Dodoma: Mwanafunzi atiwa mimba na moja ya wapenzi wake 7!

Tunajuwa kuwa STD stands for sexually transmitted disieses.....HIV AIDS ni the same...Lakini kuna maeneo mengi tu duniani ambapo ni sindano za madawa kama heroin zinasambaza virusi hivyo kwa kasi.
Mimi nataka kujuwa kama STD inayojadiliwa hapa inaweza kuenezwa kwa njia ya tofauti zaidi ya sexual intercouse.
Mwanjelwa alipotowa mfano wa kipindundu nilimwelewa kuwa kipindu pindu ni ugonjwa unaosababishwa na uchafu licha ya kwamba huwa haisemwi hivyo.
Je ugonjwa huo ambao inawezekana mabinti wanau mistake na hamu ya kufanya mapenzi unaweza kuwa spread bila muingiliano wa kimwili?
If thats the case then Mwanjelwa nitakuelewa zaidi...Kama sivyo basi nitaelewa ulimaanisha kuwa hayo maji machafu nk ni facilitators na na si transmitors.
Naomba muendelee kutoa darasa.
 
Tunajuwa kuwa STD stands for sexually transmitted disieses.....HIV AIDS ni the same...Lakini kuna maeneo mengi tu duniani ambapo ni sindano za madawa kama heroin zinasambaza virusi hivyo kwa kasi.
Mimi nataka kujuwa kama STD inayojadiliwa hapa inaweza kuenezwa kwa njia ya tofauti zaidi ya sexual intercouse.
Mwanjelwa alipotowa mfano wa kipindundu nilimwelewa kuwa kipindu pindu ni ugonjwa unaosababishwa na uchafu licha ya kwamba huwa haisemwi hivyo.
Je ugonjwa huo ambao inawezekana mabinti wanau mistake na hamu ya kufanya mapenzi unaweza kuwa spread bila muingiliano wa kimwili?
If thats the case then Mwanjelwa nitakuelewa zaidi...Kama sivyo basi nitaelewa ulimaanisha kuwa hayo maji machafu nk ni facilitators na na si transmitors.
Naomba muendelee kutoa darasa.

Mushi, this is exclusive for you:

Transmission

The parasite rarely causes symptoms in men and re-infection of women by untreated partners can often occur.

It can be spread during:

A. anal sex ,mutual masturbation when bodily fluids from one partner come in contact with the other's genitals (in rare cases)
oral sex, vaginal sex


B. Unlike most STDs, Trichomonas can survive for some hours outside the body on infected objects and can be transmitted by sharing:
1. bodily fluids
2. contaminated bedding
3. damp towels
4. sheets
5. toilet seats


Mushi kama ulielewa points zangu, ni hapo juu point B; 1,2,3,4 and five suala la nyumbani kwa akina Kuhani na Mtindio (central line) kunapoingia!. Huwezi sema ni kuchafu, ila ndiyo maelezo yanavyojitosheleza hapa!
 
Tunajuwa kuwa STD stands for sexually transmitted disieses.....HIV AIDS ni the same...Lakini kuna maeneo mengi tu duniani ambapo ni sindano za madawa kama heroin zinasambaza virusi hivyo kwa kasi.
Mimi nataka kujuwa kama STD inayojadiliwa hapa inaweza kuenezwa kwa njia ya tofauti zaidi ya sexual intercouse.

Mushi, you are raising a very cogent question, pointed to the heart of the issue here. It is true, isn't it, that HIV can be transmitted by contaminated needles etc. etc., but the pandemic is still called STD. Why, because in the overwhelming majority of cases, the method of transmission is sexual. Same here:

``Trichomas Vaginalis can be acquired by: 1) having penetrative sex (when the penis enters the vagina, anus or mouth) with someone who has the infection 2) sharing moist towels, washcloths, Jacuzzis or hot baths where the parasite can live, although being infected by these non-sexual ways is extremely rare.``
wwwhands-healing.co.uk/Ailmentsnew/trich.htm


Kwamba, maambukizi yasiyohusiana na ngono ni machache, machache mno. Hivyo huwezi kusema hii ni factor, kwamba mabinti wanapata mimba ovyo ovyo mikoa ya kati kwa sababu ya uchafu watu wa huko kutokana na ukosefu wa maji inayowafanya wawashwewashwe na vidudu ukeni na hivyo kutafuta kukunwa na ngono ``ambayo ni dawa ya kitaalam.`` That science is thick-headed, not just junk. Poor hygiene is a cause of a myriad systemic diseases ravaging the country, but not Trichomoniasis, which is a sexually transmitted disease. Mwanjelwa kaongea kituko. Ni hoja hohehahe.

Mwanjelwa alipotowa mfano wa kipindundu nilimwelewa kuwa kipindu pindu ni ugonjwa unaosababishwa na uchafu licha ya kwamba huwa haisemwi hivyo.

Kwa nini unasema haisemwi hivyo? Kipindupindu kinahusiana moja kwa moja na mazingira machafu, na hilo halipingiki. STDs kama Trichomas vaginalis sio hivyo. Mwanjelwa kahusisha STD moja kwa moja na wanawake wachafu kwa sababu wanaishi mikoa ya kati isiyo na maji. STD na hygiene wapi na wapi?

Je ugonjwa huo ambao inawezekana mabinti wanau mistake na hamu ya kufanya mapenzi unaweza kuwa spread bila muingiliano wa kimwili?

Umetoa wapi hiyo theory ya kuwezekana ugonjwa kuwa mistaken na hamu ya mapenzi? Kwa huyu Mwanjelwa? Huyu ni daktari wa ``kufundwa`` tu. Haya ya elimu ya ngono kayajulia unyagoni au jandoni tu huyu quack! We huoni hata anavyotetea hoja zake bana? Angekuwa mtaalam angejibu maswali kwa matusi kutuambia tukachekiwe kama tuna wadudu sehemu zetu za ukeni, na kwamba tuna mtindio wa akili? Mtaalam anasema tutafute jibu google? Mtaalam angeleta reference ya polymerase chain reaction diagnosis kama kithibitisho cha kwamba mikoa ya kati ni michafu na hivyo wanawake wanawashwa chini na wadudu ambao ``kitaalam dawa yake ni ngono``? Aaaah Mushi, tafadhali bana.

If thats the case then Mwanjelwa nitakuelewa zaidi...Kama sivyo basi nitaelewa ulimaanisha kuwa hayo maji machafu nk ni facilitators na na si transmitors.

Unalazimisha kumuelewa wakati hata hujamsoma vizuri. Mwanjelwa kasema hakuna maji mikoa ya kati, ndio maana watu ni wachafu, na gonjwa limeenea huko. Hajasema kuna maji machafu, which would still be a preposterous idea.
Waungwana sasa naona mtakuwa mmemwelewa Mwanjelwa.

Wewe ndio umemuelewa. Jiongelee mwenyewe.

Usitake watu wakubali kubali theory ya ``kitaalam`` inayorushwa rushwa na mdau wa mtandaoni aliyeitunga sebuleni kwake ikawa peer reviewed na mwenzake ndani humo, ikapitishwa, mtu ambae hata maswali hajibu anaishia kutukana watu eti tukachekiwe sehemu zetu za kike, na kwamba tuna mtindio wa ubongo. Sayansi haiendi hivyo. Mambo ya kisayansi huwa yana kitu kinaitwa peer review ambayo ni sehemu ya mfumo mzima wa keulewa na kujenga ujuzi wa kisayansi, the scientific method. Katika scientific method wataalam wenyewe kwa wenyewe huwa wanapingana na kutakana vidhibiti na kubadilisha msimamo wanapozidiana vithibitisho. Huyu Mwanjelwa haendi hivyo, ni mtaalam pseudo huyu!

Naomba muendelee kutoa darasa.

Aendelee tu, ila ajue mambo ya kisayansi hayafundishwi kama mawaidha ya Imamu au injili ya kweli. Wote tunajadili ishus hapa. Ila atakae sema kuwa yeye ndie masiha uliyeshushwa kuwaletea wana wa Israel ujumbe wa ``utaalam`` fulani then aje na mchongo umenyooka, na uweze kujibu maswali ya wanafunzi tunaotaka kuelewa kabla ya kubugia bugia darasa.
 
Mushi, you are raising a very cogent question, pointed to the heart of the issue here. It is true, isn't it, that HIV can be transmitted by contaminated needles etc. etc., but the pandemic is still called STD. Why, because in the overwhelming majority of cases, the method of transmission is sexual. Same here:

``Trichomas Vaginalis can be acquired by: 1) having penetrative sex (when the penis enters the vagina, anus or mouth) with someone who has the infection 2) sharing moist towels, washcloths, Jacuzzis or hot baths where the parasite can live, although being infected by these non-sexual ways is extremely rare
wwwhands-healing.co.uk/Ailmentsnew/trich.htm``

Kwamba, maambukizi yasiyohusiana na ngono ni machache, machache mno. Hivyo huwezi kusema hii ni factor, kwamba mabinti wanapata mimba ovyo ovyo mikoa ya kati kwa sababu ya uchafu watu wa huko kutokana na ukosefu wa maji inayowafanya wawashwewashwe na vidudu ukeni na hivyo kutafuta kukunwa na ngono ``ambayo ni dawa ya kitaalam.`` That science is thick-headed, not just junk. Poor hygiene is a cause of a myriad systemic diseases ravaging the country, but not Trichomoniasis, which is a sexually transmitted disease. Mwanjelwa kaongea kituko. Ni hoja hohehahe.



Kwa nini unasema haisemwi hivyo? Kipindupindu kinahusiana moja kwa moja na mazingira machafu, na hilo halipingiki. STDs kama Trichomas vaginalis sio hivyo. Mwanjelwa kahusisha STD moja kwa moja na wanawake wachafu kwa sababu wanaishi mikoa ya kati isiyo na maji. STD na hygiene wapi na wapi?



Umetoa wapi hiyo theory ya kuwezekana ugonjwa kuwa mistaken na hamu ya mapenzi? Kwa huyu Mwanjelwa? Huyu ni daktari wa ``kufundwa`` tu. Haya ya elimu ya ngono kayajulia unyagoni au jandoni tu huyu quack! We huoni hata anavyotetea hoja zake bana? Angekuwa mtaalam angejibu maswali kwa matusi kutuambia tukachekiwe kama tuna wadudu sehemu zetu za ukeni, na kwamba tuna mtindio wa akili? Mtaalam anasema tutafute jibu google? Mtaalam angeleta reference ya polymerase chain reaction diagnosis kama kithibitisho cha kwamba mikoa ya kati ni michafu na hivyo wanawake wanawashwa chini na wadudu ambao ``kitaalam dawa yake ni ngono``? Aaaah Mushi, tafadhali bana.



Unalazimisha kumuelewa wakati hata hujamsoma vizuri. Mwanjelwa kasema hakuna maji mikoa ya kati, ndio maana watu ni wachafu, na gonjwa limeenea huko. Hajasema kuna maji machafu, which would still be a preposterous idea.


Wewe ndio umemuelewa. Jiongelee mwenyewe.

Usitake watu wakubali kubali theory ya ``kitaalam`` inayorushwa rushwa na mdau wa mtandaonu aliyeitunga sebuleni kwake ikawa peer reviewed na mwenzake ndani humo, ikapitishwa, mtu ambae hata maswali hajibu anaishia kutukana watu eti tukachekiwe sehemu zetu za kike, na kwamba tuna mtindio wa ubongo. Sayansi haiendi hivyo. Mambo ya kisayansi huwa yana kitu kinaitwa peer review ambayo ni sehemu ya mfumo mzima wa keulewa na kujenga ujuzi wa kisayansi, the scientific method. Katika scientific method wataalam wenyewe kwa wenyewe huwa wanapingana na kutakana vidhibiti na kubadilisha msimamo wanapozidiana vithibitisho. Huyu Mwanjelwa haendi hivyo, ni mtaalam pseudo huyu!



Waendelee tu, ila wajue mambo ya kisayansi hayafundishwi kama mawaidha ya Imamu au injili ya kweli. Wote tunajadili ishus hapa. Ila atakae sema kuwa yeye ndie masiha uliyeshushwa kuwaletea wana wa Israel ujumbe wa ``utaalam`` fulani then aje na mchongo umenyooka, na uweze kujibu maswali ya wanafunzi tunaotaka kuelewa kabla ya kubugia bugia darasa.



We Mushi, kama nilivyokuambia, achana na huyu Kuhani. Ame-copy points nilizokupatia above na kuleta ki-website cha wale homosexuals/lesbians wa uk (wwwhands-healing.co.uk/Ailmentsnew/trich.htm``[/I]). hamna mpya hapa kwenye hii web zaidi ya kwamba wanaambiwa homosexuals wawe makini na hii ugonjwa. Kwa extremely rare..., maana yake ni kwa areas of high gygienic standards,, "definitely ile mikoa niliyotaja ina one of the lowest in TZ". Ukisoma maelezo yake anachojaribu kupinga hapa hoja ni kuwa dada zake " si wachafu" na kuwa hawana hii diasese. Mbaya zaidi ni hajui kuwa maambuki ya hii kitu inaweza kwenda bila sex kama nilivyoeleza above. Chances ni sawa sawa kabisa kabisa kwa ile mikoa. Huyu anashangaa (siyo anabisha). Wabishi tunawajua, kwani ni lazima ujue uli uweze kubisha!. Sasa angalia pale juu point B; 1,2,3,4 and 5. Ukiwa unaweza kuathiriwa na point A + B na mwezako anaathiriwa na point A peke yake, ina maana gani? Ahuhitaji peer reviewing hapa!. Journal zanazopeleka manuscripts kwa peer reviewing zinahitaji new science materials. Ukipeleka manuscript kuwa .....wale jamaa zake wa central line.... wako exposed na hii disease, editor-in-Chief atakushangaa sana. Atakuuliza,,,in the first place, what did you expect? Wenyewe wategemea uwaambie kuwa ....watu "wote" central line (including dada zake huyu, au pamoja na yeye ndiyo maana awali nilishauri tuwasiliane alete K yake hapa nichukue swab nika-mount kwenye microscope!)...wako infected na kutokana na hii infection, na hivyo mimba zimekuwa nyingi hasa kwa young girls! Back to the thread.
 
'Mtaalam Mwanjelwa'

Bado nasubiri ile reference uliyotuahidi ..usidhani tumesahau..Nadhani hukujua ile ya mwanzo ilikuwa haihusiani..

Hapo juu nakuona tu unazidi kucheza mabreka na sarakasi..Naona poor logic yako ipo ktk level ya juu sana, yaani kwa sababu nataka kubainisha ukweli ktk hili suala la TV kwenye akili yako ya 'kitaalam' inaimply kuwa mimi natokea Central line?! Is this your best shot..?

FYI: Mimi kwetu Pemba, mbali kabisa na fikra zako za 'kitaalam'. Kuanza ku-discuss watu ni dalili nyingne kuwa huna la maana..basi tu..

Naona unadai central line ni wachafu STD inasambaa zaidi?! Ha ha ha...Kwa hiyo inamaana hivi vipengele hapa chini, ndo vinasababisha CL ina kuwa inakumbwa na TV zaidi ?

1. bodily fluids
2. contaminated bedding
3. damp towels
4. sheets
5. toilet seats


Kweli 'wataalam' tunao..
 
Wataalamu wetu endeleeni kutupa mambo tuelimike ingawa hadi sasa :confused: mmenichanganya sijui yupi mkweli kati yenu :confused:
 
Babuji usichanganyikiwe..

Storyline ya post inasema kuna binti ambaye ameripotiwa kupata ujauzito na akiwa na mahusiano ya kingono na wajuba 7, hivyo kushindwa kujua nani ni baba wa mimba hiyo.

Kuna huyu 'mtaalam' wetu ambaye out of nowhere, akatengeneza assertion kwamba hii kadhia inasababishwa na ugonjwa wa Trichomonas Vaginatis (TV) ambao anadai ni very common ktk Central line..Mbaya zaidi akasema huu ugonjwa ni very rampant kwa vijisichana vinavyochipukia .. Kwa mujibu wa melezo ya huyu mtaalam ni kuwa TV husababisha kujikuna na hivyo mtaalam akasisitiza kuwa ngono ni tiba yake.


Ukipima maneno ya huyu mtaalam ni vichekesho kwa sababu ambazo tumezishaziainisha hapo ktk posts kadhaa. Baadhi yake ni kuwa:

1. Mtaalam ameshindwa kuonesha kuwa binti aliye kitanzini anasumbuliwa na ugonjwa alousema.

2. Mtaalam ameshindwa kutoa takwimu za maambukizi ya TV kama alivyodai kuwa Central line ni zone ambayo ni very prone.

3. Mtaalam ameshindwa kuelewa kuwa TV ni Sexually Transimitted Disease(STD) hivyo maambukizi yake yanategemea kitendo cha ngono na si vinginevyo.

4. Maambukizi kwa njia nyingine ni very rare cases, mathalan maambukizi wakati wa kuzaliwa, muingiliano ya majimaji ya mwili n.k. Kwa kuwa Central line inajulikana kwa upungufu wa maji na hali ya maisha inajulikana ..ni wazi uwezekano wa maambukizi kwa njia ya mashuka, toilets seats, damp towels etc ni mdogo na hivyo we can safely consider it negligible.

5. Mtaalam ameshindwa kujua kuwa kujiwasha si dalili ya TV

6. Mtaalam ameshindwa kubaini kuwa uchafu wa kutokuoga au kufua nguo si chanzo cha STD husika.

7. Mtaalam ameleta jamvini article ambayo ni irrelevant na mada inayojadiliwa.

8.n.k


Ukifanya majumuisho ya hoja za mtaalam utabaini kuwa kimsingi hana hoja na hana alijualo.

Merry X-Mass..
 
Babuji usichanganyikiwe..

Storyline ya post inasema kuna binti ambaye ameripotiwa kupata ujauzito na akiwa na mahusiano ya kingono na wajuba 7, hivyo kushindwa kujua nani ni baba wa mimba hiyo.

Kuna huyu 'mtaalam' wetu ambaye out of nowhere, akatengeneza assertion kwamba hii kadhia inasababishwa na ugonjwa wa Trichomonas Vaginatis (TV) ambao anadai ni very common ktk Central line..Mbaya zaidi akasema huu ugonjwa ni very rampant kwa vijisichana vinavyochipukia .. Kwa mujibu wa melezo ya huyu mtaalam ni kuwa TV husababisha kujikuna na hivyo mtaalam akasisitiza kuwa ngono ni tiba yake.


Ukipima maneno ya huyu mtaalam ni vichekesho kwa sababu ambazo tumezishaziainisha hapo ktk posts kadhaa. Baadhi yake ni kuwa:

1. Mtaalam ameshindwa kuonesha kuwa binti aliye kitanzini anasumbuliwa na ugonjwa alousema.

2. Mtaalam ameshindwa kutoa takwimu za maambukizi ya TV kama alivyodai kuwa Central line ni zone ambayo ni very prone.

3. Mtaalam ameshindwa kuelewa kuwa TV ni Sexually Transimitted Disease(STD) hivyo maambukizi yake yanategemea kitendo cha ngono na si vinginevyo.

4. Maambukizi kwa njia nyingine ni very rare cases, mathalan maambukizi wakati wa kuzaliwa, muingiliano ya majimaji ya mwili n.k. Kwa kuwa Central line inajulikana kwa upungufu wa maji na hali ya maisha inajulikana ..ni wazi uwezekano wa maambukizi kwa njia ya mashuka, toilets seats, damp towels etc ni mdogo na hivyo we can safely consider it negligible.

5. Mtaalam ameshindwa kujua kuwa kujiwasha si dalili ya TV

6. Mtaalam ameshindwa kubaini kuwa uchafu wa kutokuoga au kufua nguo si chanzo cha STD husika.

7. Mtaalam ameleta jamvini article ambayo ni irrelevant na mada inayojadiliwa.

8.n.k


Ukifanya majumuisho ya hoja za mtaalam utabaini kuwa kimsingi hana hoja na hana alijualo.

Merry X-Mass..


Mtindio mimi nilishakupa Merry Christmas zamani. Niko na Mushi. Naamini kabisa Message mmeipata in three dimension. Hakuna mtu anajadili makabila hapa, wewe uwe mpemba mimi mngazija aileti maana hapa na Hiyo ndiyo inafanya hii message/nondo ya shule kali wewe na Kuhani msiipate ilivyotakiwa. Mfano, tunaposema Oncocerciasis inapatikana zaidi maeneo yenye maji yanayotirirka kwa kasi (milimani) kama Morogoro, Usambara na Mbeya haimaanishi kabila hapo. Hapo ni facts na kama kuna kabila lako huko, na wewe hupendi, haukuchagua iwe hivyo. Ni nature. In fact, nimeshamwaga za kutosha sana. Nyie endeleeni kubisha tu, ila nawasubiri nichukue swabs kuwa-check. Mtakuja tu!
 
By not being able to mention the name of the father of her expected child, can we say this kid protecting someone? May be the teacher?
 
Back
Top Bottom