kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Dogo yupi huyo?:israel:
Angalia picha mkuu
Duh hata dogo haridhiki, ipo kazi:israel:
haha,nahisi mkuu akiona gazeti leo atacheka sana kwa majonzi
maisha yanazidi kua magumu kila kukicha afadhali ya jana na bei za mafuta nasikia zinapanda na umeme mgao mkubwa un akuja yaani shida tupu!
Unasikia?
we unaishi wapi mwenzetu?
hongera sana,endelea kusikia tu ila usi experience hali kama hiyo,...
mafuta ya taa lita 1750,
super 2050,...
lakini watanganyika bado wana cheka tu,tabasamu tele maisha ni mazuri bado!
Ukiona watu hawalii,au anaalilia nyumbani basi maisha bado mazuri
Unasikia?
we unaishi wapi mwenzetu?
hongera sana,endelea kusikia tu ila usi experience hali kama hiyo,...
mafuta ya taa lita 1750,
super 2050,...
lakini watanganyika bado wana cheka tu,tabasamu tele maisha ni mazuri bado!
Ukiona watu hawalii,au anaalilia nyumbani basi maisha bado mazuri
Wasipompa dogo wanipe mm!
Mkuu mbona super ni zaidi ya 2050.
Kwa mujibu wa Ewura, bei ya petroli imepanda kwa asilimia 2.57, dizeli imepanda kwa asilimia 1.58 na mafuta ya taa yamepanda kwa asilimia 1.94. Taarifa hiyo ya Ewura inaeleza kwamba bei ya dizeli jijini Dar es Salaam itakuwa kati ya Sh. 2,123 hadi 2,282 wakati mkoani Kigoma mafuta hayo yatauzwa kuanzia Sh. 2,354 na kikomo ni Sh. 2,530 kwa lita.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa bei hiyo mpya ya mafuta inaanza kutumika leo kwenye vituo vyote vya kuuzia mafuta vilivyoko nchini, na kueleza kuwa mafuta ya petroli yamepanda kwa asilimia 2.57, dizeli imepanda kwa asilimia 1.58 na matuta ya taa yamepanda kwa asilimia 1.94.
Source IPPMEDIA: Home