Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Mwalimu: Baba yako anamiaka mingapi?
Dogo: Ni miaka saba kama mimi.
Mwalimu: Acha utani, itakuwaje uwe umri sawa na Baba yako?
Dogo: Unajua Baba aliikataa mimba, ila alikuja kukubari baada ya mimi kuzaliwa nikiwa ninafanana naye sana. Hivyo alikuwa Baba yangu siku niliozaliwa.
Dogo: Ni miaka saba kama mimi.
Mwalimu: Acha utani, itakuwaje uwe umri sawa na Baba yako?
Dogo: Unajua Baba aliikataa mimba, ila alikuja kukubari baada ya mimi kuzaliwa nikiwa ninafanana naye sana. Hivyo alikuwa Baba yangu siku niliozaliwa.