Kuna mada inayo ongozwa na masanja times FM.masanja anasema doctor ndio muhimu kuliko mwalimu.je ukweli uko wapi wakati bila mwalimu hakuna wasomi?mi naona kwa wakati huu ni doctor coz imesha kua dharura.ila mwalimu best.
Ukiwa na watangazaja wenye upeo mdogo hawaachi kujidhihirisha kwa mada zao ktk vipindi au michango yao.
Ukimuuliza, nini makusudi ya mada hiyo? Majibu yake aibu. Ukimuuliza unafikiri watu wenye ufahamu mkubwa wanaweza kupiga simu na kutoa michango yao? Majibu yake utachoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.