Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
[h=5]Jamaa kaingia kwa kinyozi na mtoto,akaomba anyolewe nywele na ndevu.
Alipomaliziwa akasema mtoto pia anyolewe,akaaga kuwa anaenda dukani kumnunulia mtoto viatu.
Masaa matatu yakapita jamaa bado haonekani.Kinyozi akamwambia mtoto,"Oya babako amekusahau?"
Mtoto akajibu,"Yule sio baba yangu...mi nilikuwa napita hapo nje,akanishika mkono akaniambia tuingie hapa tunyolewe bure!"[/h]
Alipomaliziwa akasema mtoto pia anyolewe,akaaga kuwa anaenda dukani kumnunulia mtoto viatu.
Masaa matatu yakapita jamaa bado haonekani.Kinyozi akamwambia mtoto,"Oya babako amekusahau?"
Mtoto akajibu,"Yule sio baba yangu...mi nilikuwa napita hapo nje,akanishika mkono akaniambia tuingie hapa tunyolewe bure!"[/h]