahaKikishia kama sio mvivu na mpenda starehe na sio muoga wa kutafuta oda, hutalala miezi mitano au mitatu utaagiza jingine, ila the best of all ukipata ka fuso tu kwa wanaoanza
 
ila tahadhari kwa wapenda starehe bora mubaki bongo huku mtarostika
 
Ok sikuwahi fikila kuja msumbuji nilipa zarau sasa nime oanga kuja japo nione ndipo nirudi home nijipange nijue nini cha kufanya
 
speedy, mimi nina semi trailor na ninaendesha mwenyewe na ningependa kuja kuangalia opportunities huko tunaweza shirikianaje? (mutual benefit)
 
wakuu nimepita kkoo,wenyeji wa pemba ndio wanakuja dar kuchukua nguo hasa vitenge,kanga na kuna fuso za kwenda pemba na nampula!mwana jf aliyepo huko msumbiji ni mafuta gani ya kujipaka wanapenda huko lotion,jelly,cream,perfume,ya saluni za kike kuosha nywele etc kutoka tanga,dar,kenya,uganda etc bei za jumla huko nampula na pemba pia!nitashukuru sana!biashara ya dawa za binadamu wanasema zinasumbua njiani
 
Hamna sumbufu wowote uwe na pesa ya kulipia mzigo tu ila kama utapitia nchi nyingine ndo ufike mozambigue ndo utapata usumbufu kidogo inakubidi kuacha bondi pesa kidogo mfano unatoka tz kuja mozambigue kupitia malawi au zambia ndo unatakia kuacha dispot kwenye boda za nchi utakazopitia

nina ndugu yangu yupo pemba,anaduka la vipodozi
 
Ila moz huwa inateswa sana na floods,nafikiri tangu last wiki wanapambana na sehemu zilizopata floods.
 
SPEEED,nilisikia serikali ya mozambiq hairusu watu binafsi kufungua maduka ya dawa
 
Nitafute nikupe ki portugues cha kuombea maji na kujua uko wapi Maputo. Bom dia o senhor
 
Japo topic imeshakuwa ya maktaba kwangu mie ambaye nafikiria kuwa mjasiriamali hivi karibuni imenichukua sana, je hakuna mawazo mapya au mabadiliko yaliyojitokeza katika kipindi hiki?
 
kaka nadhan italipa kwa sabab hata mafund mara zote ninao watumia kunifanyia wiring ni wa kitan tu wamekariri ukileta kitu kipya wanashindwa Ila construction inalipa kuna mbunge wa kama ckosei n mtwara alikuwa nayo Huku na contracts alikuwa nazo za kufa mtu, watu wa Huku wanataman sana kuwa na vitu vizur Ila mafund wa Huku kwa sio competent pia gharama zao ziko juu sana. Njoo usurvey kwenye hiyo industry yako Ila by 100% utakimbia pesa.

asante mkuu nalifanyia kazi hili
 
sio uoga speed,nasikia kibali cha kufungua maduka ya dawa ni kazi sana kupata,ndio mana hapo pemba maduka ya dawa hayafiki hata matatu,nasikia mama Mariam yule wa Mnazi mmoja LINDI,alitaka kufungua duka la dawa msimbwa lakini ameliwa pesa mpaka kachoka,
 
mtaji na faida inategemeana na biashara na wakat wenyewe, kwa mfano kwa wale wanao deal na nguo, kipindi cha mavuno speed huwa kubwa sana na Hapa mara nyingi faida huwa ni mara mbili kwa maeneo kama Pemba na Beira Ila cku za kawaida faida ni kiasi kwa upande wangu Ila kubwa kuliko sehem yoyote tz. Kuhusu mtaji, Hapa return inategemeana na maeneo Ila kama unataka super profits, ya 4 times nenda Maputo. inshot ni hivi Huku hakuna gerej za maana,hospital hakuna, maduka ya dawa n kama hakuna kabisa, misos ndo wanategemea mostly imports especially azam ndo muuzaj. nadeal na misos, experience yangu kama unaweza wekeza kwenye mikate unataka rt hiyo bas jiandae na running capital ya usd 2500 kwa mwez


Hi,
nilivutiwa sana na maelezo yako kuhusu kufanya biashara Mozambique katikA Jf , naomba tuwasiliane zaidi , mimi nipo UK , text hii namba halafu nitakupigia direct +447985616985
 
Back
Top Bottom