zaleo
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,902
- 764
Kuuma na kupuliza ni tabia kuu ya wanafiki. Wanapenda ukonde saaana na ujifie mwenyewe, hawataki kukugusa ukafia mikononi mwao.Nackia huyu ni vice chancelor wa chuo cha bagamoyo,na vice chancelors ni wateule wa raisi,inakuwaje wakati wana bifu??
Kama unabisha kamuulize Babu Seya kama kuna kaukweli kokote alikofungiwa ndani maisha pamoja na wanae wote ati kwa baba na wana kusherehekea watoto wa shule kwa ushirika wa pamoja. Halafu hapa JF kumbuka sms iliyodakwa ikimtaka jaji anayesikiliza kesi ya Shamhuna (?) kugombea ubunge wa Ukonga ilisema nini.
Hana wema usimwone kucheka (binadamu) - wimbo wa Muhidin Maalim Ngurumo. Mtendee wema kamwe hatoridhika.