Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Rejea kichwa cha uzi.
Mimi ni mzalendo sana, kwa muda mrefu nimekuwa mtumiaji wa mvinyo mwekundu(kwa vile bia chungu), nilikuwa napata uchungu sana kununua zile za Hispania, Italia, Ufaransa na Afrika Kusini, kwa kuwa ni za kigeni na sina uhakika na darajia zake wakati wa utengenezwaji.
Tanzania Distillers wakazindua mvinyo wa Dodoma kama mwaka hivi uliopita... Nikafarijika kwa kuwa hii kitu ni kipenzi changu na inatengenezwa nyumbani Tanganyika.
Lakini hii mvinyo imepatikana kwa unadra sana wandugu, leo nimezunguka zaidi ya bar locale sita kutafuta hii mambo, mwisho nikaipata kwenye pub moja ya kisharobaro kwa bei ya 12'000/= kwa chupa ya 750Ml, bei ambayo sio kabisa!
Sijajua kama tatizo ni promo ndogo au usambazaji umekuwa duni...
Naomba kuwasilisha,
Alhaji Andare!
Mimi ni mzalendo sana, kwa muda mrefu nimekuwa mtumiaji wa mvinyo mwekundu(kwa vile bia chungu), nilikuwa napata uchungu sana kununua zile za Hispania, Italia, Ufaransa na Afrika Kusini, kwa kuwa ni za kigeni na sina uhakika na darajia zake wakati wa utengenezwaji.
Tanzania Distillers wakazindua mvinyo wa Dodoma kama mwaka hivi uliopita... Nikafarijika kwa kuwa hii kitu ni kipenzi changu na inatengenezwa nyumbani Tanganyika.
Lakini hii mvinyo imepatikana kwa unadra sana wandugu, leo nimezunguka zaidi ya bar locale sita kutafuta hii mambo, mwisho nikaipata kwenye pub moja ya kisharobaro kwa bei ya 12'000/= kwa chupa ya 750Ml, bei ambayo sio kabisa!
Sijajua kama tatizo ni promo ndogo au usambazaji umekuwa duni...
Naomba kuwasilisha,
Alhaji Andare!