Documentary ya KDF

Ubora wa Kenya ungeonekana kwa Westgate


ubora wa France ungeonekana Paris
ama Nice wakati watu 123 na 81 waliuliwa na terrorist


ubora wa UK ungeonekana pale kwa tube zao wakati terrorist waliuwa watu 200+


ubora wa uturuki ungeonekana

istanbul
Gaziantep
Ankara

wakati terrorist waliuwa watu 245,50,23


mtakaa hapo mkisema westgatr oooh ahhh jaribuni kuigeuka Kenya mtaupokea ubora wetu toka majini hewani na on the ground


Kenya air force will make Dar a quarry within hours


saio Kenya navy will be marching toka kwale iki toanisha

Tanga na Bagamoyo


kenya army will March toka namanga hadi dodoma bado hamtajua kilicho wapiga we have more tanks than Tanzania


about 300 tanks Tanzania ziko 78 hehehe mtajuta Somalia sio Tanzania!!!
 
Acha pumba wewe...video clip zisikufanye ukachanganyikiwa...uliza africa mashariki na kati jeshi kali ni lipi!? We hujiulizi kwann wanajeshi wa kongo wanaendaga "Monduli" kufundishwa "uOfficer" kwann sio kenya!? Hujiuliza m23 ilipigwa na kina nani..Kenya ni watoto kabisa kwa TZ na wasijichanganye maana tutawafanya kitu kibaya..
Tatizo lililopo la Wakenya ni kwamba, wao hata wakiwa na kitu kidogo kelele nyingi. Kuna mtu nilisikia kwy chanel yao ya KTN TV anasema yeye Tajiri kwa sababu ana ng'ombe 5 wa maziwa. Nikacheka kwa dharau, ivi unakuwa na ng'ombe 5 unajiita Tajiri na wakati apa Tanzania watu wenye ng'ombe 20. Za maziwa ni wengi sana ukienda katika lanch za Taifa ndio usiseme. Ukienda arusha, kilimanjaro, Mara na sehemu nyingi watu wana ng'ombe mpaka hatari sana. Sasa mkenya akiwa na kitu kidogo kelele mingi sana. Apa Tanzania mali inamilikiwa na wadhawa na sio wageni kama Kenya. Kenya miradi yote ni ya Wazungu, wahindi, wachina na waarabu, nyinyi ni wasindikizaji.
Sisi tumepigana vita Uganda na kushinda nyinyi mmepigana vita ipi? Sisi tumeiondoa wanamgambo wa M23 nyinyi mmeshindwa kwenda pale Democratic Republican of Congo, Sisi Democrat Republic of Congo ndio tunasaidia amani na wanajeshi wa Tanzania ndio wanasaidiana na wanajeshi wa Sudan katika kuleta amani, Kenya imeshindwa kupambana na mgambo wa Alishababu
 
Tanzanians using El Ade to belittle the KDF Is very though less.Its like their army is made of steel and can withstand explosions. Most soldiers died during the early minutes of the attack.Now imagine how a army that was surprised was able to hold back a 1000man militia group for 10hrs. I know you deliberately ignore this so as to justify your argument.Since the attack Kenya has killed +1000 terrorists.Kenya has overrun so many alshabaab camps since and beating Kenya was the groups biggest victory because they know KDF is no mediocre.Read this then keep posting your uninformed stupidity here.
 
Tatizo lililopo la Wakenya ni kwamba, wao hata wakiwa na kitu kidogo kelele nyingi. Kuna mtu nilisikia kwy chanel yao ya KTN TV anasema yeye Tajiri kwa sababu ana ng'ombe 5 wa maziwa. Nikacheka kwa dharau, ivi unakuwa na ng'ombe 5 unajiita Tajiri na wakati apa Tanzania watu wenye ng'ombe 20. Za maziwa ni wengi sana ukienda katika lanch za Taifa ndio usiseme. Ukienda arusha, kilimanjaro, Mara na sehemu nyingi watu wana ng'ombe mpaka hatari sana. Sasa mkenya akiwa na kitu kidogo kelele mingi sana. Apa Tanzania mali inamilikiwa na wadhawa na sio wageni kama Kenya. Kenya miradi yote ni ya Wazungu, wahindi, wachina na waarabu, nyinyi ni wasindikizaji.
Sisi tumepigana vita Uganda na kushinda nyinyi mmepigana vita ipi? Sisi tumeiondoa wanamgambo wa M23 nyinyi mmeshindwa kwenda pale Democratic Republican of Congo, Sisi Democrat Republic of Congo ndio tunasaidia amani na wanajeshi wa Tanzania ndio wanasaidiana na wanajeshi wa Sudan katika kuleta amani, Kenya imeshindwa kupambana na mgambo wa Alishababu


raw milk in Kenya sells at 42kshs per litre 5 cows each say giving 60 litres daily gives you 12600kshs a day unTaxable income say cost of production is a third your revenue -4200 therefore you get 8400kshs daily that is 260,500kshs monthly or 2604$ a month from 5 cows in a year that is 31,248$ that is a middle class human being in Australia or Canada or France dimwit

fyi with those 5 cows you can buy a house in upper hill Nairobi and a large fuel guzzler and live like a king DIMWIT

BIASHARA KENYA IKO LIGI INGINE..... DON'T!!!!!


Why milk is big business in Africa
    
 Updated 1037 GMT (1837 HKT) October 2, 2015
By Thomas Page, for CNN
Where does Africa's milk come from?
00:54

Story highlights
Africa has 13.4 million dairy farms
South Africa averages 357 cows per herd, significantly more than the continental average of 10
(CNN) — South Africa's Western Cape is renowned for its wines and liquors. But for the country's Eastern Cape there's another drink at the top of the agenda -- milk.
In the past decade the region has doubled its production output. One of the biggest milk producers in Africa, the nation as a whole has an average of 357 cows per herd -- to put this figure in context, only 13 countries globally can boast an average of 100 or more.
Kenya, Sudan and Egypt also rank among the top milk-producing countries on the continent, all contributing significantly to Africa's 13.4 million dairy farms.
But despite the impression of mass industrial-scale farming, the average cattle herd is only 10 cows strong. From the nomadic Maasai in Kenya to the Bodi tribe in Ethiopia, small-scale herding is still a way of life for some. The cow is integral: the key to daily sustenance, and for the Bodi, glory.
But cows are far from the only source of milk.




ukamcheka kwa dharau eeeh????


eti mkulima tz Ana ngombe 20 was Kenya Ana 5 lakini somehow


Kenya is the second largest milk producer in Africa and also the 3rd largest beef exporter......


woooow aibu Tanzania haiwatoki


Kenya 549,000km²
86% desert
43mn
2879mw
500km coastline
largest port in sub Sahara out of SA
AIRLINES
69bn$ economy
at war in Somalia
6bn$ tourism industry
middle income ecomomy
.
.
.
TANZANIA 950,000km²
No desert
lots of minerals
56mn people
1500mw
1200km coastline
insignificant ports
no airlines
48bn$

LEAST DEVELOPED NATION


KALALE

wewe

ubongo


Kenya's dairy sector tops in East Africa
Kenya's dairy sector is the most advanced in the East Africa region.
According to Julie Kariuki, the East Africa Dairy Development regional business manager, the sector is highly competitive in Kenya, with new entrants coming up to do business locally and in the region.
"However, much as there is a lot of investment in the dairy sector, farmers still need support on issues such as artificial insemination services in order to get quality breeds,” she said.

She was speaking during an exchange forum for East Africa farmers in Nyahururu, which saw 77 producer organisations from Tanzania visit dairy farmers in Laikipia and Nyeri counties to learn more about dairy farming.
Daniel Laizer, EADD project manager in Tanzania, said the diary sector in his country has not been active and many cooperatives closed due to mismanagement, noting that they are now trying to revive them.

"We want our farmers to be able to increase their milk production, which currently stands at a maximum of 24 litres per cow per day, unlike in Kenya which is 20 to 69 litres per cow per day,” he said.
Kariuki added that Kenya has tremendous knowledge to offer around dairy production, with a comparatively more advanced dairy industry in the region.
"Kenya’s rapidly growing middle class demands much higher and more consistent quantities of milk. The per capita milk demand is projected to double from 111 litres to 220 litres by 2030,” Kariuki said.
She however noted that despite the high investment, the country's dairy sector is not well coordinated and there is need to harmonise resources to ensure that the full potential of the industry is achieved.
According to the Food and Agriculture Organisation, Kenya’s per capita milk consumption is among the highest globally of any low-income developing country.
"With food prices, including milk, on the rise, production must continue to increase if prices are to remain affordable for families. EADD II is part of the solution and, in fact, this is one of the programme’s goals. Heifer International works with dairy farmers to ensure that plenty of high-quality milk is available for consumers,” she said.
The East Africa Dairy Development Project is a five-year regional industry development programme which focuses on sustainably improving livelihoods of smallholder dairy farmers by enhancing dairy production and market access in East Africa.
The project is led by Heifer International in partnership with Technoserve, International Livestock Research Institute, African Breeders Service and the World Agroforestry Centre with support from the Bill and Melinda Gates Foundation.
Kariuki said the project will work with 58,000 smallholder farm families over three years in Kenya and will focus on helping existing hubs reach a high performance level so they can graduate from
 
raw milk in Kenya sells at 42kshs per litre 5 cows each say giving 60 litres daily gives you 12600kshs a day unTaxable income say cost of production is a third your revenue -4200 therefore you get 8400kshs daily that is 260,500kshs monthly or 2604$ a month from 5 cows in a year that is 31,248$ that is a middle class human being in Australia or Canada or France dimwit

fyi with those 5 cows you can buy a house in upper hill Nairobi and a large fuel guzzler and live like a king DIMWIT

BIASHARA KENYA IKO LIGI INGINE..... DON'T!!!!!


Why milk is big business in Africa
    
 Updated 1037 GMT (1837 HKT) October 2, 2015
By Thomas Page, for CNN
Where does Africa's milk come from?
00:54

Story highlights
Africa has 13.4 million dairy farms
South Africa averages 357 cows per herd, significantly more than the continental average of 10
(CNN) — South Africa's Western Cape is renowned for its wines and liquors. But for the country's Eastern Cape there's another drink at the top of the agenda -- milk.
In the past decade the region has doubled its production output. One of the biggest milk producers in Africa, the nation as a whole has an average of 357 cows per herd -- to put this figure in context, only 13 countries globally can boast an average of 100 or more.
Kenya, Sudan and Egypt also rank among the top milk-producing countries on the continent, all contributing significantly to Africa's 13.4 million dairy farms.
But despite the impression of mass industrial-scale farming, the average cattle herd is only 10 cows strong. From the nomadic Maasai in Kenya to the Bodi tribe in Ethiopia, small-scale herding is still a way of life for some. The cow is integral: the key to daily sustenance, and for the Bodi, glory.
But cows are far from the only source of milk.




ukamcheka kwa dharau eeeh????


eti mkulima tz Ana ngombe 20 was Kenya Ana 5 lakini somehow


Kenya is the second largest milk producer in Africa and also the 3rd largest beef exporter......


woooow aibu Tanzania haiwatoki


Kenya 549,000km²
86% desert
43mn
2879mw
500km coastline
largest port in sub Sahara out of SA
AIRLINES
69bn$ economy
at war in Somalia
6bn$ tourism industry
middle income ecomomy
.
.
.
TANZANIA 950,000km²
No desert
lots of minerals
56mn people
1500mw
1200km coastline
insignificant ports
no airlines
48bn$

LEAST DEVELOPED NATION


KALALE

wewe

ubongo


Kenya's dairy sector tops in East Africa
Kenya's dairy sector is the most advanced in the East Africa region.
According to Julie Kariuki, the East Africa Dairy Development regional business manager, the sector is highly competitive in Kenya, with new entrants coming up to do business locally and in the region.
"However, much as there is a lot of investment in the dairy sector, farmers still need support on issues such as artificial insemination services in order to get quality breeds,” she said.

She was speaking during an exchange forum for East Africa farmers in Nyahururu, which saw 77 producer organisations from Tanzania visit dairy farmers in Laikipia and Nyeri counties to learn more about dairy farming.
Daniel Laizer, EADD project manager in Tanzania, said the diary sector in his country has not been active and many cooperatives closed due to mismanagement, noting that they are now trying to revive them.

"We want our farmers to be able to increase their milk production, which currently stands at a maximum of 24 litres per cow per day, unlike in Kenya which is 20 to 69 litres per cow per day,” he said.
Kariuki added that Kenya has tremendous knowledge to offer around dairy production, with a comparatively more advanced dairy industry in the region.
"Kenya’s rapidly growing middle class demands much higher and more consistent quantities of milk. The per capita milk demand is projected to double from 111 litres to 220 litres by 2030,” Kariuki said.
She however noted that despite the high investment, the country's dairy sector is not well coordinated and there is need to harmonise resources to ensure that the full potential of the industry is achieved.
According to the Food and Agriculture Organisation, Kenya’s per capita milk consumption is among the highest globally of any low-income developing country.
"With food prices, including milk, on the rise, production must continue to increase if prices are to remain affordable for families. EADD II is part of the solution and, in fact, this is one of the programme’s goals. Heifer International works with dairy farmers to ensure that plenty of high-quality milk is available for consumers,” she said.
The East Africa Dairy Development Project is a five-year regional industry development programme which focuses on sustainably improving livelihoods of smallholder dairy farmers by enhancing dairy production and market access in East Africa.
The project is led by Heifer International in partnership with Technoserve, International Livestock Research Institute, African Breeders Service and the World Agroforestry Centre with support from the Bill and Melinda Gates Foundation.
Kariuki said the project will work with 58,000 smallholder farm families over three years in Kenya and will focus on helping existing hubs reach a high performance level so they can graduate from

you know most Kenyans don't buy processed milk so assuming the statistics only consider the milk that reaches the dairy then the numbers could be higher ukiongeza ile maziwa ya kupima kwa duka
 
Tatizo lililopo la Wakenya ni kwamba, wao hata wakiwa na kitu kidogo kelele nyingi. Kuna mtu nilisikia kwy chanel yao ya KTN TV anasema yeye Tajiri kwa sababu ana ng'ombe 5 wa maziwa. Nikacheka kwa dharau, ivi unakuwa na ng'ombe 5 unajiita Tajiri na wakati apa Tanzania watu wenye ng'ombe 20. Za maziwa ni wengi sana ukienda katika lanch za Taifa ndio usiseme. Ukienda arusha, kilimanjaro, Mara na sehemu nyingi watu wana ng'ombe mpaka hatari sana. Sasa mkenya akiwa na kitu kidogo kelele mingi sana. Apa Tanzania mali inamilikiwa na wadhawa na sio wageni kama Kenya. Kenya miradi yote ni ya Wazungu, wahindi, wachina na waarabu, nyinyi ni wasindikizaji.
Sisi tumepigana vita Uganda na kushinda nyinyi mmepigana vita ipi? Sisi tumeiondoa wanamgambo wa M23 nyinyi mmeshindwa kwenda pale Democratic Republican of Congo, Sisi Democrat Republic of Congo ndio tunasaidia amani na wanajeshi wa Tanzania ndio wanasaidiana na wanajeshi wa Sudan katika kuleta amani, Kenya imeshindwa kupambana na mgambo wa Alishababu
Hizo ng'ombe zake tano... ulijiuliza zinatoa litre ngapi za maziwa?
 
Sammuel999 huyo mjamaa WA kushangaa eti mkulima wa ng'ombe tano anaweza tajirika hana lolote as far as knowledge of Kenya is concerned. Thanks for giving out the data. Najua tumetoka nje ya mada sababu yake, maybe we can open a thread on dairying in kenya, ama unaonaje?
 
raw milk in Kenya sells at 42kshs per litre 5 cows each say giving 60 litres daily gives you 12600kshs a day unTaxable income say cost of production is a third your revenue -4200 therefore you get 8400kshs daily that is 260,500kshs monthly or 2604$ a month from 5 cows in a year that is 31,248$ that is a middle class human being in Australia or Canada or France dimwit

fyi with those 5 cows you can buy a house in upper hill Nairobi and a large fuel guzzler and live like a king DIMWIT

BIASHARA KENYA IKO LIGI INGINE..... DON'T!!!!!


Why milk is big business in Africa
    
 Updated 1037 GMT (1837 HKT) October 2, 2015
By Thomas Page, for CNN
Where does Africa's milk come from?
00:54

Story highlights
Africa has 13.4 million dairy farms
South Africa averages 357 cows per herd, significantly more than the continental average of 10
(CNN) — South Africa's Western Cape is renowned for its wines and liquors. But for the country's Eastern Cape there's another drink at the top of the agenda -- milk.
In the past decade the region has doubled its production output. One of the biggest milk producers in Africa, the nation as a whole has an average of 357 cows per herd -- to put this figure in context, only 13 countries globally can boast an average of 100 or more.
Kenya, Sudan and Egypt also rank among the top milk-producing countries on the continent, all contributing significantly to Africa's 13.4 million dairy farms.
But despite the impression of mass industrial-scale farming, the average cattle herd is only 10 cows strong. From the nomadic Maasai in Kenya to the Bodi tribe in Ethiopia, small-scale herding is still a way of life for some. The cow is integral: the key to daily sustenance, and for the Bodi, glory.
But cows are far from the only source of milk.




ukamcheka kwa dharau eeeh????


eti mkulima tz Ana ngombe 20 was Kenya Ana 5 lakini somehow


Kenya is the second largest milk producer in Africa and also the 3rd largest beef exporter......


woooow aibu Tanzania haiwatoki


Kenya 549,000km²
86% desert
43mn
2879mw
500km coastline
largest port in sub Sahara out of SA
AIRLINES
69bn$ economy
at war in Somalia
6bn$ tourism industry
middle income ecomomy
.
.
.
TANZANIA 950,000km²
No desert
lots of minerals
56mn people
1500mw
1200km coastline
insignificant ports
no airlines
48bn$

LEAST DEVELOPED NATION


KALALE

wewe

ubongo


Kenya's dairy sector tops in East Africa
Kenya's dairy sector is the most advanced in the East Africa region.
According to Julie Kariuki, the East Africa Dairy Development regional business manager, the sector is highly competitive in Kenya, with new entrants coming up to do business locally and in the region.
"However, much as there is a lot of investment in the dairy sector, farmers still need support on issues such as artificial insemination services in order to get quality breeds,” she said.

She was speaking during an exchange forum for East Africa farmers in Nyahururu, which saw 77 producer organisations from Tanzania visit dairy farmers in Laikipia and Nyeri counties to learn more about dairy farming.
Daniel Laizer, EADD project manager in Tanzania, said the diary sector in his country has not been active and many cooperatives closed due to mismanagement, noting that they are now trying to revive them.

"We want our farmers to be able to increase their milk production, which currently stands at a maximum of 24 litres per cow per day, unlike in Kenya which is 20 to 69 litres per cow per day,” he said.
Kariuki added that Kenya has tremendous knowledge to offer around dairy production, with a comparatively more advanced dairy industry in the region.
"Kenya’s rapidly growing middle class demands much higher and more consistent quantities of milk. The per capita milk demand is projected to double from 111 litres to 220 litres by 2030,” Kariuki said.
She however noted that despite the high investment, the country's dairy sector is not well coordinated and there is need to harmonise resources to ensure that the full potential of the industry is achieved.
According to the Food and Agriculture Organisation, Kenya’s per capita milk consumption is among the highest globally of any low-income developing country.
"With food prices, including milk, on the rise, production must continue to increase if prices are to remain affordable for families. EADD II is part of the solution and, in fact, this is one of the programme’s goals. Heifer International works with dairy farmers to ensure that plenty of high-quality milk is available for consumers,” she said.
The East Africa Dairy Development Project is a five-year regional industry development programme which focuses on sustainably improving livelihoods of smallholder dairy farmers by enhancing dairy production and market access in East Africa.
The project is led by Heifer International in partnership with Technoserve, International Livestock Research Institute, African Breeders Service and the World Agroforestry Centre with support from the Bill and Melinda Gates Foundation.
Kariuki said the project will work with 58,000 smallholder farm families over three years in Kenya and will focus on helping existing hubs reach a high performance level so they can graduate from
Sibishani na watu wenye Lesbian gender bisexuality transmitted. Mnapigwa na wake zenu. Mnaogopa kuoa sababu ya kichapo,
 
Tatizo lililopo la Wakenya ni kwamba, wao hata wakiwa na kitu kidogo kelele nyingi. Kuna mtu nilisikia kwy chanel yao ya KTN TV anasema yeye Tajiri kwa sababu ana ng'ombe 5 wa maziwa. Nikacheka kwa dharau, ivi unakuwa na ng'ombe 5 unajiita Tajiri na wakati apa Tanzania watu wenye ng'ombe 20. Za maziwa ni wengi sana ukienda katika lanch za Taifa ndio usiseme. Ukienda arusha, kilimanjaro, Mara na sehemu nyingi watu wana ng'ombe mpaka hatari sana. Sasa mkenya akiwa na kitu kidogo kelele mingi sana. Apa Tanzania mali inamilikiwa na wadhawa na sio wageni kama Kenya. Kenya miradi yote ni ya Wazungu, wahindi, wachina na waarabu, nyinyi ni wasindikizaji.
Sisi tumepigana vita Uganda na kushinda nyinyi mmepigana vita ipi? Sisi tumeiondoa wanamgambo wa M23 nyinyi mmeshindwa kwenda pale Democratic Republican of Congo, Sisi Democrat Republic of Congo ndio tunasaidia amani na wanajeshi wa Tanzania ndio wanasaidiana na wanajeshi wa Sudan katika kuleta amani, Kenya imeshindwa kupambana na mgambo wa Alishababu
Kweli kabisa, ng'ombe tano unaweza mengi hapa Kenya, sio bongo. Hizo ng'ombe mnazo 100 kila mtoto kijijini, mnanufaika nazo vipi?? Ujue kua uzalishaji wa maziwa tuko mbele sio mchezo aisei
 
Njooni mje muone viwanda vya maziwa. Na biashara za maziwa kwenda nchi nyingine na biashara ya uchinjanji ng'ombe, sio mnakaa kusifia habari za magazeti eti sisi tunafuga ng'ombe izo habari ni za miaka 10 nyuma.
Na kama kawaida yetu sisi watanzania atujitangazi, ni kama tulivyo lakini biashara zipo za hatari, na ndio maana mnang'ang'ania kuja apa Tanzania
 
Sibishani na watu wenye Lesbian gender bisexuality transmitted. Mnapigwa na wake zenu. Mnaogopa kuoa sababu ya kichapo,


yeah


grade A mchawi of the south it's like arguing in primary school literally when mse amekushinda argument na proof unaanza matusi..... how old are you??? really??? a university graduate would not behave this way...... maybe you don't even make university material..... GROW UP!
 
Sammuel999 huyo mjamaa WA kushangaa eti mkulima wa ng'ombe tano anaweza tajirika hana lolote as far as knowledge of Kenya is concerned. Thanks for giving out the data. Najua tumetoka nje ya mada sababu yake, maybe we can open a thread on dairying in kenya, ama unaonaje?

yes a thread is what we need mkuu!
 
yes a thread is what we need mkuu!
I think we should. People come from all over Africa to study Kenyan dairy business, then something sitting on a rock in singida thinks that they know more about the milk business than we do. Very annoying.
Sorry for deviating from topic.
 
Motochini, salam.

Hili jeshi la wauza mkaa halina kitu. Documentary gani ya kijinga eti watu wako rehearsal wanakimbia kimbia hovyo bila mpango.

Jeshi ni ni ushindi vitani na majeshi yaliyo tukuka, pia ushindi kwenye operation za kweli.

walipata nafasi ya kuionesha dunia in westgate mall, matokeo yake yaani ilikua aibu kubwa sio kwa kenya pekee ila kwa bara la Afrika, wanatakiwa watuombe radhi. Yaani wanajeshi walikuja na APCs, kweli? APCs za nini pale? Pia walikuwepo polisi, na Wale mabwege wakuitwa sijui GSU, mmoja wa hawa mbulula alitandikwa risasi na mbulula mwenzake ndani coz kila team ilikua ndani yaani ilikua chaos.

Chakushanga na kustaajabisha, mwanajeshi wao alikuja na RPG, haaa! Jamaa nliokua nao waliuliza wanaenda kuokoa innocent people or kuwaua? Yaani ilibidi nijitete maana nlikua nje ya bongo. Hii yaonesha jeshi lao lilivyo na vila'za wengi.

kwenye attack ya university wanafunzi waliuawa wengi mno, ila jamaa hawaishi vituko na ujinga, walikuja mpaka na Main Battle Tanks, haaa! Za nini? Yaani mnapigana na watu wenye AK47 na vifaru? Ndio hata Somalia, ni Jeshi pekee lililo huko likitumia ndege za kivita, meli za kivita likikabiliana na kikundi kidogo cha waalifu wenye silaha duni, wanao tegemea kuuza mkaa wanunue chakula. Kikundi cha waalifu cha al Shabab kinacho tumia mbinu za kigolola.

Wakae nairobi watafune miraa, mambo ya kivita si inshu zao.
Alshabab ni kikundi kidogo?????? huu utani sio.
 
we ata wafurahisha....ambia tpdf waende hizo peace keeping na manati au ung'ong'o ndo utajua vita ni silaha.hizo ndege utazishukisha kama huna vifaa...no body will ever rank tz ahead of kenya.nyinyi peke yenu ndo hushinda jf mkisema tpdf iko juu..outside your boundaries tpdf is just another army without weapons.outdated army iliyopigana kagera enzi izo

Tetete!...watavishusha madege yakisasa na vijiti ,hawa wachawi wa south..........labda watavishusha na ushirikiana ambayo ndiyo fani yao maalum,....binafsi natamani siku moja tukatunishe na hawa....kupigwa na drones full scale,yaani conventional modern warfare, tukaimege Kilimanjaro yote mpaka Mwanza na kule Umaasaini.
 
2K12 Kub or kama NATO wanavyoziita SA-6 GAINFUL.

in 1995 June 2 – An F-16C Fighting Falcon was shot down by a Serb 2K12 Kub SAM (NATO reporting name: SA-6 'Gainful') while on patrol over Bosnia.

Nyie hamna hata aina hiyo ya ndege ya kivita. SA-6 zipo za kumwaga Tanzania.
Pia usisahau kua tuna the best world MRLS za kumwaga A-100. Hizo tunaziweka tu maeneo ya Arusha, baada ya nusu saa Nairobi hakuna hata tofali la mjengo litabaki. A-100 inajeuri ya kutandika over 150km.

enjoy: World Military and Police Forces: Tanzania

utazikuta hapo na hizi ni vitu visivyo sensitive ndani ya Jeshi kwa kipindi zinaoneshwa, sasa hizo sensitive....?
 
2K12 Kub or kama NATO wanavyoziita SA-6 GAINFUL.

in 1995 June 2 – An F-16C Fighting Falcon was shot down by a Serb 2K12 Kub SAM (NATO reporting name: SA-6 'Gainful') while on patrol over Bosnia.

Nyie hamna hata aina hiyo ya ndege ya kivita. SA-6 zipo za kumwaga Tanzania.
Pia usisahau kua tuna the best world MRLS za kumwaga A-100. Hizo tunaziweka tu maeneo ya Arusha, baada ya nusu saa Nairobi hakuna hata tofali la mjengo litabaki. A-100 inajeuri ya kutandika over 150km.

enjoy: World Military and Police Forces: Tanzania

utazikuta hapo na hizi ni vitu visivyo sensitive ndani ya Jeshi kwa kipindi zinaoneshwa, sasa hizo sensitive....?
sijaelewa SA-6 ni ndege kwani?wasema mko na iyo aina ya ndege za kumwaga.nijuavyo SA-6 sio ndege unless nlichanganyikiwa au sijakuelewa
 
Sawa sawa

wewe ji console Just know that in Somalia we are working for the UN and thus we have to follow rules and regulations like caring about civilian population avoid dropping bombs in high target areas with animal/civilians well in a war between two countries we won't here is how the first time Somalia tried to mess with Kenya Read how it went down


Shifta War

Date 1963–1967
Location North Eastern Province , Kenya, Jubaland Somalia's

Result: NFD became North eastern province Kenya

Who fought who?

Kenya

Northern Frontier District Liberation Movement

Somalia

Casualties and losses
17,000 bandits

4,200+Somali Army killed

1700 Kenyans killed


The Shifta War (1963–1967) was a
secessionist conflict in which ethnic Somalis in the Northern Frontier District (NFD) of Kenya (a region that is and has historically been almost exclusively inhabited by ethnic Somalis[2][3][4] ) attempted to join with their fellow Somalis in a Greater Somalia. The Kenyan government named the conflict "shifta", after the
Somali word for "bandit", as part of a propaganda effort. The Kenyan
counter-insurgency General Service Units forced civilians into "protected villages" (essentially concentration camps )[5] as well as killing a large number of livestock kept by the
pastoralist Somalis.
The war ended in the late summer of 1967 when
Muhammad Haji Ibrahim Egal , Prime Minister of the Somali Republic, signed a ceasefire with Kenya


The province thus entered a period of running skirmishes between the
Kenyan Army and Somali-backed
Northern Frontier District Liberation Movement (NFDLM) insurgents. One immediate consequence was the signing in 1964 of a Mutual Defense Treaty between Jomo Kenyatta's administration and the government of Ethiopian Emperor Haile Selassie .


At the outset of the war, the government declared a State of Emergency. This consisted of allowing security forces to detain people up to 56 days without trial, confiscating the property of communities allegedly in retaliation for acts of violence, and restricting the right to assembly and movement. A 'prohibited zone' was created along the Somali border, and the death penalty was made mandatory for unauthorised possession of firearms. "Special courts" without guarantee of due process were also created. The northeast—declared a "special district" – was subject to nearly unfettered government control, including the authority to detain, arrest or forcibly move individuals or groups, as well as confiscate possessions and land. [14] However, as part of its effort to reassure the public, the Voice of Kenya was warned not to refer to the conflict as a "border dispute", while a special government committee decided to refer to the rebels as "shiftas" to minimise the political nature of the war.




Over the course of the war, the new Kenyan government became increasingly concerned by the growing strength of the Somali military. At independence, Somalia had a weak army of 5,000 troops that was incapable of exerting itself beyond its borders. However, in 1963, the Somali government appealed for assistance from the Soviet Union, which responded by lending it about $32 million. By 1969, 800 Somali officers had received Soviet training, while the army had expanded to over 23,000 well-equipped troops. The Kenyan fear that the insurgency might escalate into an all-out war with phalanxes of well-equipped Somali troops was coupled with a concern about the new insurgent tactic of planting land mines.




The story gets interesting


In 1967, Kenyan fears reached a fever pitch, and a special government committee was created to prepare for a full-scale war with Somalia. The government also adopted a policy of compulsory
villagization in the war-affected area. In 1967, the populace was moved into 14 Manyattas , villages that were guarded by troops (some referred to them as concentration camps). East Africa scholar Alex de Waal described the result as "a military assault upon the entire pastoral way of life," as enormous numbers of livestock were confiscated or killed, partly to deny their use by the guerrillas and partly to force the populace to abandon their flocks and move to a Manyatta.

Thus, made destitute, many nomads became an urban underclass, while educated Somalis in Kenya fled the country. [14] The government also removed the dynastic Sultans, who were the traditional leaders, with low-ranking government-appointed chiefs.


Anthropologist John Baxter returned to the village in
Somalia District in Somalia on the border with Kenya that he had researched in 1953, and had this to say about the few non-Somali minority tribes that lived at the time alongside the Somali majority:
The war thus marked the beginning of decades of violent crackdowns and repressive measures by the police in the NFD coupled with trumped-up allegations and unsubtle innuendo on the part of the Kenyan media charging the region's almost exclusively Somali inhabitants with "banditry" and other vice. [19]
A particularly violent incident referred to as the Wagalla Massacre took place in 1984, when the Kenyan provincial commissioner ordered security forces to gather 5,000 men of the Somali
Degodia clan onto the airstrip at
Wagalla , Wajir , open fire on them, and then attempt to hide their bodies. In the year 2000, the government admitted to having killed 380 people, though independent estimates put the toll at over 2,000. [20]
Not until late 2000 and the administration of Provincial Commissioner Mohammoud Saleh – a Somali—was there a serious drop in violent activities, partially attributable to Saleh's zero tolerance policy towards abuse by security forces. Ironically, Saleh himself was the target of the local police, having been arrested and booked several times. Wearing plain clothes, Saleh was apparently mistaken for an ordinary inhabitant of the NFD. [8]


upon his arrival to Somalia the anthropogist said

In 1982, only a few fortunate ones still maintained themselves through stock pastoralism. Some 40 percent of the Boran and Sakuye of the District had been driven to peri-urban shanty villages in the new administrative townships. There, they eked out a bare subsistence, hanging around the petrol stations for odd jobs, hawking for miraa , making illicit alcohol, engaging in prostitution and the like.
Their way of life had been totally destroyed by the Kenyan forces who forced every one in the Somali buffer zone into a manyatta, killed their animals and abolished the sultan dynasties.
Somalis led a really poor life compared to a decade ago before Somalia's independence




so MiTZ chezeeni Kenya tu Ila itafika siku mtapaguza pabaya ndio mtatambua kwanini Somalia ilianguka


Ethiopia and Kenya signed a military pact in 1966 ....in 1967 shift a war ended in 1969 there was a coup in Somalia this was followed by 14 other attempted coups and in 1991 THE MOTHER OF ALL COUPS was organised in Somalia the country has never recovered till today

We will play politics and propaganda wars with all of you and finish you off even before we invade and place you all in detention and take your land and make it Kenyan


just know that Kenya spends

2.21bn$ on it's security today
The Kenya NSIS spends 157mn $ yearly FYI NSIS is a spy agency
Tanzanias military spends 357mn$ budget yearly


our KWS -KENYA WILDLIFE SERVICE - out spends your military


msi muone simba amenyeshewa mkadhania ni paka

Endelea kuota ndoto za mchana, with all your US provided fire power hamuwezi kuifanya chochote TZ, Somalia ndio size yenu
 
Back
Top Bottom