KIPUMPUSWA
Senior Member
- Jul 16, 2011
- 106
- 35
Lo magonjwa yote hapo juu?Hiyo ndo kitu yenyewe sasa.
Mimi nimepiga hiyo sana tu!
Maza anakamua, mimi nimesimama na kikombbe changu pembeni, napiga kitu cha motooo kutoka kwa mooo!
Sasa hivi hakuna cha malaria wala mafua, nipo fit kama tembo!
Miaka mitatu minne ndo naweza kujisikia mafua kidogo.
Yani sio spana mkononi hata kidogo!
Hiyo ndo kitu yenyewe sasa.
Mimi nimepiga hiyo sana tu!
Maza anakamua, mimi nimesimama na kikombbe changu pembeni, napiga kitu cha motooo kutoka kwa mooo!
Sasa hivi hakuna cha malaria wala mafua, nipo fit kama tembo!
Miaka mitatu minne ndo naweza kujisikia mafua kidogo.
Yani sio spana mkononi hata kidogo!
We nakunywa ile masiwa mabichi,ndio maana hata ille keswahili shako natelesaMe masai bana najua hyo kitu sana nimetooko naleng' enzi nikiwa mbugani and ineva be affected.nasema acha hyo maneno watu waendelee kunyw kitu pure masiwa.rafiki tapala kabisa!
duuuu! Hii inanikumbusha kitu inayoitwa "mlaso"full maprotini kwa dogo.
Hiyo ndo kitu yenyewe sasa.
Mimi nimepiga hiyo sana tu!
Maza anakamua, mimi nimesimama na kikombbe changu pembeni, napiga kitu cha motooo kutoka kwa mooo!
Sasa hivi hakuna cha malaria wala mafua, nipo fit kama tembo!
Miaka mitatu minne ndo naweza kujisikia mafua kidogo.
Yani sio spana mkononi hata kidogo!
Ikiwa umezaliwa katika mazingira ya kuchemsha maziwa basi lazima utapata madhara. Lakini ikiwa ndiyo mazoweya hayo mwili wako unadevelop resistance.
Mimi niliwahi kufanya kazi Mwanza basi nilipofika tu na majigambo yangu chemsha maji mpaka ya kupigia mswaki na kuoshea matunda. Loh nilipigwa na typhoid ya mwaka. Wenzangu wa kule wao mpaka maji kutoka kwenye bomba (yanatoka ziwani) lakini wanadunda bila tatizo.