Wakati huo kuoga,kuchana nywele na hata viatu ni hadithi.
Ama kweli inakumbusha mbali.
nakumbuka kwetu jamani!!!kulikuwa na manjiwa mkubwa yanapenda kwenye miti ya minyonyo yale yenye ring nyeusi shingoni ukipata mwawili duh!!damu tunapaka katika manati!!!(Etopito)eti uwemahili katika uwindaji!!