Kwenye medical ethics kuna kipengele cha kutotoa taarifa za mgonjwa hata kwa ndugu bila ruhusa ya mgonjwa. Pia ugonjwa wa mtu ni siri yako wewe na mgonjwa, hata madaktari wasiohusika hawaruhusiwi kujua taarifa zake isipokuwa wanaohusika kwenye matibabu.
Kwa waathirika hata spause hatakiwi kujua mpaka aambiwe na mgonjwa mwenyewe au umwambie kwa ruhusa ya mgonjwa. Kama umemshauri amwambie spause wake bila mafaniki(zaidi ya mara 2),sheria inakuruhusu kumpatia taarifa huyo mwenzi wake lakini siyo ndugu wengine cha ajabu taarifa zinafika mpaka kwa wapenzi/wenzi wetu, kwani wanahusika!.
Hairuhusiwi kumpima mtu hiv bila kumshauri na akubali. Hata akikataa, he/she should not be denied from proper treatment. Hizo ni baadhi tu. Siku hizi unakutana na taarifa za mgonjwa zimesambaa kila sehemu na mhusika hazijui taarifa zake. Taarifa zinakuwa disclosed hata kwa watu wasiohusika, mpaka wafagizi wanajua! Zikitoka hapo zinakuwa story za mtaani, this is unethical!! Tunawaambia watu hata wasio wa speciality inayohusika. Hata kwenye vikao vyetu tunageuza wagonjwa ndo story,why?!
Wagonjwa wengi wanapimwa damu zao bila consert na wodi zima linajua kwamba fulani ni muathirika kabla yeye hajajua. Those are distressing information, tunawaumiza watu kisaikolojia tena mara nyingi. Taarifa zenyewe na kuzipata ghafla, impact yake ni kubwa sana! Turudini kwenye maadili, hasa madaktari vijana!
Au medical ethics siku hizi haifundishwi? Kwenye vijiwe vyenu mnakosaga mambo ya kuongea? Imagine ni wewe watu wanakuongelea hivyo, utajisikiaje? Kumbukeni siku hizi awareness ya wananchi ni kubwa na wanasheria wengi wanatafuta kazi. Wakiingia huku tutafungwa wengi au kulipa faini sana kwa vitu vidogo vidogo.!
Kwa waathirika hata spause hatakiwi kujua mpaka aambiwe na mgonjwa mwenyewe au umwambie kwa ruhusa ya mgonjwa. Kama umemshauri amwambie spause wake bila mafaniki(zaidi ya mara 2),sheria inakuruhusu kumpatia taarifa huyo mwenzi wake lakini siyo ndugu wengine cha ajabu taarifa zinafika mpaka kwa wapenzi/wenzi wetu, kwani wanahusika!.
Hairuhusiwi kumpima mtu hiv bila kumshauri na akubali. Hata akikataa, he/she should not be denied from proper treatment. Hizo ni baadhi tu. Siku hizi unakutana na taarifa za mgonjwa zimesambaa kila sehemu na mhusika hazijui taarifa zake. Taarifa zinakuwa disclosed hata kwa watu wasiohusika, mpaka wafagizi wanajua! Zikitoka hapo zinakuwa story za mtaani, this is unethical!! Tunawaambia watu hata wasio wa speciality inayohusika. Hata kwenye vikao vyetu tunageuza wagonjwa ndo story,why?!
Wagonjwa wengi wanapimwa damu zao bila consert na wodi zima linajua kwamba fulani ni muathirika kabla yeye hajajua. Those are distressing information, tunawaumiza watu kisaikolojia tena mara nyingi. Taarifa zenyewe na kuzipata ghafla, impact yake ni kubwa sana! Turudini kwenye maadili, hasa madaktari vijana!
Au medical ethics siku hizi haifundishwi? Kwenye vijiwe vyenu mnakosaga mambo ya kuongea? Imagine ni wewe watu wanakuongelea hivyo, utajisikiaje? Kumbukeni siku hizi awareness ya wananchi ni kubwa na wanasheria wengi wanatafuta kazi. Wakiingia huku tutafungwa wengi au kulipa faini sana kwa vitu vidogo vidogo.!