Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wanavuta sigara?mkuu hawa kurasini wanaitwa wapiga nyoka. wenyewe huwa wanafungua matank yanayoenda kupakia mafuta siyo yenye mafuta. Ukifika pale malawi cargo kurasini ndo utashangaa. wapo kama 150. hata hao madreva wamewazoea. ukiwakataza wanakuchanja na topaz mkuu. Mia
wanavuta sigara?
mkuu hawa kurasini wanaitwa wapiga nyoka. wenyewe huwa wanafungua matank yanayoenda kupakia mafuta siyo yenye mafuta. Ukifika pale malawi cargo kurasini ndo utashangaa. wapo kama 150. hata hao madreva wamewazoea. ukiwakataza wanakuchanja na topaz mkuu. Mia