Do You Remember?

<br />
<br />
yaani we jamaa sijui unalipwa shs ngapi na magamba. Halafu inaelekea unaweza hata kumpa JK yule mke wako. Aaaaargggggggghhhhhhhhh


Philanderer.... sema basi kumbukumbu yako.... achana na Mwita.. wewe akikukeraisha moyo ndio fahari yake... sasa kwanini wampatia??
 
hahahaha! Husni umepinda... Mwambie mwalimu aache unyanyapaa, hapa najaribu kumtetea Saranga manake yeye ndo mwenye matege kati yetu sote....
<br />
<br />
khaaaa! Saranga wa mkuranga ana matege! Hii sredi isije ikapelekwa jf doctor tukatibiane matege.
 
hao watakuwa wanapiga picha tulete jf photo. Halafu kloro hajaqualify kucheza kiduku.


AD Klorokwini ndio huyo mwalimu wa Husninyo! Labda ungeuliza hivi uporoto, the finest na asprin watakuwepo?..

Mbona nyie warembo mwanichangaya... nimuamini nani hapo??? lol... Alafu Husny mie nina mpiga picha wangu anaitwa Eqlyps.... Source:Jammii Photos....
 
... ADii that means what? alot of ..... lol ........

...kind of unaelewa kuwa ... just watching ... ni kujirusha na kujiachia... eh Lol ... and it seems you Love this!!



That means I had read between the lines....lol
 
Ha haa haa Hope unanielewa kwa mazuri...,
na sio kunifananisha na kituko fulani.... ha haa haa
Lakini ukweli ni kwamba when it comes do dancing mi sio mtaalamu ingawa I can move..., kama unaweza kuita that is dancing..

...Nakuelwa vema saana .. VoR ..why? Kama utaona pia Mimi nilichagua slow (Jazz) kama kumbukumbu.. ..Loh ..ADii hajakubali kabisa ...!! eti hiyo sio kujirusha ..lakini kwangu hiyo ni kujirusha ...bado tunavutana... lol
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
khaaaa! Saranga wa mkuranga ana matege! Hii sredi isije ikapelekwa jf doctor tukatibiane matege.
Jf dokta hawatibu matege bana... Matege dawa yake ni kucheza kiduku mpaka miguu inyooke...
 
Mbona nyie warembo mwanichangaya... nimuamini nani hapo??? lol... Alafu Husny mie nina mpiga picha wangu anaitwa Eqlyps.... Source:Jammii Photos....
<br />
<br />
niamini mimi, sweetlady juzi alinidanganya jeief siku hizi inaitwa fesibuku, Mtu mzima nikalog in fesibuku! Dah! Usimwamini kabisa huyo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
niamini mimi, sweetlady juzi alinidanganya jeief siku hizi inaitwa fesibuku, Mtu mzima nikalog in fesibuku! Dah! Usimwamini kabisa huyo.
Khaaa! Umeamua kunishusha daraja?... Subiri, labda nisipate nauli...
 
Ha haa haa Hope unanielewa kwa mazuri...,
na sio kunifananisha na kituko fulani.... ha haa haa
Lakini ukweli ni kwamba when it comes do dancing mi sio mtaalamu ingawa I can move..., kama unaweza kuita that is dancing..


I hope you acknowledge the fact that some music and dance just require you to move....lol
 
...Nakuelwa vema saana .. VoR ..why? Kama utaona pia Mimi nilichagua slow (Jazz) kama kumbukumbu.. ..Loh ..ADii hajakubali kabisa ...!! eti hiyo sio kujirusha ..lakini kwangu hiyo ni kujirusha ...bado tunavutana... lol


Hey AJ, mbona wanisingizia?? lol... Hapa King kaja kakutetea na nimelegeza kamba (thou you still have to answer to Sweetlady - Hivi umenotice she has not said her experience??) Mie nimekusamehe maana umenibania....
 
&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;span style=&quot;font-family: book antiqua&quot;&gt;Habari wana JF….&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lini mara ya mwisho ulicheza mziki kwa kujiachia na &lt;br /&gt;<br />
kufurahia kabisa huo Musiki ulikua unacheza?? Haijalishi &lt;br /&gt;<br />
ulikua wapi... Ilikua Chumbani kwako?? Sherehe?? Club?? &lt;br /&gt;<br />
Mtaani?? ama Kijijini?? Na if you don't mind ni wimbo gani&lt;br /&gt;<br />
huo ulikukuna mpaka ukakunyanya kucheza... Naomba tafadhali &lt;br /&gt;<br />
saana Ushee na Sie... &lt;u&gt;KIKUBWA&lt;/u&gt;... &lt;font color=&quot;#ff0000&quot;&gt;&lt;b&gt;Do you Remember???&lt;br /&gt;<br />
&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;font color=&quot;#0000cd&quot;&gt;&lt;b&gt;P.S:&lt;/b&gt; Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)&lt;/font&gt;&lt;/span&gt;&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
its was last friday me na hubby we went this club,waooo n then they played this song 'lady in red'by chris de burge,n the way i like this song so i dance with him.it was fun coz the people in club was jus looking at us.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom