Jamani huu mji wa Dodoma haupaswi kuitwa makao makuu ya Tz, kwanza barabara za manispaa ni hovyo kabisa, mfumo wa maji taka baadhi ya sehemu tena katikati ya mji ni hovyo kabisa. Stendi kuu ya mabasi haieleweki, kuna mashimo makubwa tena mengi kwnye barabara ya kuingia stendi kuu.
Ukipita maeneo ya majengo sokoni wanaita rev square kuna mashimo kwnye lami ambapo wameamua kuziba kwa kuweka vilaka vya udongo yani vifusi. Hivi wahusika wapo likizo au hili ni shamba la bibi halina mwangalizi? Viongozi wenye dhamana na mji wa Dodoma timizeni wajibu wenu.
Ukipita maeneo ya majengo sokoni wanaita rev square kuna mashimo kwnye lami ambapo wameamua kuziba kwa kuweka vilaka vya udongo yani vifusi. Hivi wahusika wapo likizo au hili ni shamba la bibi halina mwangalizi? Viongozi wenye dhamana na mji wa Dodoma timizeni wajibu wenu.