First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Hivi jamani hawa tunaowaita waheshimiwa huwa mjengoni wanafuata nini? Kutukanana? Mf Sitta Samwel wapinzani wanafiki, na maneno kibao ya kashfa, hapo hapo wengine wao kwa wao wanakiukana, sasa sisi wananchi tunapata ujumbe gani bungeni?