Mayenga sorry wewe ni kaka au dada?
Kama ni Kaka mbona unashangaa kama vile wewe huya /hukuwa unayapiga mabao?Binafsi am not a Teen ager lakini bado siku moja moja napiga mabao.The positive side ya hiyo ni kuwa dogo ana afya njema.
Sasa kupunguza ni kumtafutia extra activities kama za nguvu au kumwambia awe anapiga tizi sana jioni . akichoka atalala uzingizi fofofo . Hii inaeza kusaidi kidogo kama alikuwa anapia mabao ma4 atapiga 1ja kwa siku
Kama ni dada hiyo ni hali ya kawaida kabisa kwa kijana wa kiume hasa kwenye Teen age. Ni kama vile kwa msichana kwenda MP.
mazoezi anayoweza.kufanya jogging, kuruka kamba kichura chura, push ups. n.k
Ninaishi na mdogo wangu,hana tatizo la kukojoa kitandani,lakini akiamka mashuka yamelowa kwa shahawa zinazomtoka akiwa usingizini.Tatizo ni nini?
Mkuu, inategemea dogo anakula nini. Kama anakula matikiti maji, anakunywa supu ya pweza, basi utegemee hayo yanayompata. Lakini ujue pia kwamba wanadamu tunatofautiana kwa mengi hata kwa ashki. Kumbe tusione ajabu kijana kuwa na umwagaji usio wa kawaida wa mbegu zake. Kulala na chupi si suluhisho. Kwa kijana kama yeye majimaji hayo yanakuja kwa presha kali sana yenye uwezo hata wa kupenya kaptura na kutoboa godoro. Acha bana! Bomba hilo!jamani. anajiotea na kumwaga kitandani, lita ngapi? sisi sote tulishabahele kipindi cha utoto wetu mazingira hayo tulishapitia. huyo dodo ana miaka yote hiyo 19 na bado analala bila chupi wala bukta, umri huo kubalehe kunakuwa ndo kunaishaisha kwanza...si mtoto huyo.
Huyo ana jini mahaba anayemtembelea, Msipochukua hatua haraka hatao mke.Ninaishi na mdogo wangu,hana tatizo la kukojoa kitandani,lakini akiamka mashuka yamelowa kwa shahawa zinazomtoka akiwa usingizini.Tatizo ni nini?
mtafutie demu awe anapunguza nyege zake! ndiyo umri wa balehe huo!Ana miaka 19 sasa.
lolmwambie awe anapiga puchu
Natamani nikuelewe hapo kwenye bold. Kama ulimaanisha kuoa, sijawahi kuona mtu anaoa mke. Sijui ni hii hangover au ni kutojua kiswahili kwangu.Huyo ana jini mahaba anayemtembelea, Msipochukua hatua haraka hatao mke.
Ana miaka 19 sasa.
LOL:hail:Huyo dogo anaukame sana usithubutu kumwachia demu wako atapiga mpaka mimba.