zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Dogo Janja,we bwana mdogo sana ndani ya medani ya Music....
Nakushauri komaa na Elimu,itakufikisha mbali,uwezo wako wa utungaji wa mashairi utakuwa...kikubwa sasa uangalie na Maisha ya madogo wenzako wa mtaani,watoto yatima,waliokimbiwa na wazazi,wanaofanyishwa kazi,then fyatuka na nyimbo zitakazo walenga watoto wenzako na zitakazo beba ujumbe wa kuwatia Moyo...Achana Starehe zitakupoteza mapema...
.....elimu ndo kila kitu...
Nakushauri komaa na Elimu,itakufikisha mbali,uwezo wako wa utungaji wa mashairi utakuwa...kikubwa sasa uangalie na Maisha ya madogo wenzako wa mtaani,watoto yatima,waliokimbiwa na wazazi,wanaofanyishwa kazi,then fyatuka na nyimbo zitakazo walenga watoto wenzako na zitakazo beba ujumbe wa kuwatia Moyo...Achana Starehe zitakupoteza mapema...
.....elimu ndo kila kitu...