Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
Naingia usiku huu kutoka mkoa flan, nipo kwa masaa ka 72 hivi... If u have gat bata map nambie nkutafute
Naingia usiku huu kutoka mkoa flan, nipo kwa masaa ka 72 hivi... If u have gat bata map nambie nkutafute
Jamani i wish ningekuwepo lakini kwa sasa nimetoka kidogo
we sio yule kigogo uliyefumaniwa ukitokea mkoa flan unarudi dodoma sasa!!
mhh mi mtoto wake banah.. like father like son.!!
Aahh umekuja siku mbaya Jumatatu?..unajua wengine ni security guard siku za Jumatatu mpaka jtano tupo kwenye shift...Ila bata nzuri ulizia Club 84 siku ya Alhamis..au kula kuku chako ni chako halafu malizia na gambe Cafe latino
Aahh umekuja siku mbaya Jumatatu?..unajua wengine ni security guard siku za Jumatatu mpaka jtano tupo kwenye shift...Ila bata nzuri ulizia Club 84 siku ya Alhamis..au kula kuku chako ni chako halafu malizia na gambe Cafe latino
gambe Cafe latino iko maeneo gani plz najua inayo2pikia chakula kibichi huku UDOM? Nataka nikapunguziamo stres za UE!